Zenj FM
96.9 MHz
S.O.S Mombasa-Mjini Magharibi
+255 773 225 180 +255 773 339 800
monitoringzenjifm@yahoo.com
96.9 MHz
S.O.S Mombasa-Mjini Magharibi
+255 773 225 180 +255 773 339 800
monitoringzenjifm@yahoo.com
16 February 2026, 2:24 pm
Na Hakika Mwinyi. Wananchi wametakiwa kusafisha maeneo yao yaliyo wazunguka pamoja na kuhakikisha Viwanja na Magofu vinakuwa safi kwa usalama wao na Jamii kwa ujumla. Mstahiki Meya wa Baraza la Manispaa Kati Said Hassan Shaaban ameyasema hayo wakati wa shughuli…
15 February 2026, 8:56 am
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Hudhaima Mbarak Tahir, amewataka waandishi wa habari kuzingatia maadili ya taaluma yao, kuthibitisha taarifa kabla ya kuzichapisha au kuzitangaza, ili kuepuka upotoshaji unaoweza kuleta taharuki au mgawanyiko katika jamii. Hudhaima ameyasema…
13 February 2026, 9:07 pm
Na Berema Nassor. Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu Zanzibar,Mudrik Ramadhan Soraga, amesema uanzishwaji na utekelezaji wa mfumo wa anuani za makaazi ni hatua ya kimkakati inayolenga kurahisisha utambuzi wa makaazi, biashara na taasisi, sambamba na kuboresha upatikanaji…
13 February 2026, 8:44 pm
Wazazi na walezi wametakiwa kuhakikisha wanawaandikisha shule mapema watoto wenye mahitaji maalum, mara tu wanapofikia umri wa kuanza masomo ili wapate haki yao ya msingi ya elimu sawa na watoto wengine. Na Hakika Mwinyi. Wito huo umetolewa na Afisa Elimu…
13 February 2026, 5:01 pm
Mary Julius. Mahakama Kuu ya Zanzibar imekubaliana na pingamizi lililowekwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar pamoja na mwanasheria mkuu wa serikali na kuyatupilia mbali maombi ya kuweka zuio la kuteketeza nyaraka za uchaguzi yaliyowasilishwa na wagombea wa ACT Wazalendo. Uamuzi…
12 February 2026, 4:39 pm
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa ZIC Takaful, Said Abdallah ameitaka jamii kujitokeza kwa wingi na kutumia huduma za bima ya Takaful ili kujiepusha na mifumo ya riba iliyokatazwa katika mafundisho ya dini. Na Mary Julius. Wito huo umetolewa na Kaimu Mkurugenzi…
11 February 2026, 9:33 pm
Na Hakika Mwinyi Mwaka. Walimu wametakiwa kufanya tathmini ya masomo yao mara kwa mara ili kuhakikisha wanafunzi wanapata uelewa wa kutosha wakiwa madarasani, hatua itakayochangia kuongeza ufaulu wao kitaaluma. Kauli hiyo imetolewa na Afisa Elimu Wilaya ya Kati, Somoe Said…
11 February 2026, 8:59 pm
Na Denis Mtamwega. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amelitaka Jeshi la Polisi kutumia kitengo cha Makosa ya kimtandao katika kuthibiti matukio ya uhalifu dhidi ya mitandao ikiwemo utapeli wa mitandao na vitendo vya uvunjifu wa maadili…
10 February 2026, 2:59 pm
Na Mary Julius. Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mohammed Ali Abdalla amesema uzinduzi wa maduka mapya ya Airtel Zanzibar ni hatua muhimu katika kusogeza huduma karibu na wananchi pamoja na kufungua fursa zaidi za ajira kwa vijana na wajasiriamali…
10 February 2026, 2:37 pm
Na Mary Julius. Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar imewasisitiza madereva wote kuzingatia sheria za usafiri na usalama barabarani ili kulinda maisha ya wananchi wa Zanzibar. Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Badria Antai, amesema hatua zinazochukuliwa na…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group