Zenj FM
Zenj FM
10 July 2025, 6:17 pm
Mradi wa Zanzadapt, unalenga kuimarisha nafasi ya mwanamke kiongozi katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na unatekelezwa kwa ushirikiano wa TAMWA ZNZ, Jumuiya ya Misitu Pemba (CFP), Jumuiya ya Misitu Kimataifa (CFI), kwa kushirikiana na Ubalozi wa Canada. Na Mwandishi…
10 July 2025, 4:31 pm
Na Is-haka Mohammed CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) kimesema dhamira yake bado ni kushika dola na kuondosha changamoto ambazo bado zinawakabili wananchi ikiwemo wanafunzi kukaa madahalia bila ya kuchangia chochote. Kauli hiyo ya CHAUMA imetolewa na Mwenyekiti wa Chama…
9 July 2025, 5:49 pm
Mary Julius. Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambaye pia ni Makamo Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Jaji Aziza Iddi Suwed ametoa wito kwa wajumbe wa kamati hiyo kushiriki kikamilifu kwa kutoa maoni yao…
8 July 2025, 2:47 pm
Na Is-haka Mohammed. Chama cha Wananchi CUF kimedhamiria kufanya tathmini ya kina ya wagombea watakaosimamishwa katika nafasi mbalimbali za uongozi, kwa lengo la kuhakikisha wanachaguliwa viongozi wenye sifa ya uzalendo na utayari wa kuwatumikia wananchi, si kwa maslahi binafsi.Akizungumza katika…
5 July 2025, 9:05 pm
Serikali ya Mapinuzi ya Zanzibar imejipanga kufanya mageuzi kwenye Sekta ya Ushirika ili kuhakikisha inavijenga Vyama vya Ushirika kuwa imara, endelevu na vyenye kutoa tija kwa Wanachama wake. Na Mary Julius. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imedhamiria kuendeleza juhudi…
4 July 2025, 4:46 pm
Jamii imetakiwa kuona umuhimu wa kuwafanyia uchunguzi wa afya watoto ili kuweza kugundua tatizo na kupatiwa matibabu mapema. Na Mary Julius. Jamii nchini imeshauriwa kujiwekea utaratibu wa kuwapeleka watoto wao katika vituo vya afya ili kufanyiwa uchunguzi wa maradhi mbali…
3 July 2025, 11:24 am
Na Mary Julius. Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Shariff Ali Shariff, amesema maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Ushirika Duniani kwa mwaka huu yatafanyika kitaifa huko Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, siku ya Jumamosi, tarehe…
3 July 2025, 10:54 am
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC, Thabit Idarus Faina, ametangaza kuwa Tume hiyo imewafuta jumla ya wapiga kura 3,352 waliobainika kupoteza sifa za kuwemo katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mujibu wa Sheria…
2 July 2025, 6:57 pm
Na Ivan Mapunda. Takwimu zinaonesha bado hakuna uwakilishi wa kutosha wa wanawake katika nafasi za uongozi, za kuchaguliwa au kuteuliwa katika ngazi mbalimbali za uongozi na hata hivyo ukilinganisha na tulipotoka, kuna mabadiliko chanya katika ushiriki wa wanawake na uongozi.…
2 July 2025, 4:24 pm
Zoezi la uhakiki kwa wastaafu wa ZSSF hufanyika mara mbili kwa mwaka, yaani mwanzoni mwa mwezi wa Januari na mwezi wa Julai, ambapo wastaafu wote wanatakiwa kufika kuthibitisha taarifa zao ili kuendelea kupokea mafao yao kwa mujibu wa taratibu. Na…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group