Zenj FM
Zenj FM
26 May 2025, 4:35 pm
Na Mary Julius. Washiriki mafunzo ya kujenga uwezo wa fedha za mamlaka za serikali za mitaa wametakiwa kuyatumia vema mafunzo hayo ili kujiongezea ujuzi ambao utasaidia kuboresha utendaji kazi na kuongeza ufanisi katika maeneo yao ya kazi.Mkurugenzi wa Idara ya…
24 May 2025, 9:18 pm
Wilaya ya Kati. Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari ya Majanga mbalimbali yanayotokezea katika Jamii ikiwemo Majanga ya kuunguliwa na Moto na Upepo mkali. Afisa wa kukabiliana na Maafa Wilaya ya Kati Ali Haji Khamis ameyasema hayo wakati akiwakabidhi Vifaa vya Ujenzi…
23 May 2025, 7:18 pm
Wilaya ya Kati. Kuwepo kwa mashirikiano mazuri katika Taasisi za Umma ni chachu ya kufika malengo waliojiekea katika kuwaletea maendeleo Wananchi.Mkuu wa Wilaya ya Kati Cassian Gallos Nyimbo ameyasema hayo wakati wa makabidhiano ya Ofisi kwa mkurugenzi mpya w Baraza…
23 May 2025, 3:23 pm
Na Omar Hassan. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP. Daniel Shillah amewahimiza wakaguzi wa Polisi waliopangiwa kufanya kazi katika Shehia mbalimbali kuwatumikia wananchi na kuwajengea mazingira tulivu ya kiusalama na kwamba atawachukulia hatua…
22 May 2025, 5:00 pm
Berema Nassor. Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Zanzibar imesema idadi ya matukio ya ukatili na udhalilishaji wa kijinsia kwa mwezi Aprili yameongezeka kwa asilimia 30.8 hadi kufikia matukio 102 kwa mwezi wa April 2025 kutoka matukio 78 kwa mwezi…
22 May 2025, 4:05 pm
Na Is-haka Mohammed Pemba Sheria ya Tume ya Utangazaji Zanzibar sasa inafikia miaka 26 tokea kuanzishwa kwake ambayo ni Sheria nambari 7 ya mwaka 1997, pamoja na majumuisho na marekebisho yake na. 1 ya mwaka 2010.Sheria hii, imetungwa mahsusi kusimamia…
19 May 2025, 5:03 pm
Na Mary Julius. Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Mhandisi Zena Ahmed Said, ameitaka Tume ya Mipango Zanzibar kuandaa waraka mahsusi utakaoelezea kwa kina namna ya utekelezaji wa mfumo wa ukusanyaji, uhifadhi, na usambazaji wa taarifa…
13 May 2025, 2:25 pm
Mary Julius. Kadhi wa Wilaya ya Kusini Abubakar Ali Mohamed amesema utekelezaji wa Kampeni ya msaada wa kisheria katika kutoa elimu kwa wananchi hasa wa vijijini kumesaidia wananchi wengi kuzitambua njia na taratibu za kisheria katika kudai haki zao zinazohusiana…
12 May 2025, 12:55 pm
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar, UWZ Abdulwakili H Hafidhi, amewataka wanachama wa umoja huo kuunga mkono viongozi wao kwa lengo la kuhakikisha kuwa huduma na mafanikio ya umoja huo yanawafikia watu wote wenye ulemavu…
12 May 2025, 12:36 pm
Mary Julius. Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohamed Said Dimwa, ametoa wito kwa watu wenye ulemavu nchini kuacha kuwa watazamaji na badala yake kuwa wahusika wakuu katika mchakato wa uchaguzi mkuu wa dola mwaka 2025.Wito…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group