4 January 2025, 2:38 pm

Bei ya nyama yapanda ghafla katika mji wa Bunazi Missenyi

Na Respicius John, Missenyi Kagera Baadhi ya wakazi wa mji mdogo wa Bunazi wilayani Missenyi wamelalamikia ongezeko la bei ya nyama ya ng’ombe iliyopanda holela kutoka shilingi elfu 8 mpaka shilingi elfu kumi kwa kipindi cha takribani miezi minne. Wakiongea…

On air
Play internet radio

Recent posts

1 March 2025, 9:42 am

Kyerwa yajivunia ongezeko la sekondari za kidato cha tano na sita

Ofisi za uthibiti ubora wa elimu katika halmashauri za wilaya mkoani Kagera zimeendelea na ufuatiliaji wa miradi ya elimu na kuishukuru serikali kwa jinsi inavyoendelea kusajili na kusimamia shule za msingi na sekondari Na Ezra Lugakila Afisa uthibiti ubora wa…

24 February 2025, 7:04 pm

Buhaya Tegeka watoa shilingi milioni 1.5 kwa watoto Missenyi

Kikundi cha mtandao wa WhatsApp kijulikanacho kama Buhaya Tegeka wilayani Missenyi mkoani Kagera kimetoa mfano wa kunufaisha jamii kuliko kujinufaisha chenyewe kwa kuchangia vitu kadhaa vya mahitaji ya watoto Na, Respicius John, Missenyi-Kagera Kikundi cha mtandao wa Whatsapp cha Buhaya…

18 February 2025, 8:06 pm

Vibanda 10 vya wafanyabiashara vyateketea kwa moto Bunazi Missenyi

Wafanyabiashara na wajasiriamali nchini wameendelea kukumbwa na hasara za mara kwa mara kutokana na moto unaoripuka katika maeneo yao ya kazi kutokana na uhaba wa miundombinu rafiki ya uzimaji moto pindi unapotokea Na Respicius John Wafanyabiashara katika mji mdogo wa…

17 February 2025, 7:44 am

Wazazi wa watoto ambao hawajaripoti shule kusakwa Karagwe

Na: Jovinus Ezekiel Uongozi wa kata ya Kihanga wilayani Karagwe mkoani Kagera umeazimia kuanza kutekeleza mpango wa kuwasaka wazazi na walezi ambao watoto wao hawajaripoti shuleni tangu shule zifunguliwe katika kipindi cha mwezi Januari mwaka huu. Akizungumza katika mkutano wa…

9 February 2025, 6:09 pm

CHADEMA Bukoba mjini walionya jeshi la polisi kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA jimbo la Bukoba mjini kimeendelea kulalamikia mwenendo wa siasa hapa nchini na mara hii wakilionya jeshi la polisi kutofanya upendeleo kwenye uchaguzi mkuu ujao Na Theophilida Felician, Bukoba Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema…

5 February 2025, 9:41 pm

Wafanyabiashara Bunazi walalamikiwa kwa uchafuzi wa mazingira

Wananchi waishio kando ya masoko na magulio nchini wamekuwa wahanga wa harufu mbaya na pengine hofu ya kukumbwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na mlundikano wa taka kando ya makazi yao Na Respicius John, Missenyi Wananchi wanaopakana na soko la…

5 February 2025, 11:48 am

CCM Kagera yaonya wanaounda makundi kabla ya uteuzi wa wagombea

katibu wa itikadi uenezi na mafunzo wa chama cha mapinduzi mkoa wa Kagera Hamimu Mahamud,wakati akihutubia wananchi waliohudhuria sherehe ya miaka 48 ya kuzaliwa kwa chama cha mapinduzi iliyofanyika kimkoa wilayani Missenyi.picha na Respicius John Chama cha mapinduzi CCM mkoa…

4 February 2025, 10:24 am

DC Laiser aitaka mahakama kutenda haki kwa wajane

Kumekuwa na malalamiko juu ya upatikanaji wa haki mahakamani kwa makundi mbalimbali wakiwemo wajane wanaolalamikia kunyanyasika pindi wenza wao wanapofariki dunia Na Shabani Ngarama, Karagwe Mkuu wa wilaya ya Karagwe mkoani Kagera Julius Laiser amewataka watendaji wa mahakama kutenda haki…

3 February 2025, 9:05 pm

CHADEMA Bukoba wadai kutowatambua viongozi serikali za mitaa

Baada ya mchakato wa uchaguzi ndani ya chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA ngazi ya taifa kukamilika na Tundu Lissu kuchaguliwa kuwa mwenyekiti, chama hicho kimeendelea na kazi ya kusimamia nidhamu ya wanachama mikoani na wilayani Na Theophilida Felician, Bukoba…

KARAGWE FM PROFILE

UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.

DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.

MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.

MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171