Zenj FM
Zenj FM
13 November 2025, 8:51 pm
“Mawaziri na manaibu waziri nilioteua hakikisheni mnatekeleza majukumu yanu kwa uwajibikaji, uadilifu na kasi ya maendeleo, ili kutimiza matarajio ya wananchi wa Zanzibar” Na Mary Julius. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza…
13 November 2025, 3:48 pm
Jamii imeaswa kuacha tabia ya kutumia mitandao ya kijamii kuwaumiza na kuwadhalilisha watu wengine, kufanya hivyo ni uvunja haki za watu na kinyume na sheria za nchi. Na Omar Hassan Jamii imeaswa kuacha tabia ya kutumia mitandao ya kijamii kuwaumiza…
12 November 2025, 3:57 pm
Na Omar Hassan. Naibu Katibu Mkuu anaeshughulikia Katiba na Sheria Afisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Mzee Ali Haji ameshauri kuangaliwa kwa kina sababu zinazopelekea kuongezea kwa vitendo vya udalilishaji wa kijinsia ili hatua za kupunguza udhalilishaji…
8 November 2025, 9:32 pm
Na Mary Julius. Katika kuhakikisha wanafunzi wanapata elimu bora, walimu wametakiwa kutumia mitaala mipya ya elimu ufuili kuwawezesha wanafunzi kupata maarifa na ujuzi utakaowaandaa kwa maisha ya baadae. Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Magharibi “A”, Afisa Elimu…
6 November 2025, 5:12 pm
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) iliweka mipango bora iliyowezesha watu wenye ulemavu kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu kwa amani na bila ya vikwazo vyovyote. Na Ivan Mapunda. Mwenyekiti wa Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar, Abdulwakili H. Hafidhi, ameipongeza…
6 November 2025, 1:57 pm
Katibu wa Baraza la Wawakilishi, Raya Issa Mselem, ametangaza matokeo hayo mara baada ya kumalizika kwa zoezi la upigaji kura lililofanyika katika kikao cha kwanza cha Baraza jipya lililofanyika Chukwani, Zanzibar. Na Mary Julius. Zuberi Ali Maulid amechaguliwa kwa mara…
5 November 2025, 11:02 pm
Katibu wa Baraza, Raya Issa Mselem, amesema kuwa uchaguzi wa Spika ni shughuli ya kwanza inayofanywa na wajumbe kabla ya kula kiapo cha uaminifu, kama ilivyoelezwa katika kifungu cha 70 cha Katiba. Na Mary Julius. Baraza la 11 la Wawakilishi…
4 November 2025, 9:19 pm
Si kila anayeshindwa anakata tamaa wengine hufanya kushindwa kuwa ngazi ya mafanikio.”Jifunze kutoka kwa safari ya Jamila, mwanamke shupavu aliyeamua kuandika ukurasa mpya wa uongozi unaojenga mshikamano na matumaini Na Ivan Mapunda. Katika medani ya siasa za Zanzibar, jina la…
28 October 2025, 3:58 pm
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), jaji George Joseph Kazi, amesema upigaji wa kura ya mapema umeanza vizuri, kwa wakati, na kwa hali ya amani na utulivu, huku wenye sifa ya kupiga kura hiyo wakijitokeza…
27 October 2025, 9:02 pm
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) Jaji Gorge Joseph Kazi amewataka waangalizi wa uchaguzi wa ndani na wa kimataifa kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa uangalifu, uhuru na uadilifu kwa kuzingatia malengo ya kazi zao, huku…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group