Karagwe FM
Karagwe FM
14 November 2023, 12:56 pm
Magonjwa yasiyokuwa ya kuambukizwa ni magonjwa anayoweza kuyapata mtu yeyote bila kuambukiza watu wengine Na: Shabani Ngarama, Karagwe Imeelezwa kuwa chanzo kikubwa cha magonjwa yasiyoambukiza kwa wananchi wa wilaya ya Karagwe ni ulaji mbaya wa vyakula vya mafuta na wanga,…
8 November 2023, 8:10 pm
Na Jovinus Ezekiel Serikali mkoani Kagera imepongeza jitihada zinazoendelea kutekelezwa na taasisi ya KADERES inayohudumia wakulima katika wilaya mbalimbali za mkoa huo kwa kuanzisha mafunzo ya kilimo na uzalishaji wa miche ya miti rafiki kwa mazingira kwa ajili ya kuendeleza…
30 October 2023, 9:11 pm
Zaidi ya shilingi milion 27 zimekusanywa katika harambee ya ujenzi wa kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania Dayosisi ya Karagwe, mtaa wa Nyabwegira usharika wa Nyabwegira uliopo katika Jimbo la Lukajange. Na Jovinus Ezekiel Karagwe Serikali wilayani Karagwe imepongeza jitihada…
27 October 2023, 10:04 pm
Na Jovinus Ezekiel Jumla ya mifuko 40 ya saruji imetolewa na mbunge wa viti maalum mkoani Kagera Anatropia Theonest kwa lengo la kuwezesha ujenzi wa miradi ya zahanati ya Milambi na shule shikizi ya msingi Omukiyonza inayotekelezwa katika kata ya…
27 October 2023, 9:14 pm
Na Jovinus Ezekiel Waziri wa ujenzi na mbunge wa jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa amewahakikishia walimu wa wilaya ya Karagwe kuwafikishia changamoto zinazowakabili ikewemo madeni ya walimu na kikokotoo cha malipo ya msitaafu kutokuwa rafiki kwa serikali ili ziweze kupatiwa…
22 September 2023, 5:45 pm
Mradi wa bomba la mafuta ni miongoni mwa miradi ya kimkakati inayotekelezwa na serikali unaohusisha nchi mbili kwa maana ya Tanzania na Uganda hivyo waandishi wa habari hawana budi kueleza wananchi habari sahihi na kwa wakati juu ya mwenendo wa…
20 September 2023, 6:59 pm
Mwenyekiti wa Jukwaa la wanawake wilaya ya Karagwe Leah John amewataka wanawake kutumia fursa za makongamano mbalimbali ili kubadilishana maarifa na kuinuana kiuchumi bila kujali viwango vya vipato vyao. Na. Ospicia Didace Mwenyekiti wa Jukwaa la wanawake wilaya ya Karagwe…
19 September 2023, 3:44 pm
Watoto 95,454 wenye umri kuanzia 0 hadi miaka 8 wilayani Kyerwa watapatiwa chanjo ya Polio kuanzia September 21-24 mwaka huu. Akizungumza na Redio Karagwe Fm Sauti ya Wananchi September 19 mwaka huu, Mratibu wa Elimu ya Afya kwa Umma (DPH…
18 September 2023, 2:19 pm
Na: Eliud Henry Askofu wa Jimbo Katoliki Kayanga, Mhashamu Almachius Rweyongeza ametoa Sakramenti ya Kipaimara kwa vijana 163 wa Parokia ya Mtakatifu John Chrysostorm-Businde pamoja na kutabaruku altare ya parokia hiyo kwa kuzika masalia ya Mt.Yohane Paulo II kama ishara…
16 September 2023, 8:00 pm
Septemba 15, 2023 waumini wa kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania Dayosisi ya Karagwe wamejumuika pamoja katika tamasha la nne la uimbaji la wanawake wa dayosisi hiyo ambapo vikundi 12 vya kwaya vilishiriki mashindano hayo na kwaya ya akina mama…
UTANGULIZI.
Radio Karagwe ni Radio ya kijamii iliyoanzishwa na shirika lisilokuwa la kiserikali lijulikanalo kama Karagwe Media Association (KAMEA).Ilianza kurusha matangazo yake Desemba 11.2007 kupitia masafa ya 91.4 MHz kwa ufadhili wa shirika la nchini Denmark (ULD80 Karagwe Venor) waliowezesha mafunzo kwa watumishi na upatikanaji wa vifaa.
DIRA.
Kuziba pengo la mawasiliano kwa wananchi wa Karagwe ambao kwa wakati huo hawakuwa na uwezo wa kusikiliza radio za Tanzania kutokana na jiongrafia ya eneo.
MAENEO REDIO INAKOSIKIKA
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na ULD80 June mwaka 2012 Radio Karagwe ina zaidi ya wasikilizaji milioni 1.2.(KM 200 KUTOKA MAKAO MAKUU).Inasikika katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kagera,katika wilaya za Karagwe, Kyerwa, Missenyi, Muleba na Bukoba Vijijini. Inasikika katika maeneo machache wilaya za Ngara, Biharamulo na Bukoba manispaa. Pia inasikika maeneo ya nchi jirani za Uganda, Burundi na Rwanda.
MAWASILIANO.
S.L.P 316,KARAGWE KAGERA TZ
E-mail : radiokaragwe@gmail.com
Phone: +255 754 677 708 / +255 689 471 171