Keifo FM

Recent posts

26/01/2024, 01:53

Kyela: Isaki waoga noti za Babylon Mwakyambile

Wanachama wa chama cha Mapinduzi hapa wilayani kyela wametakiwa kuungana ili kukamirisha ujenzi wa jingo la ofisi za kata Isaki hapa wilayani Kyela ili kuondoa kadhia ya kuwafuata viongozi wa chama nyumbani kwao. Na James Mwakyembe Mdau maendeleo na mwanachama…

11/01/2024, 18:09

Mwangasa:Vijana shikamaneni acheni makundi

Katika kuiimarisha jumuiya ya vijana Uvccm hapa wilayani Kyela mjumbe wa mkutano mkuu mkoa wa mbeya Sarah Mwangasa amewataka vijana wilayani hapa kuachana makundi ili kukijenga jumuiya imara. Na Nsangatii Mwakipesile Mjumbe wa UWT mkoa kutoka wilayani Kyela Sarah Mwangasa…

11/01/2024, 17:42

Kyela:Vitambulisho 36 elfu vya utaifa vyatolewa na NIDA Kyela

Baada ya serikali kutoa vitambulisho vya utaifa vya NIDA kwa wilaya ya Kyela wananchi wilayani hapa wamesusia kuchukua vitambulisho hivyo licha ya serikali kutumia nguvu kubwa katika kuwahamasisha. Na James Mwakyembe Siku chache baada ya mkuu wa wilaya ya Kyela…

08/01/2024, 16:14

Mbeya: Samia mgeni rasmi maadhimisho ya maridhiano kitaifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dr Samia suluhu Hasani anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika siku ya maridhiano kitaifa yanayotarajia kufanyika mkoa wa Mbeya mwezi machi mwaka huu. Na Masoud Maulid Kuelekea   maadhimisho ya siku ya maridhiano kitaifa march…

08/01/2024, 16:02

Swebe: Nipo tayari, CHADEMA nitume popote nitakwenda

Baada ya kushinda kwa kishindo katika uchaguzi wa ndani wa chama cha demokrasia na amaendeleo wilaya ya Kyela mwenyekiti mpya wa chama hicho Victoria Swebe amesema yuko tayari kukipigania chama hicho ili kitwae jimbo katika uchaguzi ujao. Na James Mwakyembe…

08/01/2024, 15:47

Kyela waunda Chamata

Wakati Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiendelea na jukumu la kuwaletea maendeleo wananchi wa Tanzania, wadau mbalimbali wa maendeleo hapa wilayani Kyela wameunda umoja wao unaotambulika kwa jina la Chamata Tanzania ukiwa na lengo la…

04/01/2024, 13:02

Kukaja Kununu wamwaga bima za afya Kyela

Katika kuhikikisha watoto wanakuwa na afya bora hapa nchini umoja wa kikundi cha Kukaja kununu kimetoa bima za afya na vifaa vya usafi vyenye thamani ya zaidi ya shilingi laki tano katika hospitali ya wilaya ya Kyela. Na James Mwakyembe…

04/01/2024, 12:45

Kyela:Samia atua rasmi Kyela

Wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasan akiendelea kutekeleza miradi mikubwa yenye fedha nyingi jukwaa la kumsemea MAMA maarufu kama CHAMATA limeanzishwa rasmi wilayani kyela na kufanya uchaguzi wa viongozi wake. Nsangatii Mwakipesile Umoja wa jukwaa…

27/12/2023, 21:30

Ibasa washerehekea Krismasi, mwaka mpya na wenye ualbino Kyela

Vifaa tiba pamoja na vifaa vya shule vyenye thamani ya shilingi milioni nne na laki tisa vimetolewa na umoja wa wanakyela waishio sehemu mbalimbali maarufu Ibasa katika kituo cha afya Njisi na sekaondari mpya ya njisi iliyoko kata ya Njisi…

About Keifo Fm

Kyela education improvement foundation is a registered nonprofit
Organization with its main objectives to enhance quality education in the
Country .The organization was registered on august 24th 2006 with the
Registration number OONGO/1617. The organization main office is located along Kyela –
Tukuyu road at kalumbulu street, Kyela

GABRIEL KIPIJA is the founder chairman and managing director of KEIFO FM RADIO

SUMMARY OF OBJECTIVE FOR ESTABLISHMENT OF THE PROJECT. The following are the objectives of establishment of the KEIFO FM RADIO;- 

I. To improve rural community initiative through an improved, reliable and less in cot communication  system, providing access to educational programs, local and international news. 

II. The broadcast programs have been developed to include religion discussion and local and international  news , health education ,traditional events and various entertainment 

III. To act as a forum of community member to exchange development ideas, debate local and national  issues, which will provide access and exposure them to current affairs on social, agricultural, health etc. IV. To establish platform for reshaping the community towards good cultures 

VISION 

To be the leading education provider and news disseminator through radio waves 

MISSION 

To educate, encourage people to use radio facilities for sharing education, current affairs and  information dissemination