Karagwe FM
Karagwe FM
29 September 2021, 7:20 am
Baadhi ya wavuvi wanaofanya shughuli zao katika mwalo wa Katunguru kata ya Gwanseri wilayani Muleba wako hatarini kupata mlipuko wa magonjwa kutokana na mwalo huo kutokuwa na choo hali inayosababisha baadhi yao kujihifadhi vichakani na ziwani.
29 September 2021, 7:02 am
Mweyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Bukoba Murshid Ngeze amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa mamlaka ya viongozi wa serikali za mitaa ALAT Taifa katika uchaguzi uliofanyika mwishoni mwa wiki Jijini Dodoma. Akiongea na Radio Karagwe kwa njia ya simu…
29 September 2021, 6:44 am
Baraza kuu la waislamu Tanzania BAKWATA Makao makuu linatarajia kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume Muhammad maarufu kama Maulidi mwaka huu kitaifa mkoani Kagera. Akiongea na wandishi wa habari Septemba 28 mwaka huu Sheikh wa mkoa wa Kagera alhaji Haruna Kichwabuta…
22 September 2021, 1:52 pm
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeifuta kesi ya uchochezi iliyokuwa inamkabili, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleao (Chadema) Tanzania Bara, Tundu Lissu na wenzake wanne.Ni baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) kuieleza mahakama hiyo kuwa hana…
31 August 2021, 11:10 am
Wakazi wa Kijiji cha Mutukula kilichoko Missenyi Mkoani Kagera wametakiwa kutoa ushirikiano ili kufanikisha sensa ya majaribio itakayofanyika tarehe 11 Septemba 2021 Akihamasisha Wananchi kushiriki zoezi la majaribio ya sensa katika Mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Mutukula kilichoko…
11 August 2021, 7:28 am
Shirika la World Vission mradi wa Missenyi ADP wilayani Missenyi, limekabidhi zaidi ya shilingi million 65 za matundu 16 ya vyoo vya wanafuzi katika shule za misingi Gabulanga, Rwazi na Kilimilile.
11 August 2021, 7:16 am
Viongozi kwa kushirikiana na wananchi wilayani Karagwe wametakiwa kupitisha wananchi wenye kaya masikini kwa kuzingatia sifa za walengwa wa mfuko wa TASAF bila upendeleo ili kuepusha manung’uniko. wito huo umetolewa naye bwana AhamWito huo umetolewa na Bwana Ahamed Mafyu Kwaniaba…
2 August 2021, 9:34 am
Baraza la madiwani wilaya ya Karagwe mkoani Kagera limemfukuza kazi mtendaji wa kijiji cha Omkakajinja kata ya Rugela kwa tuhuma za kuuza Ardhi ya kijiji hekari 30. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Karagwe na Diwani kata ya Nyaishozi, Mhe. Wallace…
29 June 2021, 8:22 am
Mkuu wa mkoa wa Kagera Meja General Charles Mbuge ameliagiza baraza la madiwani wa Halmashauri ya wilaya Karagwe mkoani Kagera kuhakikisha linawachulia hatua za kisheria watumishi waliobainika kutumia vibaya madaraka ya ofisi na kusababisha Halmashauri hiyo kupata hati ya mashaka…
29 June 2021, 7:41 am
Mkuu wa wilaya ya Karagwe Bi.Julieth Binyula ameziagiza Taasisi za Kiserikali na zisizokuwa za Kiserikali kuchukua tahadhari ya kujikinga na ugonjwa wa COVI 19. Binyula amesema hayo kupitia mkutano wake na waandishi wa habari ofisini kwake na kuwataka wafanyabiashara pia…
UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.
DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.
MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.
MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171