Zenj FM

Recent posts

14 August 2023, 3:01 pm

Wamiliki wa Mahotel wakumbushwa haki na wajibu wao wilaya ya Kati

Wamiliki wa Mahoteli wilaya ya Kati ametakiwa  kuzipitia  sheria na Kanunu za Serikali za Mitaa katika huduma ya uzoaji wa taka ili kuepusha migogoro baina yao na Baraza la mji. Wafanyabiasha wa Mahoteli Wilaya ya Kati wameshauriwa kuzisoma vyema Sheria…

14 August 2023, 1:54 pm

Bandari Pemba yakusanya zaidi ya bilion 2

Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar imetembelea  bandari ya Mkoani Pemba na kushuhudia madadiliko katika bandari hiyo ikiwemo  katika njia ya kupitia abiria ambapo sasa abiria wanaweza kupita bila ya kupigwa na jua au mvua inaponyesha. Na Is-haka Mohammed…

13 August 2023, 4:40 pm

Wazazi wa kiume watakiwa kutenga muda kwa ajili ya watoto wao

Katika kuhakikisha watoto wanakuwa kwenye maadili, wazazi hawana budi kutenga muda wa kuwasikiliza na kuwa karibu nao ili kujenga jamii bora ya badae. Na. Is-haka Rubea Wazazi na Walezi wameombwa harakati zao za kutafuta maisha zisiwanyime muda wa kukaa na…

13 August 2023, 4:08 pm

Kituo cha polisi Tumbatu kwa mara ya kwanza

Kituo hicho cha polisi Tumbatu chenye hadhi ya daraja “c” kinatarajiwa kuwa mkombozi kwa wananchi wa kisiwa hicho. Na Said Bakari. Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamad Khamis Hamad amesema kukamilika kwa mradi wa kituo cha Polisi katika Kisiwa cha Tumbatu kutapelekea…

11 August 2023, 3:21 pm

ZRA yajisogeza karibu ya walipa kodi Pemba

Na Is-haka Mohammed Pemba. Katika kuhakikisha wananchi kisiwani Pemba wanalipa kodi kwa ukamilifu Mamlaka ya Mapato Zanzibar imetoa mafunzo kwa walipa kodi Pemba ili kuwajengea uelewa wa mfumo mpya wa kulipa kodi. Mamlaka ya Mapato Zanzibar ZRA imesema mabadiliko ya…

11 August 2023, 2:43 pm

Zenj fm waahidi kutumia mtandao wa Radio Tadio

Katika mafunzo hayo waandishi wa Zenj fm wamefundishwa tofauti ya utangazaji wa kwenye Redio na habari za mtandaoni. Na. Berema Nassor. Waandishi wa habari wa kituo cha redio cha Zenj FM wameshauriwa kuzitumia fursa zilizopo katika mtandao wa Radio Tadio…

10 August 2023, 2:55 pm

Masheha watakiwa kuyatumia maonesho ya nanenane kujiongezea elimu

Amesema katika ziara yao hiyo watajifunza mbinu mbali mbali ambazo wakiitoa kwa wananchi wataweza kuisaidia kwa kiasi kikubwa wizara katika utoaji wa elimu ya kilimo na ufugaji. Na Khamis Said Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo  Shamata Shaame Khamis amewataka masheha wa wilaya…

9 August 2023, 2:49 pm

Tadio yawapiga msasa waandishi wa habari Zanzibar

Waandishi wa habari Zanzibar wametakiwa kutumia mtandao wa Radio Tadio ili kubadilishana habari. Na Mary Julius Mhariri wa Radio Tadio Tanzania Hilali Ruhundwa amewataka waandishi wa habari zanzibar kuitumia fursa ya mtandao wa radio tadio  katika kuchapisha habari ili kuweza…

8 August 2023, 12:39 pm

Moto wateketeza hotel Pongwe

Mkuu wa mkoa wa Kusini Unguja amewataka zimamoto kutoa elimu ya kukabiliana na majanga ya moto kwa wananchi. Na Fatuma Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja Rashid Hadid Rashid  ameziagiza mamlaka ya zima moto, shirika la umeme na idara ya maafa  kuandaa utaratibu…