Zenj FM

Recent posts

6 August 2025, 8:39 pm

Dereva ashikiliwa kwa kusababisha kifo cha mtalii Kusini Unguja

Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linamshikilia Kassim Omary Ramadhani, mwenye umri wa miaka 30 mkazi wa Fuoni, kwa tuhuma za kuendesha gari kwa uzembe na kusababisha ajali iliyosababisha kifo cha mtu mmoja na kujeruhi wengine…

6 August 2025, 4:17 pm

Wamiliki vyombo vya moto watakiwa kuhakikisha madereva wana leseni

Staf Sajenti Ali Abdalla Juma kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Zanzibar, amewataka wazazi kuwa makini na watoto wao wanaoendesha vyombo vya moto, kwa kuhakikisha hawapati usukani kabla ya kupata leseni. Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Zanzibar limewataka…

4 August 2025, 6:03 pm

Wanawake wanasiasa waomba kampeni za siasa 2025 zisiwe na chuki na matusi

Ivan Mapunda. Kampeni ni sehemu au uwanja wenye changamoto kubwa kwa wanawake wanaotafuta nafasi za uongozi. Mbali na changamoto za kawaida za kisiasa, wanawake hukabiliana na tatizo kubwa la matamshi ya chuki, udhalilishaji, na matusi ya kijinsia yanayolenga kudhoofisha heshima…

4 August 2025, 2:43 pm

CHAMATA yaelimisha vijana kuhusu ajira kupitia miradi ya serikali

Na Mary Julius. CHAMA cha Mama Tanzania (CHAMATA) kimesema kuna fursa nyigi za kunufaika na ajira kwa Vina kupitia miradi ya Maeneleo ikiwemo soko la sekta ya utalii, miudo mbini Kilimo na mawasiliano lakini bado hazijatumika ipasavyo Tanzania bara na…

30 July 2025, 12:20 pm

Sekta ya ngozi yatoa tumaini kwa maelfu ya vijana

Ili kuhimiza matumizi ya rasilimali ya bidhaa za ngozi, Katibu wa Chama Cha Wazalishaji wa Bidhaa za Ngozi Tanzania, Timoth Funto, ametangaza kuanzishwa kwa mradi wa kutengeneza viatu vya ngozi milioni 10 vitakavyosambazwa katika skuli mbalimbali nchini. Na Mary Julius.…

29 July 2025, 7:22 pm

CHAMATA vijana kufundwa kuhusu miradi ya maendeleo Kizimkazi

Tamasha la vijana Kizimkazi linatarajiwa kuwakutanisha vijana wasiopunguwa 450 pamoja na watalam wa masuala ya uchumi, biashara, fedha na nishati kupitia mabaraza ya vijana Zanzibar. Na Mary Julius. Chama cha Mama Tanzania (CHAMATA) kimesema utafiti waliofanya wamegundua kuna miradi mingi…

28 July 2025, 5:23 pm

Viongozi wanaotumia vibaya mitandao wanahatarisha umoja wa kitaifa

Na Mandishi wetu. Mchambuzi wa masuala ya uchumi na jamii Zanzibar, Abdulhamid Mshangama, amesema kuwa kuna baadhi ya viongozi wanaotumia vibaya fursa ya mitandao ya kijamii jambo ambalo linaweza kusababisha kuvuruga umoja wa kitaifa kwa watanzania.Mshangama amesema hayo wakati akizungumza…

24 July 2025, 1:29 pm

Polisi, vyombo vya habari watajwa chanzo uchaguzi wa amani

Na Mary Julius. Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohammed Ali Ahmed, amesema amani ni kipaumbele kikuu cha viongozi wakuu wa Tanzania hivyo wadau wote wa uchaguzi wanatakiwa kuhakikisha amani inadumu kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa 2025.Naibu ameyasema…

24 July 2025, 1:12 pm

ZAECA yatoa mafunzo kwa UWZ, yasisitiza ushirikiano kupinga rushwa

Na Mary Julius. Afisa Elimu kwa Umma kutoka Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu wa Uchumi Zanzibar (ZAECA), Sada Salum Issa, amezitaka taasisi za umma na binafsi kushirikiana na mamlaka hiyo kwa kutoa taarifa pale wanapobaini viashiria vya rushwa au…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group