Recent posts
4 March 2026, 8:00 pm
Halmashauri ya Missenyi yapitisha bajeti ya shilingi bilioni 56.8
Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Missenyi mkoani Kagera limeridhia kukusanya na kutumia kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 56.8 kwa mwaka wa fedha ujao. Na Respicius John, Missenyi Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya missenyi limepitisha…
3 March 2026, 8:11 pm
DC Maiga ahamasisha wananchi kujiunga na bima ya afya kwa wote
Wilaya ya Missenyi imekabidhi kadi za bima ya afya kwa wote kwa makundi maalum yaliyoandikishwa kupata bima hiyo bila malipo Na Respicius John, Missenyi Mkuu wa wilaya ya Missenyi kanali mstaafu Hamis Mayamba Maiga amezindua rasmi zoezi la usajili na…
10 February 2026, 4:10 pm
Ukatili majumbani wachangia mimba za utotoni Karagwe
“Tunaposema unyanyasaji wa kijinsia tuna maana ya Matendo au matukio anayoweza kufanyiwa mtu yeyote kwa makusudi kwa lengo la kumuumiza” Na Shabani Ngarama, Karagwe Jamii wilayani Karagwe imetakiwa kuachana na migogoro ya kifamilia ili kupunguza wimbi la watoto wa kike…
3 December 2025, 12:57 am
Longino ashinda kwa 100% uenyekiti halmashauri ya Karagwe
Halmashauri ya wilaya ya Karagwe mkoa wa Kagera imepata mwenyekiti mpya Bw. Longino Rwenduru baada ya kupigiwa kura 32 za ndiyo kati ya kura 32 zilizopigwa na madiwani wa halmashauri hiyo akirithi mikoba ya mwenyekiti wa muda mrefu Wallace Mashanda…
3 December 2025, 12:18 am
0.7% ya watu 70,000 wakutwa na VVU Karagwe
Juhudi za kupambana na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na unyanyapaa zimeendelea kukumbwa na changamoto ya mwitikio mdogo wa wananchi kupima afya zao na matumizi hafifu ya dawa kinga kwa wanaokutwa na maambukizi Na Ester Albert, Karagwe Jamii wilayani Karagwe…
22 October 2025, 9:31 pm
Mgombea udiwani ACT Wazalendo ashusha ahadi nzito Mabale Missenyi
Baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali za kisiasa mkoani Kagera wameendelea na kampeni zao kwa ajili ya kunadi sera zao katika wiki hii ya lala salama Na Theophilida Felician, Missenyi Zikiwa zimesalia siku chache wananchi kutimiza haki na wajibu wao…
13 October 2025, 11:38 am
ACT Wazalendo Kyaka wahimiza amani wakati wa uchaguzi mkuu
Wananchi wa kata ya Kyaka wilayani Misseyi mkoa wa Kagera wametakiwa kudumisha amani ili kulisaidia jeshi la polisi kulinda raia na mali zao hasa wakati huu taifa linapojiandaa na uchaguzi mkuu Na Theophilida Felician Kagera. Chama cha ACT WAZALENDO jimbo…
6 October 2025, 11:26 am
Wazazi watakiwa kuendeleza malezi kwa wahitimu kidato cha nne
Malezi kwa vijana wanaohitimu kidato cha nne ni jukumu la wazazi na walezi sambamba na jamii inayowazunguka wakizingatia kulinda mila na desturi Na Ospicia Didace, Karagwe Wazazi na walezi wilayani Karagwe wameaswa kuwatunza watoto wao hata baada ya kuhitimu ngazi…
5 October 2025, 7:36 pm
Mgombea udiwani ACT Wazalendo aahidi zahanati Mabale-Missenyi
Kati ya changamoto zilizoko katika kata ya Mabale, Mgombea udiwani ameshtushwa na hali ya kituo kilichojengwa kwa miti na kukandikwa kwa udongo kutumika kama zahanati ya kijiji cha Kibeo wilaya ya Missenyi mkoani Kagera Na Theophilida Felician, Bukoba. Mgombea udiwani…
3 October 2025, 6:41 pm
CHAUMMA waahidi mazingira bora soko la Kashai
Mgombea udiwani anayedai kusukumwa na uchakavu wa miundombinu ya soko la Kashai na kwamba anaweza kutatua changamoto hizo kwa kuwa naye ni mhanga. Na Theophilida Felician, Bukoba Mgombea udiwani kata ya Kashai manispaa ya Bukoba mkoani Kagera kupitia chama cha…