Zenj FM
Zenj FM
21 July 2025, 6:14 pm
Na Is haka Mohammed. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi INEC imewataka Waratibu na wasimamizi wa Uchaguzi Pemba Kuzingatia Katiba,Sheria, Kanuni na Miongozo iliyotolewa na itakayolewa na Tume katika kutekeleza majukumu yao ya kusimamia uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.Wito huo…
21 July 2025, 5:29 pm
Na Is haka Mohammed. Chama cha Allience for Democtatic Change (ADC) kimesema kikipata ridhaa ya kuongoza Zanzibar kitafanya mageuzi katika sekta ya Elimu kwa kutoa elimu bure kwa watoto wa Skuli za Maandalizi hadi ngazi ya vyuo Vikuu.Akizungumza na Wananchi…
20 July 2025, 5:36 pm
Mkurugenzi wa Baraza la Mji Kati, Dkt. Mwanaisha Ali Said,amewahimiza wananchi kubadilika kifikra na kuchukulia usafi kama jukumu la pamoja kwa ajili ya afya na maendeleo ya jamii. Wananchi wa Wilaya ya Kati wametakiwa kuzingatia suala la usafi wa mazingira…
19 July 2025, 5:19 pm
Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya amesema bila ya uwepo wa TRA, serikali zote mbili — ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ya Mapinduzi ya Zanzibar — zisingeweza kutekeleza mipango ya…
17 July 2025, 5:08 pm
Katika kuthamini juhudi za Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi ,Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar imemtunuku Rais huyo Tuzo Maalum kwa mchango wake mkubwa katika kuimarisha demokrasia na mazingira bora ya utendaji wa…
16 July 2025, 3:12 pm
Wamiliki wa gari za abiria wasiopungua kumi na tano 15 na madereva wa ruti za Wilaya ya Kati wamepatiwa elimu ya usafi katika gari zao. Na Mwandishi wetu. Wamiliki wa gari za abiria na madereva wametakiwa kuzingatia suala la usafi…
14 July 2025, 6:17 pm
Na Mwandishi wetu. Chama cha Ada Tadea kimesema viongozi wa dini,wanaharakati na wanasiasa wanapaswa kudumisha amani na umoja wa kitaifa hasa kwa kuzingatia kuwa Zanzibar ni nchi ya visiwa katika kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Wito huo umetolewa na…
14 July 2025, 5:29 pm
Na Is-haka Mohammed. Viongozi wa wakulima wanawake katika kilimo Msitu na Mikoko Pemba (TOT) wametakiwa kuvitumia vyombo vya habari kueleza kazi wanazoendelea nazo ikiwemo mafanikio na Changamoto wanazokumbana nazo katika harakati zao za kilimo hicho.Wito huo umetolewa na Mkuu wa…
13 July 2025, 7:05 pm
Tuzo ya World Summit on the Information Society (WSIS) hutolewa na International Telecommunication Union (ITU) kwa kutambua matumizi bora ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika maendeleo ya jamii. Mradi wa Kadi ya Matibabu ya Zanzibar uliibuka miongoni mwa…
11 July 2025, 4:04 pm
Nchi ambazo zimesaini Mkataba wa Afrika Kuhusu Haki za Watu Wenye Ulemavu (African Disability Protocol, ADP),ambao umeanza kutumika rasmi tangu Mei 2024 ni Angola, Burundi,Cameroon, Congo Brazzaville, Kenya, Mali, Malawi, Msumbiji, Namibia, Niger, Nigeria, Rwanda, Afrika Kusini, Uganda, na Zimbambwe.…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group