Zenj FM
Zenj FM
5 July 2025, 9:05 pm
Serikali ya Mapinuzi ya Zanzibar imejipanga kufanya mageuzi kwenye Sekta ya Ushirika ili kuhakikisha inavijenga Vyama vya Ushirika kuwa imara, endelevu na vyenye kutoa tija kwa Wanachama wake. Na Mary Julius. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imedhamiria kuendeleza juhudi…
4 July 2025, 4:46 pm
Jamii imetakiwa kuona umuhimu wa kuwafanyia uchunguzi wa afya watoto ili kuweza kugundua tatizo na kupatiwa matibabu mapema. Na Mary Julius. Jamii nchini imeshauriwa kujiwekea utaratibu wa kuwapeleka watoto wao katika vituo vya afya ili kufanyiwa uchunguzi wa maradhi mbali…
3 July 2025, 11:24 am
Na Mary Julius. Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Shariff Ali Shariff, amesema maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Ushirika Duniani kwa mwaka huu yatafanyika kitaifa huko Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, siku ya Jumamosi, tarehe…
3 July 2025, 10:54 am
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC, Thabit Idarus Faina, ametangaza kuwa Tume hiyo imewafuta jumla ya wapiga kura 3,352 waliobainika kupoteza sifa za kuwemo katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mujibu wa Sheria…
2 July 2025, 6:57 pm
Na Ivan Mapunda. Takwimu zinaonesha bado hakuna uwakilishi wa kutosha wa wanawake katika nafasi za uongozi, za kuchaguliwa au kuteuliwa katika ngazi mbalimbali za uongozi na hata hivyo ukilinganisha na tulipotoka, kuna mabadiliko chanya katika ushiriki wa wanawake na uongozi.…
2 July 2025, 4:24 pm
Zoezi la uhakiki kwa wastaafu wa ZSSF hufanyika mara mbili kwa mwaka, yaani mwanzoni mwa mwezi wa Januari na mwezi wa Julai, ambapo wastaafu wote wanatakiwa kufika kuthibitisha taarifa zao ili kuendelea kupokea mafao yao kwa mujibu wa taratibu. Na…
1 July 2025, 3:27 pm
Tuzo za World Travel Awards,hushirikisha makundi mbalimbali katika sekta ya utalii, ikiwa ni pamoja na hoteli, viwanja vya ndege, mashirika ya ndege, vivutio vya kitalii, waandaaji wa matukio na tamasha, na huduma nyingine zinazohusiana na usafiri na ukarimu. Na Mary…
29 June 2025, 12:29 am
Lengo la mafunzo hayo ni kuwawezesha wanawake kuelewa Mkataba wa Afrika wa Haki za Watu Wenye Ulemavu (African Disability Protocol – ADP) na kujifunza mbinu mbalimbali za kuutetea. Na Mary Julius Wanawake wenye ulemavu wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kutoa maoni…
28 June 2025, 9:52 pm
Chama cha Mapinduzi CCM kimeanza mchakato wa utoaji fomu za kuwania nafasi mbali mbali kupitia kura za maoni ndani ya chama . Na Is-haka MohamedMakamo Mwenyekiti wa Jumuiya ya wanawake UWT Tanzania Zainab Khamis Shomar amewataka wanawake kujitokeza kwa wingi…
22 June 2025, 5:06 pm
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Jumuiya ya Wajane Zanzibar, Tabia Makame Mohammed, amesema kuwa moja ya changamoto kubwa zinazowakumba wajane ni msongo wa mawazo, unaosababishwa na kukosekana kwa malezi na matunzo kwa watoto.Akizungumza na Zenj FM, Tabia amesema hali hiyo…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group