Zenj FM
Zenj FM
15 August 2025, 4:44 pm
Na Mary Julius. Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Kitwana Mustafa, amewataka madereva wa daladala kuzingatia matumizi sahihi ya vituo vipya vya kushushia na kupakia abiria, kwa kuhakikisha hawazidi dakika tatu katika kila kituo, ili kuepuka msongamano wa magari…
13 August 2025, 4:52 pm
Na Ivan Mapunda. Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC imewahakikishia wadau uchaguzi na wananchi kuwa itaendesha uchaguzi huru na wa haki huku ikisistiza kuwa kura ya mapema itakuwepo kama ilivyoanishwa na sheria ya uchaguzi namba 4 ya mwaka 2018.Makamu Mwenyekiti wa…
13 August 2025, 4:29 pm
Na Mary Julius. Waandishi wa habari wametakiwa kushirikiana kwa karibu na wizara ya Afya Zanzibar kitengo cha chanjo ili kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa chanjo, kwa lengo la kupunguza upotoshaji na dhana potofu zinazohusu chanjo.Afisa kutoka Kitengo cha Chanjo Zanzibar,…
10 August 2025, 6:19 am
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC Jaji Joseph Kazi amewakumbusha wasimamizi wa uchaguzi kuwa Mafanikio ya Tume ya Uchaguzi yapo mikononi mwao kwa kuwa wao ni kiungo muhimu kati ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar na jamii. Na Mary…
7 August 2025, 4:23 pm
Msaidizi Afisa mazingira Halmashauri ya Wilaya ya Kusini Biubwa Hassan Haji, amesema Halmashauri inaandaa utaratibu wa kuanzisha vikundi maalum kwa kila Shehia vitakavyohusika na uchukuaji taka za majumbani. NA Khamis Abdi Juma Halmashauri ya Wilaya ya Kusini Unguja imewaomba wananchi…
7 August 2025, 4:00 pm
Na Omar Hassan. Kamishna wa Polisi Zanzibar CP Kombo Khamis Kombo, amewapongeza watendaji wa madawati ya Jinsia na watoto ya Jeshi la Polisi Tanzania kwa utendaji wao mzuri na kupelekea kupungua kwa makosa ya udhalilishaji. Akiwakaribisha watendaji 245 wa Madawati…
6 August 2025, 8:39 pm
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linamshikilia Kassim Omary Ramadhani, mwenye umri wa miaka 30 mkazi wa Fuoni, kwa tuhuma za kuendesha gari kwa uzembe na kusababisha ajali iliyosababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi wengine…
6 August 2025, 4:17 pm
Staf Sajenti Ali Abdalla Juma kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Zanzibar, amewataka wazazi kuwa makini na watoto wao wanaoendesha vyombo vya moto, kwa kuhakikisha hawapati usukani kabla ya kupata leseni. Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Zanzibar limewataka…
4 August 2025, 6:03 pm
Ivan Mapunda. Kampeni ni sehemu au uwanja wenye changamoto kubwa kwa wanawake wanaotafuta nafasi za uongozi. Mbali na changamoto za kawaida za kisiasa, wanawake hukabiliana na tatizo kubwa la matamshi ya chuki, udhalilishaji, na matusi ya kijinsia yanayolenga kudhoofisha heshima…
4 August 2025, 2:43 pm
Na Mary Julius. CHAMA cha Mama Tanzania (CHAMATA) kimesema kuna fursa nyigi za kunufaika na ajira kwa Vina kupitia miradi ya Maeneleo ikiwemo soko la sekta ya utalii, miudo mbini Kilimo na mawasiliano lakini bado hazijatumika ipasavyo Tanzania bara na…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group