

8 January 2025, 1:54 pm
Wakulima wanawake Wete kisiwani Pemba wamejikita katika Kilimo Msitu ili kuboresha kipato cha mtu mmoja na maendeleo ya taifa kwa ujumla. Fuatilia makala hii upate mengi kuhusu kilimo hiki na matarajio ya wakulima kisiwani Pemba.