Zenj FM

Recent posts

29 August 2023, 2:32 pm

Wizara ya Afya Zanzibar yasambaza vifaa katika hospitali mpya za wilaya

Lengo la kujengwa hospitali za wilaya ni kuimarisha utoaji wa huduma za afya kwa kuwapunguzia masafa wananchi. Wizara ya Afya Zanzibar imesema kuanza kutumika hospitali za wilaya zitasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza changamoto ya upatikanaji wa huduma kwa wananchi wa visiwa vya Unguja…

29 August 2023, 1:56 pm

Wazazi watakiwa kuwapeleka watoto hospitali kupatiwa huduma ya tohara

Wananchi wametakiwa kutumia fursa ya kwenda kufanya matibabu kwenye kambi inayoendelea katika Hospitali ya Kivunge. Na Omary Abdallah. Wizara ya Afya Zanzibar imesema kufanyika kwa kambi za magonjwa mbalimbali hapa nchini kunasadia kwa kiasi kikubwa kuwapatia huduma wananchi kwa ukaribu pamoja…

27 August 2023, 3:21 pm

Kijana ajinyonga Pemba

Na Is-haka Mohammed Mtu mmoja anayejulikana kwa jina Moh’d Omar Juma maarufu Magodoro   anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 mkaazi wa Machomanne Kilimo amefariki dunia baada ya kuonekana akining’inia katika chumba kwa kujinyonga. Khamis Issa Moh`d ni Mwanafamilia  wa…

25 August 2023, 3:56 pm

Tamwa Zanzibar yawanoa waandishi wa habari Pemba

Waandishi wa Habari Pemba wanatakiwa kufanya uchunguzi yakinifu kabla ya kurusha hewani habari za  udhalilishaji. Na Is-haka Mohammed Pemba. Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa Zanzibar) kimewakumbusha waandishi wa habari juu ya umuhimu wa kuandika habari zenye tija na…

23 August 2023, 2:53 pm

Matukio ya udhalilishaji yaongezeka kwa 32.3% Zanzibar

Na Ahmed Serikali ya Mapinduzi Zanzibar  imesema  pamoja na kupiga  vita dhidi ya matukio ya  udhalilishaji na ukatili kwa wanawake  na watoto lakini bado matukio hayo yanaongezeka kila siku. Kwa mujibu wa takwimu za makosa ya ukatili na udhalilishaji wa kijinsia kutoka…

21 August 2023, 2:38 pm

CUF Pemba wailaumu ACT Wazalendo kushindwa kuwatetea wananchi

Chama cha Cuf Pemba imekitupia lawama chama cha Act Wazalendo kwa kushindwa kuisimamia Serikali ya Mapinduzi ya zanzibar katika swala zima la upandaji wa bei za bidhaa hasa vyakula. Na. Is-haka Mohammed Pemba. Chama cha Wananchi CUF kimetoa lawama kwa…

18 August 2023, 3:56 pm

Wafanyabiashara watakiwa kuhama pembezoni mwa barabara Zanzibar

Mkuu wa wilaya ya Magharibi B Hamida Mussa Khamis, amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wakiwemo wa matunda na mbogamboga kwenda kufanya biashara zao katika masoko ya muda yaliyopangwa na serikali ikiwemo Kwerekwe C, Kwerekwe Sheli pamoja na Soko la Jumbi. Na…

16 August 2023, 12:10 pm

Kipindi: Mwangaza wa habari

Na Ivan Mapunda. Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa kaskazini Unguja amewataka madereva kufuata sheria za usalama barabarani ili kuepukana na ajali.

15 August 2023, 5:35 pm

Maafisa TRA, ZRA wafundwa Zanzibar

Na Ahmed Abdullah Maafisa kodi wa mamlaka ya mapato Zanzibar ZRA na mamlaka ya Mapato Tanzania TRA wametakiwa kuwa na lugha nzuri kwa wateja ili kuwa na mahusiano mazuri baina ya mlipakodi na mamlaka hizo. Naibu kamishna wa Mamlaka ya…

15 August 2023, 4:58 pm

Sabra Machano arudishwa kazini

Na Ivan Mapunda. Aliyekuwa Mkurugenzi Muendeshaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar  ZSSF Sabra Issa Machano amefutiwa mashtaka ya ubadhilifu wa fedha  wa bilioni 3 . Akizungumza na Zenj fm mkurugenzi wa taasisi ya Warrior Women Sabra Issa Machano amesema amepokea barua…