Zenj FM

Recent posts

03/09/2025, 13:49

Simai aahidi kampeni za kistaarabu jimbo la Tunguu

Na Mary Julius. Mgombea wa uwakilishi jimbo la Tunguu, kupitia Chama Cha Mapinduzi Simai Mohammed Said, ameahidi kufanya Kampeni za kistaarabu kama ilivyoagizwa na viongozi wakuu wa chama chake. Simai ameyasema hayo leo mara baada ya kuchukua fomu katika ofisi…

01/09/2025, 19:11

17 wajitosa urais Zanzibar, wamo wanawake watatu

Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji George J. Kazi, amekabidhi rasmi fomu za uteuzi kwa wagombea wa nafasi ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar .Hafla hiyo imefanyika katika Ofisi za Tume, Maisara,…

31/08/2025, 18:22

ZEC yaendelea kutoa fomu kwa wagombea sita wa urais Zanzibar

Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Jaji George J. Kazi, amekabidhi rasmi fomu za uteuzi kwa wagombea sita wa Kiti cha Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.Hafla hiyo imefanyika katika Afisi za Tume zilizopo Maisara,…

30/08/2025, 18:14

Wagombea wa vyama sita wachukua fomu za uteuzi ZEC

Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji George J. Kazi, amewakabidhi fomu za uteuzi wagombea wa vyama mbalimbali vinavyotarajia kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar mwaka 2025. Zoezi hilo la uchukuaji fomu za kugombea urais lilianza…

28/08/2025, 17:38

ZEC yaanza rasmi zoezi la uchukuaji wa fomu za uteuzi Zanzibar

Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC, Thabit Idarous Faina, ametangaza kuwa zoezi la uchukuaji wa fomu za uteuzi kwa ajili ya nafasi ya urais, uwakilishi, na udiwani limeanza rasmi leo.Mkurugenzi Faina amesema kuwa zoezi…

27/08/2025, 17:16

Waziri Pembe ahimiza amani wakati wa uchaguzi

Na Omar Hassan Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Riziki Pemba Juma amewataka Maafisa, Wakaguzi na Askari wa Jeshi la Polisi kuendelea kuimarisha Amani na usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ili uchaguzi huo ufanyike katika hali ya…

27/08/2025, 16:17

Wafuasi 100 wa ACT Wazalendo watimkia CHAUMA Micheweni

Na Is-haka Mohammed. Wananchi wa jimbo la Micheweni Wilaya ya Micheweni Pemba wameombwa kukiunga mkono chama cha CHAUMA na Wagombea wake ambao kitawasimamisha kupitia nafasi mbali mbali za uongozi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.Ombi hilo limetolewa na Makamo Mwenyekiti…

25/08/2025, 16:17

Wananchi Chunga wataka suluhisho la haraka kwa tatizo la taka

Na Zulfa Shaibu Mkanjaluka. Mrundikano wa taka katika Shehia ya Chunga, Zanzibar, umeibuka kuwa changamoto kubwa kwa wakazi wa eneo hilo, wakihusisha hali hiyo na ongezeko la maradhi ya milipuko kama kipindupindu na mazingira machafu kwa ujumla.Katika mahojiano na Zenji…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group