Zenj FM
Zenj FM
7 February 2026, 9:38 pm
Na Hakika Mwinyi Mwaka. Madiwani wa Baraza la Manispaa Kati wametakiwa kuwa wabunifu katika kuibua vyanzo vipya vya mapato kwa lengo la kuongeza mapato katika Manispaa hiyo. Hayo ameyasema Mkuu wa Wilaya ya Kati Rajab Ali Rajab katika kikao cha…
6 February 2026, 11:17 pm
Na Mary Julius. Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar, Dkt. Mngereza Mzee Miraji, ameipongeza Seifee Hospital Zanzibar kwa kuendesha kambi maalum ya tiba na upasuaji, akisema kuwa hatua hiyo ni utekelezaji wa moja kwa moja wa malengo ya Serikali…
4 February 2026, 11:12 pm
Na Mary Julius. Makamo Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo, Ismail Jussa, ameiomba Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kusitisha zoezi la kuteketeza nyaraka na vifaa vya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 hadi mashauri yote yaliyopo mahakamani yatakapomalizika. Makamo Mwenyekiti huyo…
4 February 2026, 10:54 pm
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Tiba wa Wizara ya Afya Zanzibar, Dkt. Msafiri Marijani, amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi katika kambi za matibabu ya bure ili kupima afya zao, hatua itakayosaidia kugundua mapema maradhi yasiyoambukiza na kupunguza athari zake kwa…
3 February 2026, 10:03 pm
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 13 wanaohusishwa na wizi wa vifaa vya ujenzi kwa njia ya udanganyifu, unyang’anyi wa kutumia silaha pamoja na utapeli wa fedha, kufuatia operesheni iliyoanza tarehe 31…
3 February 2026, 9:02 pm
Na Mary Julius. Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imeidhinisha rasmi zoezi la kuteketeza nyaraka zote zilizotumika katika Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa mwaka 2025, baada ya kukamilika kwa muda wa siku 90 tangu kumalizika kwa uchaguzi huo, kwa mujibu…
30 January 2026, 12:59 pm
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi limesema limejipanga kikamilifu kuhakikisha ulinzi na usalama vinaimarishwa kabla, wakati na baada ya mchezo wa kimataifa wa mpira wa miguu wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, CAF.…
30 January 2026, 11:23 am
Na Mary Julius. Wanachama wa vikundi vya wanawake wenye ulemavu Kusini Unguja (WUKU) wametakiwa kutumia ipasavyo mafunzo waliyoyapata kupitia mradi wa kuwezesha utetezi wa haki za wanawake wenye ulemavu na kuunga mkono kusainiwa kwa itifaki ya Afrika kuhusu haki za…
27 January 2026, 2:46 pm
Na Mary Julius. Balozi wa Utalii Zanzibar, Lois Inninger, amezitaka kampuni binafsi zinazofanya shughuli zake hapa nchini kurudisha kwa jamii sehemu ya faida wanazozipata, kwa kuchangia misaada mbalimbali itakayosaidia kuboresha ustawi wa jamii, hususan katika sekta ya afya. Balozi Inninger…
25 January 2026, 2:06 pm
Na Mary Julius. Mrajisi wa Asasi za Kiraia Zanzibar, Ahmed Khalid Abdulla, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inathamini kwa kiwango kikubwa juhudi zinazofanywa na jumuiya za wasaidizi wa sheria, akibainisha kuwa zimekuwa na mchango muhimu katika kuwasaidia wananchi, hususan…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group