Zenj FM
96.9 MHz
S.O.S Mombasa-Mjini Magharibi
+255 773 225 180 +255 773 339 800
monitoringzenjifm@yahoo.com
96.9 MHz
S.O.S Mombasa-Mjini Magharibi
+255 773 225 180 +255 773 339 800
monitoringzenjifm@yahoo.com
27 January 2026, 2:46 pm
Na Mary Julius. Balozi wa Utalii Zanzibar, Lois Inninger, amezitaka kampuni binafsi zinazofanya shughuli zake hapa nchini kurudisha kwa jamii sehemu ya faida wanazozipata, kwa kuchangia misaada mbalimbali itakayosaidia kuboresha ustawi wa jamii, hususan katika sekta ya afya. Balozi Inninger…
25 January 2026, 2:06 pm
Na Mary Julius. Mrajisi wa Asasi za Kiraia Zanzibar, Ahmed Khalid Abdulla, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inathamini kwa kiwango kikubwa juhudi zinazofanywa na jumuiya za wasaidizi wa sheria, akibainisha kuwa zimekuwa na mchango muhimu katika kuwasaidia wananchi, hususan…
23 January 2026, 5:52 pm
Na Mary Julius. Wananchi wa Wilaya ya Kati Unguja wametakiwa kutumia kikamilifu fursa zinazopatikana katika Baraza la Manispaa Kati ili kupunguza gharama za maisha na kukuza mapato ya serikali kwa ujumla. Wito huo umetolewa na Mstahiki Meya wa Manispaa Kati,…
23 January 2026, 5:08 pm
Na Mary Julius. Katika kuhakikisha jamii ya Wazanzibari na Watanzania kwa ujumla wanakuwa na afya njema, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kushirikiana na Wizara ya Afya Zanzibar na kampuni ya simu ya…
23 January 2026, 4:48 pm
Na Mary Julius. Kamishna wa Polisi Zanzibar, CP Kombo Khamisi Kombo, amesema jumla ya makosa makubwa ya jinai yamepungua kwa asilimia ishirini na nne nukta tatu kwa mwaka 2025. Akizungumza wakati wa akitoa tathmini ya hali ya usalama Zanzibar kwa…
18 January 2026, 8:49 pm
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Mtandao wa Jumuiya za Wasaidizi wa Sheria Zanzibar, ZAPONET Zanzibar, Asia Abdulsalam Hussein, amesema ili jumuiya za wasaidizi wa sheria ziweze kufanya kazi kwa ufanisi, ni lazima zijikite katika uandishi wa miradi na utafutaji wa wafadhili, hatua…
9 January 2026, 12:28 am
Na Ivan Mapunda. Kuanzishwa kwa chuo cha mafunzo cha Idara ya Uhamiaji Zanzibar ni hatua muhimu katika kuwaongezea uwezo wa kitaalamu, kiutendaji na kimaadili maafisa na askari wa Idara ya Uhamiaji Tanzania. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed…
9 January 2026, 12:02 am
Na Mary Julius. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema uwekezaji wa Taasisi ya Sayansi za Bahari ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM–IMS) iliyopo Buyu, Wilaya ya Mjini Magharibi B, Zanzibar, utakuwa chachu…
8 January 2026, 10:18 am
Na Denis Mtamwega Jeshi la Polisi nchini limesema litaendelea kuimarisha ushirikiano wake na wananchi kupitia miradi mbalimbali ya Polisi jamii ili kuhakikisha usalama wa raia na mali zao unaendelea kuimarika huku wahalifu wakichukuliwa hatua kali za kisheria. Kamishna wa Polisi…
8 January 2026, 9:53 am
Na Mary Julius. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar Dk. Khalid Salum Mohamed amesema Wizara yake imepata mafanikio makubwa katika kipindi kifupi tangu kuundwa kwake baada ya Uchaguzi Mkuu, hususan katika sekta za ujenzi wa barabara pamoja na usafiri wa…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group