Zenj FM

Recent posts

28 July 2025, 5:23 pm

Viongozi wanaotumia vibaya mitandao wanahatarisha umoja wa kitaifa

Na Mandishi wetu. Mchambuzi wa masuala ya uchumi na jamii Zanzibar, Abdulhamid Mshangama, amesema kuwa kuna baadhi ya viongozi wanaotumia vibaya fursa ya mitandao ya kijamii jambo ambalo linaweza kusababisha kuvuruga umoja wa kitaifa kwa watanzania.Mshangama amesema hayo wakati akizungumza…

24 July 2025, 1:29 pm

Polisi, vyombo vya habari watajwa chanzo uchaguzi wa amani

Na Mary Julius. Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohammed Ali Ahmed, amesema amani ni kipaumbele kikuu cha viongozi wakuu wa Tanzania hivyo wadau wote wa uchaguzi wanatakiwa kuhakikisha amani inadumu kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa 2025.Naibu ameyasema…

24 July 2025, 1:12 pm

ZAECA yatoa mafunzo kwa UWZ, yasisitiza ushirikiano kupinga rushwa

Na Mary Julius. Afisa Elimu kwa Umma kutoka Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu wa Uchumi Zanzibar (ZAECA), Sada Salum Issa, amezitaka taasisi za umma na binafsi kushirikiana na mamlaka hiyo kwa kutoa taarifa pale wanapobaini viashiria vya rushwa au…

21 July 2025, 6:14 pm

INEC yapiga marufuku upendeleo wa kisiasa Pemba

Na Is haka Mohammed. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi INEC imewataka Waratibu na wasimamizi wa Uchaguzi Pemba Kuzingatia Katiba,Sheria, Kanuni na Miongozo iliyotolewa na itakayolewa na Tume katika kutekeleza majukumu yao ya kusimamia uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.Wito huo…

21 July 2025, 5:29 pm

ADC yatoa ahadi ya elimu bure hadi vyuo vikuu

Na Is haka Mohammed. Chama cha Allience for Democtatic Change (ADC) kimesema kikipata ridhaa ya kuongoza Zanzibar kitafanya mageuzi katika sekta ya Elimu kwa kutoa elimu bure kwa watoto wa Skuli za Maandalizi hadi ngazi ya vyuo Vikuu.Akizungumza na Wananchi…

20 July 2025, 5:36 pm

Dkt. Mwanaisha kung’arisha Wilaya ya Kati

Mkurugenzi wa Baraza la Mji Kati, Dkt. Mwanaisha Ali Said,amewahimiza wananchi kubadilika kifikra na kuchukulia usafi kama jukumu la pamoja kwa ajili ya afya na maendeleo ya jamii. Wananchi wa Wilaya ya Kati wametakiwa kuzingatia suala la usafi wa mazingira…

16 July 2025, 3:12 pm

Madereva, abiria waonywa uchafuzi wa miji Zanzibar

‎‎Wamiliki wa gari za abiria wasiopungua kumi na tano 15 na madereva wa ruti za  Wilaya ya Kati wamepatiwa elimu ya usafi katika gari zao. Na Mwandishi wetu. Wamiliki wa gari za abiria na madereva wametakiwa kuzingatia suala la usafi…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group