Zenj FM
96.9 MHz
S.O.S Mombasa-Mjini Magharibi
+255 773 225 180 +255 773 339 800
monitoringzenjifm@yahoo.com
96.9 MHz
S.O.S Mombasa-Mjini Magharibi
+255 773 225 180 +255 773 339 800
monitoringzenjifm@yahoo.com
8 January 2026, 10:18 am
Na Denis Mtamwega Jeshi la Polisi nchini limesema litaendelea kuimarisha ushirikiano wake na wananchi kupitia miradi mbalimbali ya Polisi jamii ili kuhakikisha usalama wa raia na mali zao unaendelea kuimarika huku wahalifu wakichukuliwa hatua kali za kisheria. Kamishna wa Polisi…
8 January 2026, 9:53 am
Na Mary Julius. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar Dk. Khalid Salum Mohamed amesema wizara yake imepata mafanikio makubwa katika kipindi kifupi tangu kuundwa kwake baada ya Uchaguzi Mkuu, hususan katika sekta za ujenzi wa barabara pamoja na usafiri wa…
6 January 2026, 10:19 pm
Majengo yatakayozinduliwa yanajumuisha jengo la taaluma na utawala pamoja na bweni la kisasa la wanafunzi yaliyojengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 11 za Kitanzania. Na Mary Julius. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuzindua…
5 January 2026, 9:22 pm
Na Omar Hassan. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene, amewataka maafisa wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali kuendelea kufanya kazi kwa kuzingatia misingi ya haki, usawa, weledi na uadilifu wanapotekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi. Akizungumza katika…
5 January 2026, 8:18 pm
Na Berema Nassor. Waziri wa mawasiliano Teknolojia ya habari na ubunifu Mudrik Ramadhan Soraga amesema lengo na dhamira ya Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar kuanzisha taasisi ya wakala wa ulinzi JKU ni kuhakikisha serikali inapata mapato yatokanayo na huduma za…
1 January 2026, 10:26 am
Na Mary Julius. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Abeida Rashid Abdalla, amewaomba viongozi wa wizara na taasisi mbalimbali za serikali kutambua wajibu wao wa kusaidia nchi katika mchakato wa kuridhia Mkataba wa Afrika…
22 December 2025, 4:00 pm
Na Mary Julius. Katika kuhakikisha wananchi wanaondokana na maradhi mbalimbali na kuimarisha afya zao, wadau mbalimbali wamejitokeza kuhamasisha jamii kushiriki mashindano ya mbio yanayojulikana kwa jina la Travelport Fumba Marathon. Akizungumza na vyombo vya habari katika ofisi zake Fumba, Mratibu…
16 December 2025, 9:29 pm
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Mipango na Uwekezaji wa Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF), Khalifa Hilal Muumin, amewataka Masheha kote Zanzibar kuimarisha utoaji wa elimu kwa wananchi katika shehia zao kuhusu Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF),…
15 December 2025, 4:02 pm
Na Mary Julius. Mtandao wa Jumuiya za Wasaidizi wa Sheria Zanzibar, ZAPONET, umeanzishwa kwa lengo la kuzijengea uwezo taasisi zinazotoa huduma za msaada wa kisheria Unguja na Pemba ili ziweze kujisimamia na kuwahudumia wananchi kwa ufanisi zaidi. Akizungumza wakati wa…
11 December 2025, 6:31 pm
Na Mary Julius. Ikiwa leo dunia inaadhimisha Siku ya Milima Duniani, jamii ameihimiza kutambua wajibu wa kutunza na kuhifadhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Katika maadhimisho hayo, Zenji fm imezungumza na Afisa Utalii Hifadhi ya Taifa…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group