Recent posts
24 November 2021, 1:26 pm
Madereva wa daladala watakiwa kutoingia na abiria sheli
Na Thuwaiba Mohd: Afisa uhusiano wa mamlaka ya udhibiti wa huduma za maji na nisharti Zanzibar ZURA Hassan Juma Amour amewataka wasimamizi wa vituo vya mafuta sheli kutoruhusu mtowa huduma kujaza mafuta kwenye gari ikiwa na abiria ili kuepusha athari…
22 November 2021, 2:17 pm
Wasafirishaji wa watalii forodhani kwenda visiwani walia na tozo ya chabanca
Na Mary Julius na Thuwaiba Mohd: Jumuiya ya wavuvi na wasafirishaji wa watalii forodhani mchanga wameiomba serikali kuangalia upya suala la chabanca kuhusu kuweka meza ya kutoza kodi katika eneo la forodhani. Kauli hizo imefuatia baada ya kampuni ya chabanca…
17 November 2021, 1:45 pm
Walokosa kuingizwa kaya maskini watakiwa kukata rufaa.
Na Mary Kitipwi:Mratibu wa mpango wa kunusuru kaya masikini unguja TASAF Makame Ali Haji amesema serikali ya mapinduzi imetoa nafasi kwa wale wote wenye sifa za kuingizwa katika maradi wa kaya maskini ambao majina ya yamekatwa katika awamu ya kwanza…
16 November 2021, 2:06 pm
Wazanzibar watakiwa kuchanja chanjo ya uviko 19
Na Thuwaiba Mohammed Waziri wa afya ustawi wa jamii wazee jinsia na watoto Zanzibar Nasor Ahmed Mazrui amewataka wazanzibar kujitokeza kwa wingi kupata chanjo ya uviko 19 ili kujikinga na ugonjwa huo. Waziri Mazrui ametowa wito huo na kusema wananchi…