Zenj FM
Zenj FM
1 July 2025, 3:27 pm
Tuzo za World Travel Awards,hushirikisha makundi mbalimbali katika sekta ya utalii, ikiwa ni pamoja na hoteli, viwanja vya ndege, mashirika ya ndege, vivutio vya kitalii, waandaaji wa matukio na tamasha, na huduma nyingine zinazohusiana na usafiri na ukarimu. Na Mary…
29 June 2025, 12:29 am
Lengo la mafunzo hayo ni kuwawezesha wanawake kuelewa Mkataba wa Afrika wa Haki za Watu Wenye Ulemavu (African Disability Protocol – ADP) na kujifunza mbinu mbalimbali za kuutetea. Na Mary Julius Wanawake wenye ulemavu wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kutoa maoni…
28 June 2025, 9:52 pm
Chama cha Mapinduzi CCM kimeanza mchakato wa utoaji fomu za kuwania nafasi mbali mbali kupitia kura za maoni ndani ya chama . Na Is-haka MohamedMakamo Mwenyekiti wa Jumuiya ya wanawake UWT Tanzania Zainab Khamis Shomar amewataka wanawake kujitokeza kwa wingi…
22 June 2025, 5:06 pm
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Jumuiya ya Wajane Zanzibar, Tabia Makame Mohammed, amesema kuwa moja ya changamoto kubwa zinazowakumba wajane ni msongo wa mawazo, unaosababishwa na kukosekana kwa malezi na matunzo kwa watoto.Akizungumza na Zenj FM, Tabia amesema hali hiyo…
20 June 2025, 3:48 pm
“katika kuendeleza juhudi za kusaidia jamii katika kupambana na urahibu wa madawa ya kulevya, Mamlaka imetangaza nafasi kumi (10) kwa vijana wenye umri kati ya miaka 18 hadi 35 ambao wameamua kwa hiari kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya…
19 June 2025, 3:14 pm
“Maonyesho haya yamelenga kuitangaza Zanzibar na Tanzania kama kivutio kikuu cha utalii barani Afrika Lengo likiwa ni kuyafanya maonyesho hayo kuwa ya kiwango cha juu” Na Mary Julius Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Mudrick Ramadhan Soraga amesema…
18 June 2025, 7:50 pm
Na Ivan Mapunda Wandishi wa habari nchini wametakiwa kutumia kalamu zao vizuri kuandika kurepoti na kukemea taarifa za ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watakaogombea nafasi mbali mbali za uongozi katika kipindi hiki cha uchaguzi.Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Chama…
18 June 2025, 7:04 pm
Na Mwandishi wetu. Walimu waskuli za Maandalizi na Msingi wametakiwa kuyatumia mafunzo wanayopatiwa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar kwalengo la kuwawezesha wanafunzi kuweza kusoma,kuandika na kuhesabu.Mkuu wa Ukaguzi wa Elimu Mkoa wa Kusini Unguja Zainab Abeid…
18 June 2025, 1:44 pm
Na Mary Julius. Mamlaka ya Kodi ya mapato Tanzania (TRA) Zanzibar imesema imefanikiwa kuvuka malengo ya kukusanya kodi kwa asilimia 106 tangu kushauriwa kufungua matawi ya huduma katika ukanda wa utalii na Viongozi wakuu Rais wa Muungano Dk Samia Suluhu…
17 June 2025, 1:24 pm
Na Mary Julius. Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Nadir Abdul-latif Yussuf, amesema Mamlaka ya Leseni na Usalama Barabarani imekamilisha maandalizi ya mfumo mpya wa kidijitali utakaoimarisha utoaji wa matokeo ya majaribio ya udereva ndani ya muda…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group