Play internet radio

Recent posts

11 December 2025, 6:31 pm

Wito watolewa kuhifadhi mazingira

Na Mary Julius. Ikiwa leo dunia inaadhimisha Siku ya Milima Duniani, jamii ameihimiza kutambua wajibu wa kutunza na kuhifadhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Katika maadhimisho hayo, Zenji fm imezungumza na Afisa Utalii Hifadhi ya Taifa…

10 December 2025, 10:50 pm

TRA Zanzibar yaziba mianya ya kodi kupitia mafunzo maalum

Na Mary Julius. Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) upande wa Zanzibar Saleh Haji Pandu amesema serikali imekuwa ikipoteza mapato kutokana na ukosefu wa uelewa katika uuzaji wa rasilimali, hususan kwa wale wanaohusika moja kwa moja na mchakato…

3 December 2025, 5:28 pm

Jamii ya Mikumi yainuka kiuchumi kupitia ushirikiano na TANAPA

Na Mary Julius. Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania TANAPA  limeendelea kushirikiana kwa karibu na jamii inayozunguka Hifadhi ya Mikumi kwa lengo la kuimarisha uhifadhi na kuinua maendeleo ya wananchi. Afisa Uhifadhi Daraja la Kwanza, Emakulata Mbawi, anayesimamia kitengo cha…

1 December 2025, 7:49 pm

Mikumi yashuhudia ongezeko la ndege, wageni

Na Mary Julius. Zaidi ya wageni 150 hadi 400 wanawasili katika hifadhi ya taifa ya Mikumi kwa siku kupitia Kiwanja cha Ndege cha Kikoboga kutokana na uboreshaji wa kiwanja hicho, uliofanywa na TANAPA. Afisa Uhifadhi Mwandamizi wa Hifadhi ya taifa…

1 December 2025, 7:20 pm

SMZ kuongeza bajeti ya afya kwa wanaoishi na VVU

Na Mary Julius. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itahakikisha  inaongeza Bajeti katika kusimamia utoaji wa huduma za afya kwa watu wanao ishi na virusi vya ukimwi ili kuimarisha upatikanaji wa huduma hizo kwa uhakika hayo yamebainishwa na Makamu wa…

29 November 2025, 10:09 pm

Miundombinu bora yazidisha wageni hifadhi ya Mikumi

Na Mary Julius. Uwepo wa treni ya mwendokasi pamoja na maboresho ya viwanja vya ndege katika eneo la Hifadhi ya Taifa ya Mikumi umechangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la watalii wanaotembelea hifadhi hiyo. Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi Kanda ya Mashariki, Fredrick…

26 November 2025, 5:39 pm

Jamii yatakiwa kushirikiana kukomesha usafirishaji haramu wa binadamu

Na Omar Hassan. Taasisi zinazohusika kuzuia na kupambana na usafirishaji haramu wa binaadamu zimetakiwa kutumia ubunifu wa kubaini vyanzo vya uhalifu huo ili kukomesha vitendo hivyo ambavyo vimekuwa vikiwaathiri zaidi wanawake na watoto. Akifungua Kikao cha Wadau wa Serikali kwa…

20 November 2025, 7:23 pm

ZEC yasisitiza ushirikiano na uwazi ulivyoimarisha uchaguzi mkuu 2025

Mary Julius Kitipwi. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesisitiza kuwa ushirikiano mpana kati ya Tume na wadau wa uchaguzi umechangia kuendesha Uchaguzi Mkuu wa 2025 kwa uwazi, weledi na kwa kuzingatia misingi ya amani. Akifungua mkutano wa tathmini ya wadau…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group