Zenj FM

Recent posts

24 November 2021, 1:26 pm

Madereva wa daladala watakiwa kutoingia na abiria sheli

Na Thuwaiba Mohd: Afisa  uhusiano wa mamlaka ya udhibiti wa huduma za maji na nisharti Zanzibar ZURA Hassan Juma Amour amewataka wasimamizi wa vituo vya  mafuta sheli kutoruhusu mtowa huduma kujaza mafuta kwenye gari ikiwa na abiria ili kuepusha  athari…

17 November 2021, 1:45 pm

Walokosa kuingizwa kaya maskini watakiwa kukata rufaa.

Na Mary Kitipwi:Mratibu wa mpango wa kunusuru kaya masikini unguja TASAF Makame Ali Haji amesema serikali ya mapinduzi imetoa nafasi kwa wale wote wenye sifa za kuingizwa katika maradi wa kaya maskini ambao majina ya yamekatwa katika awamu ya kwanza…

16 November 2021, 2:06 pm

Wazanzibar watakiwa kuchanja chanjo ya uviko 19

Na Thuwaiba Mohammed Waziri wa afya ustawi wa jamii wazee jinsia na watoto Zanzibar Nasor Ahmed Mazrui amewataka wazanzibar kujitokeza kwa wingi kupata chanjo ya uviko 19 ili kujikinga na ugonjwa huo. Waziri Mazrui ametowa wito huo  na kusema wananchi…