Play internet radio

Recent posts

07/03/2026, 17:44

Puma Energy yahakikisha upatikanaji wa mafuta Zanzibar

Kampuni ya Puma Energy imejipanga kukabiliana na changamoto za hali ya kimataifa ili kuhakikisha upatikanaji wa mafuta unaendelea bila kukatika kwa wateja wake visiwani Zanzibar. Na Mary Julius. Waziri wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Nadir Abdullatif Al‑wardy,amesema Serikali ya…

06/03/2026, 16:46

Elimu ya kukabiliana na maafa yatolewa wilaya ya Kati

Na Hakika Mwinyi. Kamati za kukabiliana na maafa zimetakiwa kuwa na uelewa mpana kuhusu hatari zinazoweza kujitokeza katika jamii, hususan katika kipindi hiki cha mvua za masika zinazoendelea kunyesha. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Divisheni ya Elimu Kinga na…

06/03/2026, 14:30

KCB yakaribishwa kushiriki miradi ya maendeleo

Na Mary Julius. Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Juma Malik Akil, amesema sekta ya fedha nchini inaendelea kukua kwa kasi siku hadi siku kutokana na mchango wa wadau mbalimbali, wakiwemo taasisi za kifedha kama KCB Bank ambazo zimekuwa mstari…

05/03/2026, 17:02

TPF-Net yaleta neema ya maji kambi ya Polisi Ziwani

Na Denis Mtamwega. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar Anna Atanas Poul, amezindua rasmi mradi maalum wa maji katika Kambi ya Polisi Ziwani, Zanzibar, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Mtandao wa Polisi Wanawake (TPF-Net). Uzinduzi…

04/03/2026, 18:07

Mradi wa waya wa baharini wa megawati 270 kuimarisha umeme Zanzibar

Na Mary Julius. Waziri wa Maji, Nishati na Madini wa Zanzibar, Nadir Abdullatif Alwardy amesema Serikali inaendelea kuimarisha huduma za maji, umeme na nishati kwa lengo la kuboresha maisha ya wananchi wa Unguja na Pemba. Akizungumza na waandishi wa habari…

01/03/2026, 17:11

Zanzibar yaboresha afya kupitia Ushirikiano na sekta binafsi

Na Mary Julius. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesisitiza kuwa itaendelea kushirikiana kwa karibu na sekta binafsi ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora, salama na za kisasa za afya. Kauli hiyo imetolewa kwa niaba ya Waziri wa Afya Zanzibar, Saada Mkuya…

28/02/2026, 16:11

ZEC yakamilisha zoezi la kuteketeza nyaraka za uchaguzi 2025

Na Mary Julius. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza rasmi kukamilisha zoezi la kuteketeza nyaraka za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, kwa mujibu wa matakwa ya Sheria ya Uchaguzi ya mwaka 2018. Akizungumza katika zoezi hilo lililofanyika kijiji cha Muyuni,…

25/02/2026, 19:00

RC Kusini Pemba atangaza vita dhidi ya magendo Pemba

Na Is haka Mohammed. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mgeni Khatib Yahaya amezitaka taasisi za kuhiibiti magendo kisiwani Pemba kuendelea kushiriana na wananchi katika kuona biashara ya magendo inatokomezwa pamoja na kuzinimbau bandari bubu zilizopo katika maeneo ya kisiwa…

25/02/2026, 16:05

Usafiri baharini washuka, safari za anga zapaa Zanzibar

Na Berema Suleiman. Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali Zanzibar imesema jumla ya mienendo ya vyombo vya baharini kwa mwezi wa Januari 2026 imefikia 1,211, ikiwa ni upungufu wa asilimia 35.6 ikilinganishwa na mienendo 1,879 iliyorekodiwa mwezi Januari 2025. Akiwasilisha…

25/02/2026, 15:25

Hospitali ya Seifee Zanzibar yaunganisha taasisi za afya

Na Mary Julius. Mkuu wa Idara ya Huduma kwa Wateja wa Seifee Hospital Zanzibar Limited, Samuel Estomih, amesema lengo la kuandaa mashindano ya Ramadhan Football League ni kuimarisha ushirikiano na mshikamano miongoni mwa taasisi mbalimbali zinazotoa huduma za afya Zanzibar.…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group