Keifo FM

Recent posts

30 November 2023, 22:27

Kisa Simba, Yanga bodaboda Kyela wasogeza mbele uchaguzi

Uchaguzi wa kuwapata viongozi wa umoja wa bodaboda Kyela uliopangwa kufanyika Disemba 2, 2023 umesogezwa mbele mpaka Disemba 8, 2023. Na Nsangatii Mwakipesile Mwenyekiti wa uchaguzi wa waendesha bodaboda wilayani Kyela Widrey Mwasyeka ametangaza kusogezwa mbele uchaguzi wa chama hicho…

30 November 2023, 22:13

Kumekucha uchaguzi CHADEMA Kyela

Hekaheka za kuwapata viongozi wa nafasi mbalimbali ndani ya chama cha Demokrasia na Maendeleo zimepamba moto hapa wilayani Kyela mkoani mbeya. Na James Mwakyembe Zoezi la uchukuaji fomu kugombea nafasi mbalimbali ndani ya chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA limeanza…

30 November 2023, 10:42

Zahanati mpya ya kisasa yanukia Nduka

Baada ya kukosekana kwa huduma za afya kwa wananchi wa kijiji cha Nduka wilayani Kyela, serikali imepanga kujenga zahanati ya kisasa kijijini hapo. Na James Mwakyembe Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela ambaye ni diwani wa kata ya Ikimba…

29 November 2023, 22:53

Strobeli yawageuza lulu wakulima wilayani Rungwe

Baadhi ya wakulima wa zao la strobeli wilayani Rungwe.Picha na James Mwakyembe Tathmini ya kuangazia mafanikio ya zao la Strobeli wilayani Rungwe yamefanyika yakiongozwa na msemaji wa shirika lisilo la kiserikali Shoma Nangale.Na Nsangatii Mwakipesile Baada ya kutambulishwa rasmi kwa…

28 November 2023, 11:49

Kyela walia na mkandarasi wa mradi wa umwagiliaji Makwale

Baada ya kushindwa kukamilika kwa wakati kwa mradi wa umwagiliaji wa Makwale hapa wilayani Kyela wananchi wanaunda kata za Makwle,Ndobo na Lusungo wameiomba serikali ya halmaashsuri ya wilaya ya kyela kuingilia kati kukamilika kwa mradi huo.Na Nsangatii Mwakipesile Kutokana na…

28 November 2023, 11:28

Serikali ya Mwaga Boti nne za kisasa kwa wavuvi ndani ya ziwa Nyasa

Naibu waziri wa Kilimo na Uvuvi Alexander Mnyeti amewataka wavuvi ndani ya Ziwa Nyasa kuhakikisha wanaachana na uvuvi haramu na badara yake watumie uvuvi wa vichanja ili kukuza uchumi wa Taifa.Nsangatii Mwakipesile Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi hapa nchini…

27 November 2023, 19:10

Milioni kumi na tano zamwangwa kukarabati machinjio ya Mikoroshoni

Jumla ya shilingi milioni kumi na tano zimetolewa na serikali ya awamu ya sita kwaajiri ya ujenzi wa miundombinu ya machinjio ya kisasa hapa wilayani Kyela. Na James Mwakyembe Wakati serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiendelea kuboresha miundombinu…

21 September 2023, 17:54

Madereva 87 Kyela wakabidhiwa vyeti vya udereva

Na James Mwakyembe Jumla ya madereva themanini na saba wapepigwa msasa wa mafunzo ya udereva na  kukabidhiwa vyeti vya udereva huku wakitakiwa kuwa mabalozi wazuri wawapo barabarani. Katika kuhakikisha ajali za barabarani zinapungua mkoani Mbeya, jeshi la polisi limetoa vyeti…

About Keifo Fm

Kyela education improvement foundation is a registered nonprofit
Organization with its main objectives to enhance quality education in the
Country .The organization was registered on august 24th 2006 with the
Registration number OONGO/1617. The organization main office is located along Kyela –
Tukuyu road at kalumbulu street, Kyela

GABRIEL KIPIJA is the founder chairman and managing director of KEIFO FM RADIO

SUMMARY OF OBJECTIVE FOR ESTABLISHMENT OF THE PROJECT. The following are the objectives of establishment of the KEIFO FM RADIO;- 

I. To improve rural community initiative through an improved, reliable and less in cot communication  system, providing access to educational programs, local and international news. 

II. The broadcast programs have been developed to include religion discussion and local and international  news , health education ,traditional events and various entertainment 

III. To act as a forum of community member to exchange development ideas, debate local and national  issues, which will provide access and exposure them to current affairs on social, agricultural, health etc. IV. To establish platform for reshaping the community towards good cultures 

VISION 

To be the leading education provider and news disseminator through radio waves 

MISSION 

To educate, encourage people to use radio facilities for sharing education, current affairs and  information dissemination