Zenj FM
96.9 MHz
S.O.S Mombasa-Mjini Magharibi
+255 773 225 180 +255 773 339 800
monitoringzenjifm@yahoo.com
96.9 MHz
S.O.S Mombasa-Mjini Magharibi
+255 773 225 180 +255 773 339 800
monitoringzenjifm@yahoo.com
11 December 2025, 6:31 pm
Na Mary Julius. Ikiwa leo dunia inaadhimisha Siku ya Milima Duniani, jamii ameihimiza kutambua wajibu wa kutunza na kuhifadhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Katika maadhimisho hayo, Zenji fm imezungumza na Afisa Utalii Hifadhi ya Taifa…
10 December 2025, 10:50 pm
Na Mary Julius. Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) upande wa Zanzibar Saleh Haji Pandu amesema serikali imekuwa ikipoteza mapato kutokana na ukosefu wa uelewa katika uuzaji wa rasilimali, hususan kwa wale wanaohusika moja kwa moja na mchakato…
10 December 2025, 9:06 pm
Na Mary Julius. Katika harakati za kuimarisha mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI Zanzibar, Afisa Ufuatiliaji na Tathmini wa Tume ya UKIMWI Zanzibar, Khamis Haroun Hamad, ameibuka na kampeni kabambe inayolenga moja kwa moja wanafunzi wa vyuo vikuu,…
3 December 2025, 9:51 pm
Na Mary Julius. Waziri wa Kazi na Uwekezaji Zanzibar, Sharif Ali Sharif, ametoa wito kwa wafanyakazi wa Idara ya Ajira, Idara ya Maendeleo ya Ushirika, na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ZEEA kuongeza bidii na kusimamia majukumu yao kwa ufanisi…
3 December 2025, 5:28 pm
Na Mary Julius. Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania TANAPA limeendelea kushirikiana kwa karibu na jamii inayozunguka Hifadhi ya Mikumi kwa lengo la kuimarisha uhifadhi na kuinua maendeleo ya wananchi. Afisa Uhifadhi Daraja la Kwanza, Emakulata Mbawi, anayesimamia kitengo cha…
1 December 2025, 7:49 pm
Na Mary Julius. Zaidi ya wageni 150 hadi 400 wanawasili katika hifadhi ya taifa ya Mikumi kwa siku kupitia Kiwanja cha Ndege cha Kikoboga kutokana na uboreshaji wa kiwanja hicho, uliofanywa na TANAPA. Afisa Uhifadhi Mwandamizi wa Hifadhi ya taifa…
1 December 2025, 7:20 pm
Na Mary Julius. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itahakikisha inaongeza Bajeti katika kusimamia utoaji wa huduma za afya kwa watu wanao ishi na virusi vya ukimwi ili kuimarisha upatikanaji wa huduma hizo kwa uhakika hayo yamebainishwa na Makamu wa…
29 November 2025, 10:09 pm
Na Mary Julius. Uwepo wa treni ya mwendokasi pamoja na maboresho ya viwanja vya ndege katika eneo la Hifadhi ya Taifa ya Mikumi umechangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la watalii wanaotembelea hifadhi hiyo. Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi Kanda ya Mashariki, Fredrick…
26 November 2025, 5:39 pm
Na Omar Hassan. Taasisi zinazohusika kuzuia na kupambana na usafirishaji haramu wa binaadamu zimetakiwa kutumia ubunifu wa kubaini vyanzo vya uhalifu huo ili kukomesha vitendo hivyo ambavyo vimekuwa vikiwaathiri zaidi wanawake na watoto. Akifungua Kikao cha Wadau wa Serikali kwa…
20 November 2025, 7:23 pm
Mary Julius Kitipwi. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesisitiza kuwa ushirikiano mpana kati ya Tume na wadau wa uchaguzi umechangia kuendesha Uchaguzi Mkuu wa 2025 kwa uwazi, weledi na kwa kuzingatia misingi ya amani. Akifungua mkutano wa tathmini ya wadau…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group