Zenj FM

Recent posts

26 November 2025, 5:39 pm

Jamii yatakiwa kushirikiana kukomesha usafirishaji haramu wa binadamu

Na Omar Hassan. Taasisi zinazohusika kuzuia na kupambana na usafirishaji haramu wa binaadamu zimetakiwa kutumia ubunifu wa kubaini vyanzo vya uhalifu huo ili kukomesha vitendo hivyo ambavyo vimekuwa vikiwaathiri zaidi wanawake na watoto. Akifungua Kikao cha Wadau wa Serikali kwa…

20 November 2025, 7:23 pm

ZEC yasisitiza ushirikiano na uwazi ulivyoimarisha uchaguzi mkuu 2025

Mary Julius Kitipwi. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesisitiza kuwa ushirikiano mpana kati ya Tume na wadau wa uchaguzi umechangia kuendesha Uchaguzi Mkuu wa 2025 kwa uwazi, weledi na kwa kuzingatia misingi ya amani. Akifungua mkutano wa tathmini ya wadau…

19 November 2025, 5:41 pm

SMZ yaongeza nguvu kukuza lugha ya alama Zanzibar

Na Mary Julius. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesisitiza dhamira yake ya kuimarisha utoaji wa huduma jumuishi kwa watu wenye ulemavu, hususan katika kukuza na kusambaza matumizi ya lugha ya alama kwenye sekta mbalimbali. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Wakalimani…

17 November 2025, 4:57 pm

SHIJUWAZA: Tunaomba ushirikiano maadhimisho ya watu wenye ulemavu

Mkurugenzi wa Shirikisho la Jumuiya za Watu Wenye Ulemavu Zanzibar  (SHIJUWAZA) Ali Machano ameiomba jamii kushiriki kikamilifu katika shughuli mbalimbali zilizoandaliwa na jumuiya hiyo kuelekea maadhimisho ya Siku ya Watu Wenye Ulemavu Duniani. Ameeleza kuwa mafunzo maalum yameandaliwa, ambayo yataisaidia…

14 November 2025, 8:33 pm

SMZ yaahidi kuimarisha huduma kwa wagonjwa wa kisukari

Na Mwandishi wetu SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha ustawi wa watu wanaoishi na changamoto za ugonjwa wa kisukari unaimarika. Mkurugenzi wa Kinga na Elimu ya Afya, Dk. Salim Slim, amesema hayo wakati akifungua kongamano…

13 November 2025, 8:51 pm

Rais wa Zanzibar ataja mawaziri 16

“Mawaziri na manaibu waziri nilioteua hakikisheni mnatekeleza majukumu yanu kwa uwajibikaji, uadilifu na kasi ya maendeleo, ili kutimiza matarajio ya wananchi wa Zanzibar” Na Mary Julius. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza…

13 November 2025, 3:48 pm

Makosa ya kimtandao yatahadharishwa Zanzibar

Jamii imeaswa kuacha tabia ya kutumia mitandao ya kijamii kuwaumiza na kuwadhalilisha watu wengine, kufanya hivyo ni uvunja haki za watu na kinyume na sheria za nchi. Na Omar Hassan Jamii imeaswa kuacha tabia ya kutumia mitandao ya kijamii kuwaumiza…

12 November 2025, 3:57 pm

UNICEF yasifu juhudi za Jeshi la Polisi kukomesha udhalilishaji wa kijinsia

Na Omar Hassan. Naibu Katibu Mkuu anaeshughulikia Katiba na Sheria Afisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Mzee Ali Haji ameshauri kuangaliwa kwa kina sababu zinazopelekea kuongezea kwa vitendo vya udalilishaji wa kijinsia ili hatua za kupunguza udhalilishaji…

8 November 2025, 9:32 pm

Herrnhuter Academy yajivunia ukuaji na mafanikio ya elimu tangu 2013

Na Mary Julius. Katika kuhakikisha wanafunzi wanapata elimu bora, walimu wametakiwa kutumia mitaala mipya ya elimu ufuili kuwawezesha wanafunzi kupata maarifa na ujuzi utakaowaandaa kwa maisha ya baadae. Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Magharibi “A”, Afisa Elimu…

6 November 2025, 5:12 pm

Wenye ulemavu wajivunia kushiriki uchaguzi kwa amani Zanzibar

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) iliweka mipango bora iliyowezesha watu wenye ulemavu kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu kwa amani na bila ya vikwazo vyovyote. Na Ivan Mapunda. Mwenyekiti wa Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar, Abdulwakili H. Hafidhi, ameipongeza…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group