Zenj FM
Zenj FM
27 August 2025, 4:17 pm
Na Is-haka Mohammed. Wananchi wa jimbo la Micheweni Wilaya ya Micheweni Pemba wameombwa kukiunga mkono chama cha CHAUMA na Wagombea wake ambao kitawasimamisha kupitia nafasi mbali mbali za uongozi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.Ombi hilo limetolewa na Makamo Mwenyekiti…
25 August 2025, 4:17 pm
Na Zulfa Shaibu Mkanjaluka. Mrundikano wa taka katika Shehia ya Chunga, Zanzibar, umeibuka kuwa changamoto kubwa kwa wakazi wa eneo hilo, wakihusisha hali hiyo na ongezeko la maradhi ya milipuko kama kipindupindu na mazingira machafu kwa ujumla.Katika mahojiano na Zenji…
24 August 2025, 4:02 pm
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji Mstaafu George Joseph Kazi, amezisihi pande zote tatu zinazohusika katika uchaguzi , Serikali, Tume na Vyama vya Siasa kuhakikisha zinatekeleza wajibu wao kama ilivyoainishwa katika Kanuni za Maadili…
24 August 2025, 12:21 am
Na Mary Julius. Afisa Elimu Mkoa wa Mjini Magharibi, Mohamed Abdalla Mohamed, amewataka vijana waliohitimu kidato cha sita Skuli ya Kiponda kuendeleza juhudi zao za kujisomea ili kufanikisha ndoto zao na kuliletea taifa maendeleo. Akizungumza katika hafla ya kuwaaga wanafunzi…
22 August 2025, 5:45 pm
Na Berema Suleiman. Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Zanzibar imesema jumla ya matukio 107 ya ukatili na udhalilishaji wa kijinsia yameripotiwa kwa mwezi wa Julai 2025 ambapo waathirika walikuwa 107 huku waathirika wengi wakiwa watoto sawa na asilimia…
20 August 2025, 7:37 pm
Na Mary Julius. Afisa Uhusiano wa Mpango wa Damu Salama, Ussi Bakar Mohamed, amesema Serikali ya awamu ya Nane imefanya maboresho katika sekta ya afya kwa kujenga hospitali katika kila wilaya, hatua inayoongeza mahitaji ya damu salama kwa wagonjwa mbalimbali.Ameyasema…
20 August 2025, 4:16 pm
Mradi wa CADIR ni wa miaka mitano, kuanzia mwaka 2025 hadi 2029, na unafadhiliwa na Umoja wa Watu Wenye Ulemavu wa Norway (NAD), ukiwa na thamani ya Shilingi Bilioni 20 za Kitanzania. Mradi huu utatekelezwa katika mikoa mbalimbali ya Tanzania…
18 August 2025, 3:21 pm
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ZEC, Jaji Joseph J. Kazi, ametangaza rasmi kuwa Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar kwa mwaka 2025 utafanyika siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025.Akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Jaji Joseph…
17 August 2025, 1:48 pm
Mradi CADiR unaratibiwa na Norwegian Association of Disabled (NAD) kama taasisi kiongozi, ukihusisha mashirika ya Norway.Mradi huo unatarajiwa kuzinduziliwa rasmi na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Othman Masoud Othman, tarehe 20 Agosti 2025 katika…
16 August 2025, 8:48 pm
Na Mary Julius. Kamishina wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC, Awadhi Ali Saidi, amewataka wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wa majimbo kuhakikisha kila mwenye haki ya kupiga kura anatekeleza haki hiyo bila kuwepo vikwazo. Akizungumza wakati akifunga mafunzo ya siku tano…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group