Zenj FM

Recent posts

24/09/2025, 22:36

UPDP yaja na sera za afya bure na uvuvi bahari kuu

Na Mary Julius. Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha UPDP, Hamad Mohammed Ibrahim, amesema endapo chama chake kitachaguliwa na kuingia madarakani kitadumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Akizungumza katika mkutano  wa kampeni za chama hicho uliofanyika katika…

19/09/2025, 18:28

CCM yaweka mikakati madhubuti ya kuongeza ajira kwa vijana

Na Mary Julius. Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema ukuaji wa uchumi ni matokeo ya utekelezaji mzuri wa…

16/09/2025, 18:02

Skauti mashuleni, njia ya kukuza uzalendo kwa vijana

Na wilaya ya Kati. Mkuu wa wilaya ya kati Rajab Ali Rajab, amewataka walimu katika Wilaya ya hiyo kuanzisha vyama vya Skauti katika skuli zao ili kuwajenga wanafunzi kuwa wazalendo, wenye maadili na kuwasaidia kuwa raia wema wa baadaye. Akizungumza…

16/09/2025, 16:27

TRA yapanua wigo wa biashara ya maji Zanzibar hadi Tanzania Bara

Na Mary Julius. Mamlaka ya Kodi ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mfumo mzuri wa Kodi kwa bidhaa umeanza kuandaliwa ili maji yanayozalishwa Zanzibar yaweze kutumia soko la pamoja la Tanzania.Hayo yameleezwa na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…

15/09/2025, 21:50

ADA-TADEA: Wi-Fi bure, gesi kwa masikini na uzalishaji wa ndani

Na Mary Julius, Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ADA-TADEA, ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho Juma Ali Khatibu amesema dhamira ya chama chake ni kuendelea kuiunga mkono serikali iliyopo madarakani kutokana na kazi nzuri inayofanywa katika kuwaletea…

14/09/2025, 23:18

UPDP kutoa mamilioni kwa wanaotaka kuoa Zanzibar

Na Mary Julius. Mgombea urais Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha the United People’s Democratic Party UPDP, Hamad Mohammed Ibrahim, ameahidi kuwa endapo itapata ridhaa na kuingia madarakani seriakali yake itajenga viwanda vya kusarifu karafuu na mazao mengine ili kuleta…

13/09/2025, 20:41

Dk. Mwinyi: Ajira kwa vijana na uchumi imara ndiyo kipaumbele

Na Mary Julius. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuwa endapo atachaguliwa serikali yake itahakikisha inalivuka lengo la kuwaajiri vijana…

12/09/2025, 18:18

Polisi wamshikilia kijana kwa mauaji baada ya ugomvi wa biashara

Na Omar Hassan. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linamshikilia Mohamed Khamis Hamadi maarufu Edi Mkono(25) Mkazi wa Tunguu Mchamvyani kwa tuhuma za mauaji.Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa PolisI Mkoani Tunguu – Kusini Unguja (SACP) Daniel Shillah…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group