Karagwe FM

Recent posts

26 April 2021, 8:20 pm

Wakosa makazi kwasababu ya Mafuriko.

Mvua zinazoendelea kunyesha katika sehemu mbalimbali Wilayani Missenyi zimesababisha baadhi ya barabara za mitaa na makazi ya watu katika mji mdogo wa Kyaka Bunazi kujaa maji huku baadhi ya wakazi wa mji huo wakilazimika kuhama makazi Mkuu wa Wilaya Missenyi…

24 April 2021, 7:28 am

Halmashauri zote zapewa maagizo.

Mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewataka wajasiriamali wadogo kuchangamkia fursa ya kupata vitambulisho vipya vya kielectroniki vilivyoanza kutolewa na mamlaka ya mapato Tanzania TRA. Ametoa wito huo wakati alipokuwa akiongea na wakuu wa wilaya pamoja na…

20 April 2021, 9:26 am

Jeshi la zimamoto laungana na Skauti kukabili moto.

Jeshi la zimamoto na uokoaji wilayani Karagwe limeungana na Skauti wilayani humo ili kuongeza nguvu katika kukabiliana na majanga ya moto ambayo yamekuwa yakiteketeza mali za watu na kuwarudisha nyuma kimaendeleo. Staff Sergeant Peter Mbale ni Kamanda wa Jeshi la…

19 April 2021, 4:32 pm

Sekondari 15 kati ya 22 zafanikisha Lishe

Afisa Elimu sekondari wilayani Missenyi mkoani Kagera Mwl Saverina Misinde amezipongeza shule za sekondari 15 za serikali zinazotoa huduma ya chakula cha mchana ili kuwawezesha wanafunzi kujifunza vizuri wakiwa wameshiba Pongezi hizo amezitoa hivi karibuni wakati Kamati ya fedha Utawala…

17 April 2021, 5:21 pm

Wananchi walia na ubovu wa Barabara.

Wananchi wa kitongoji cha Karundu kata ya Bugene wilaya ya Karagwe mkoani Kagera wameiomba Halmashauri ya wilaya Karagwe iwatengenezee barabara za kitongoji hicho kwani wao wamejitolea bila kupata msaada mpaka wamechoka. Wananchi hao wamebainisha kero hiyo wakiwa kwenye mkutano wa…

16 April 2021, 9:32 pm

Kitendawili chateguliwa Kyenjubu.

Wananchi walionunua viwanja eneo la Kyenjubu Missenyi Mkoani Kagera wako mbioni kukabidhiwa viwanja vyao ili waviendeleze Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Missenyi Innocent Mukandala amesema kuwa shughuli yakutengeneza barabara iliyokuwa imekwamisha zoezi lakukabidhi wananchi viwanja vyao inaendelea vizuri nakwamba…

16 April 2021, 9:14 pm

Sita wanusurika kifo baada ya kutokea ajali

Watu sita wakiwemo wanafunzi wanne wamenusurika kifo baada ya kutokea ajali ya gari lenye namba za usajili T 780 DNS iliyotokea eneo la mzunguko wa barabara ya Rwamishenye Manispaa ya Bukoba Mkoani kagera. Kamishina msaidizi wa Polisi na Kaimu kamanda…

15 April 2021, 1:25 pm

Miradi 19 yalamba Milioni 250.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Missenyi Innocent Mukandala amesema kuwa Kamati ya Fedha Utawala na Mipango leo alhamisi tarehe 15 April 2021 imeanza ziara ya siku 2 ya kufuatilia na kukagua miradi ya Maendeleo 19 yenye thamani ya zaidi…