Zenj FM
Zenj FM
25/02/2026, 01:06
Na Mary Julius. Taasisi za wasaidizi wa kisheria nchini zimeendelea kuwa nguzo muhimu katika kusogeza huduma za haki karibu na wananchi, hasa wasiokuwa na uwezo wa kumudu gharama za mawakili na wanasheria binafsi. Hayo yameelezwa na Afisa Miradi wa Mwavuli…
19/02/2026, 16:56
Mahakama Kuu ya Zanzibar imetupilia mbali maombi ya kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar yaliyohusu wajumbe wa Baraza la Wawakilishi katika majimbo nane (8) ya Kiwani, Mkoani, Chake Chake, Chonga, Wawi, Wingwi, Micheweni na Kojani. Na Mwandishi wetu. Maombi…
19/02/2026, 16:33
Na Mary Julius. Afisa Saikolojia wa Wizara ya Afya, Dkt. Mussa Khamisi Juma, amewataka wanafunzi wanaoshiriki mashindano ya Qur’an kujiepusha na vitendo vyovyote vya kihalifu na kuzingatia maadili mema yanayowajenga katika misingi ya dini. Dkt. Juma ameyasema hayo wakati akitoa…
16/02/2026, 14:24
Na Hakika Mwinyi. Wananchi wametakiwa kusafisha maeneo yao yaliyo wazunguka pamoja na kuhakikisha Viwanja na Magofu vinakuwa safi kwa usalama wao na Jamii kwa ujumla. Mstahiki Meya wa Baraza la Manispaa Kati Said Hassan Shaaban ameyasema hayo wakati wa shughuli…
15/02/2026, 08:56
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Hudhaima Mbarak Tahir, amewataka waandishi wa habari kuzingatia maadili ya taaluma yao, kuthibitisha taarifa kabla ya kuzichapisha au kuzitangaza, ili kuepuka upotoshaji unaoweza kuleta taharuki au mgawanyiko katika jamii. Hudhaima ameyasema…
13/02/2026, 21:07
Na Berema Nassor. Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu Zanzibar,Mudrik Ramadhan Soraga, amesema uanzishwaji na utekelezaji wa mfumo wa anuani za makaazi ni hatua ya kimkakati inayolenga kurahisisha utambuzi wa makaazi, biashara na taasisi, sambamba na kuboresha upatikanaji…
13/02/2026, 20:44
Wazazi na walezi wametakiwa kuhakikisha wanawaandikisha shule mapema watoto wenye mahitaji maalum, mara tu wanapofikia umri wa kuanza masomo ili wapate haki yao ya msingi ya elimu sawa na watoto wengine. Na Hakika Mwinyi. Wito huo umetolewa na Afisa Elimu…
13/02/2026, 17:01
Mary Julius. Mahakama Kuu ya Zanzibar imekubaliana na pingamizi lililowekwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar pamoja na mwanasheria mkuu wa serikali na kuyatupilia mbali maombi ya kuweka zuio la kuteketeza nyaraka za uchaguzi yaliyowasilishwa na wagombea wa ACT Wazalendo. Uamuzi…
12/02/2026, 16:39
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa ZIC Takaful, Said Abdallah ameitaka jamii kujitokeza kwa wingi na kutumia huduma za bima ya Takaful ili kujiepusha na mifumo ya riba iliyokatazwa katika mafundisho ya dini. Na Mary Julius. Wito huo umetolewa na Kaimu Mkurugenzi…
11/02/2026, 21:33
Na Hakika Mwinyi Mwaka. Walimu wametakiwa kufanya tathmini ya masomo yao mara kwa mara ili kuhakikisha wanafunzi wanapata uelewa wa kutosha wakiwa madarasani, hatua itakayochangia kuongeza ufaulu wao kitaaluma. Kauli hiyo imetolewa na Afisa Elimu Wilaya ya Kati, Somoe Said…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group