Zenj FM

Recent posts

27 November 2023, 7:31 pm

Mahakama maalum Zanzibar mwarobaini vitendo vya udhalilishaji

Kwa miaka mingi Zanzibar, vitendo vya ukatili wa kingono na ukatili wa kijinsia (SGBV) vimekuwa vikifanywa bila ya kuadhibiwa. Na Ivan Mapunda. Mwaka 2002 kwa mfano, TAMWA ilipokea ripoti kutoka Mahakama Kuu ikionesha 0% ya hatia dhidi ya kesi 200…

27 November 2023, 3:54 pm

Jeshi la Polisi Zanzibar kutumia vifaa vya kidijitali

Na Omary Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Hamad Khamis Hamad amesema Utendaji wa kusimamia Sheria wa Jeshi la Polisi lazima ubadilike kwa kujikita katika matumizi ya taaluma na vifaa vya kisasa ili kukabiliana na mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia yanaoendana na mabadiliko…

8 November 2023, 5:22 pm

Fawe yawafikia wajasiriamali Kusini Unguja

Mafunzo hayo ni utekelezaji wa mradi wa kuwawezesha wanawake kiuchumi unaoendeshwa na FAWE ndani ya mkoa wa Kusini Unguja ambapo jumla ya wajasiriamali 723 wamefikiwa  kati ya hao wanawake ni 671 na wanaume ni 53. Na. Ahmed Abdulla. Wajasiriamali kutoka…

8 November 2023, 3:17 pm

Wazanzibar watakiwa kujiandikisha katika daftari la wapiga kura

Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jaji George Joseph Kazi amewataka wananchi walio timiza sifa za kupiga kura kujitokeza katika zoezi la uandikishaji kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ili waweze kushiriki katika uchaguzi ujao wa…

25 October 2023, 5:26 pm

Airpay Tanzania kuwa mkombozi wa uchakavu wa noti nchini

Na Mary Julius. Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dkt. Saada Mkuya Salum  amesema kuzinduliwa kwa mfumo wa kufanya malipo kwa njia ya mtandao wa Airpay Tanzania utaisadia noti za Tanzania kuwa katika mzunguko kwa muda mrefu. Waziri Saada  ameyasema…

6 October 2023, 2:35 pm

Wanafunzi Pemba watakiwa kuitumia mitandao vizuri

Shirika la Save the Children Tanzania limetoa mafunzo kwa wanafunzi kisiwani pemba kwa lengo la kuwawezesha kupelekea ujumbe wao kwa viongozi wenye mamlaka kupitia jukwaa hilo la mikutano ya mtandaoni. Na Is-haka Mohammed. Kuwepo kwa jukwaa la kuwasiliana mtandaoni kumeelezwa…

2 October 2023, 3:48 pm

Pemba waomba kuongezewa ATM

Katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja, wateja wa benki ya NMB wametakiwa kutoa maoni yao kila wanapoona changamoto katika utoaji wa huduma kwa kupitia visanduku hivyo vya maoni . Na Is- haka Mohammed Afisa Mdhamin Ofisi ya Rais Ikulu…

1 October 2023, 6:56 pm

Jumuiya ya Serikali za Mitaa Zanzibar yapata viongozi

Na Mary Julius Kaimu katibu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania ALAT Muhammed Ahmed Maje amesema utekelezaji wa maendelo katika nchi hufanywa kwa kuanzia katika mamlaka za serikali za mitaa. Akizungumza wakati akifungua Mkutano wa uchaguzi wa jumuiya ya serikali za mitaa…

24 September 2023, 6:07 pm

Kamishna wa Polisi Zanzibar atoa onyo wanaobambikia watu kesi

Ujenzi wa kituo cha Mkoani umekuja kufuatia kuchakaa kwa kituo cha polisi Mkoani ambacho kimerithiwa tokea wakati wa ukoloni na kinatumika hadi sasa. Na. Omary Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Hamad Khamis Hamad amewataka wananchi kuacha tabia ya kutumia vituo…

24 September 2023, 4:37 pm

Waandishi wa habari Zanzibar wajengewa uelewa kamisheni ya ardhi

Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Zanzibar Rahma Kassim Ali Amesema wizara hiyo inakabiliwa na changamoto ya migogoro ya ardhi licha ya kuwa na sheria nyingi za ardhi. Na Mary Julius.  Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Rahma…