Zenj FM
Zenj FM
16 August 2025, 8:48 pm
Na Mary Julius. Kamishina wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC, Awadhi Ali Saidi, amewataka wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wa majimbo kuhakikisha kila mwenye haki ya kupiga kura anatekeleza haki hiyo bila kuwepo vikwazo. Akizungumza wakati akifunga mafunzo ya siku tano…
16 August 2025, 4:39 pm
Na Mwandishi wetu Kamishina mstaafu wa Tume ya kurejebisha Katiba Tanzania Nassor Khamis Mohamed amesema aliyekuwa Balozi wa Cuba Humphire Polepole anapaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu na kufunguliwa mashitaka kwa Manufaa ya Taifa na kulinda misingi ya Muungano wa Tanganyika…
15 August 2025, 8:09 pm
Na Mary Julius. Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Dk. Khalid Salum Mohamed amesema hatua ya kutiwa saini makubaliano ya ushirikiano kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia ZICTIA, Zanzibar Communication Corporation na kampuni ya Airtel ni hatua muhimu…
15 August 2025, 5:38 pm
Na Mwandishi watu Mgombea mweza nafasi ya Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ADA Tadea, Ali Makame Issa,amesema Rais Dk Samia Suluhu Hassan kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa tike ya chama cha mapinduzi kunatokana na kudura…
15 August 2025, 4:44 pm
Na Mary Julius. Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Kitwana Mustafa, amewataka madereva wa daladala kuzingatia matumizi sahihi ya vituo vipya vya kushushia na kupakia abiria, kwa kuhakikisha hawazidi dakika tatu katika kila kituo, ili kuepuka msongamano wa magari…
13 August 2025, 4:52 pm
Na Ivan Mapunda. Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC imewahakikishia wadau uchaguzi na wananchi kuwa itaendesha uchaguzi huru na wa haki huku ikisistiza kuwa kura ya mapema itakuwepo kama ilivyoanishwa na sheria ya uchaguzi namba 4 ya mwaka 2018.Makamu Mwenyekiti wa…
13 August 2025, 4:29 pm
Na Mary Julius. Waandishi wa habari wametakiwa kushirikiana kwa karibu na wizara ya Afya Zanzibar kitengo cha chanjo ili kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa chanjo, kwa lengo la kupunguza upotoshaji na dhana potofu zinazohusu chanjo.Afisa kutoka Kitengo cha Chanjo Zanzibar,…
10 August 2025, 6:19 am
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC Jaji Joseph Kazi amewakumbusha wasimamizi wa uchaguzi kuwa Mafanikio ya Tume ya Uchaguzi yapo mikononi mwao kwa kuwa wao ni kiungo muhimu kati ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar na jamii. Na Mary…
7 August 2025, 4:23 pm
Msaidizi Afisa mazingira Halmashauri ya Wilaya ya Kusini Biubwa Hassan Haji, amesema Halmashauri inaandaa utaratibu wa kuanzisha vikundi maalum kwa kila Shehia vitakavyohusika na uchukuaji taka za majumbani. NA Khamis Abdi Juma Halmashauri ya Wilaya ya Kusini Unguja imewaomba wananchi…
7 August 2025, 4:00 pm
Na Omar Hassan. Kamishna wa Polisi Zanzibar CP Kombo Khamis Kombo, amewapongeza watendaji wa madawati ya Jinsia na watoto ya Jeshi la Polisi Tanzania kwa utendaji wao mzuri na kupelekea kupungua kwa makosa ya udhalilishaji. Akiwakaribisha watendaji 245 wa Madawati…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group