Karagwe FM

Recent posts

12 May 2021, 3:35 pm

Ulinzi kuimarishwa wakati wa Eid.

Jeshi la Polisi wilaya ya Karagwe mkoa wa Kagera  limeanzisha doria maalumu kwaajili ya kupambana na vitendo vya uharifu na kuimarisha usalama wakati wa sikukuu ya Eid EL Fitri. Henry Benard Makwasa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi wilaya ya…

11 May 2021, 12:01 pm

Waziri Bashungwa awafuturisha Waislamu.

Mbunge wa jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa ambaye pia ni waziri wa habari,utamaduni sanaa na michezi amewafuturisha waumini wa dini ya kiislamu pamoja na wageni waalikwa huku Futari hiyo ikiambatana na harambee ya ujenzi wa kituo cha afya. Shehe wa…

11 May 2021, 11:34 am

Miradi yalamba Milioni 96 kwa miezi 3.

Zaidi ya shilingi Milioni 96 zimetumika kutekeleza miradi mbalimbali ya kimaendeleo katika kata ya Kayanga wilaya Karagwe kwa kipindi cha robo ya mwaka 2021. Akizungumza na Redio Karagwe Fm sauti ya wananchi May 11 mwaka huu,Diwani wa kata Kayanga bwana…

5 May 2021, 2:40 pm

Bilakwate: Gongo iruhusiwe Kagera

Mbunge wa jimbo la Kyerwa mkoani Kagera Innocent Bilakwate ameiomba serikali kuruhusu pombe ya moshi au Gongo inayotokana na ndizi kali maarufu kama “ENKONYAGI au KARIINYA” akidai kuwa pombe hiyo ni halali kwa sababu inatokana na ndizi ambazo ni chakula…

4 May 2021, 11:09 am

Shilingi milioni 626 kukarabati shule wilayani Karagwe

Halmashauri ya wilaya Karagwe imepokea shilingi milioni 626 kwa ajili ya ukarabati na ujenzi wa miundombinu katika baadhi ya shule za msingi na Sekondari wilayani Karagwe mkoani Kagera. Taarifa hiyo imetolewa na mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Karagwe Wallace…

2 May 2021, 12:59 pm

World Vision Tanzania Kanda ya Kagera yatoa faraja Missenyi

Shirika la World Vision Tanzania Kanda ya Kagera mradi wa Missenyi limekabidhi msaada wa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 12.5 kwa zaidi ya watu 300 wanaoishi kwenye kambi baada ya kuhama makazi yao Akikabidhi msaada huo kwa Mwenyekiti wa…

1 May 2021, 7:09 pm

Chanzo cha maji Katoke hatarini kutoweka

Chanzo cha maji cha Katoke kilichopo katika kitongoji cha Ruzinga kata ya Bugene wilayani Karagwe,kipo hatarini kutoweka kutokana na baadhi ya wafugaji wa ng`ombe kukigeuza kuwa eneo la kunyweshea mifugo yao. Wakazi wa kitongoji hicho wameieleza Radio Karagwe Sauti ya…

28 April 2021, 2:40 pm

Bilioni 82 zatengwa kwa ajili ya miradi.

Manispaa ya Mji wa Bukoba imetenga jumla ya shilingi bilioni 82 kwaajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali itakayosaidia kukuza uchumi na kuleta maendeleo ya wananchi. Hayo yamebainishwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Bukoba Godson Rwegasila Gypson ambaye pia ni…

28 April 2021, 1:49 pm

Madereva walia na ubovu wa stendi.

Madereva wa Tax katika stendi ya Kayanga wilaya ya Karagwe Mkoa Kagera wameiomba serikali wilayani humo kufanya marekebisho ya stendi kutokana na stendi hiyo kujaa maji na tope wakati wa masika. Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Karagwe bwana Wallece Mashanda…

27 April 2021, 5:55 pm

DC Mwilla ashiriki kuondoa maji kwenye makazi ya watu

Baada ya nyumba kadhaa na barabara za mitaa kujaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Wilayani Missenyi, leo April 27,2021 Mkuu wa Wilaya Missenyi Kanali Denisi Mwila ameshirikiana na wananchi kuzibua mitaro na mifereji ya maji iliyoziba nakusababisha maji kujaa…