Keifo FM
Keifo FM
13 March 2024, 14:19
Chama cha CHADEMA wilayani kyela kimeitaka serikali ya chama cha mapinduzi wilayani hapa kujiandaa kikamilifu katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa na ule mkuu wa mwaka 2025 kuwa ni lazima wakiondoshe madarakani. Na James Mwakyembe Chama cha Democrasia na…
11 March 2024, 17:30
Mwenyekiti mpya CHADEMA wilaya ya Kyela Victoria Swebe amewataka wanawake wa chama hicho kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za uenyekiti wa serikali za mitaa katika uchaguzi ujao. Na James Mwakyembe Baada ya kuchaguliwa na kuwa mwenyekiti mpya mwanamke wa chama…
8 March 2024, 16:27
Vijana wa chama cha mapinduzi uvccm kata ya itunge wilayani kyela wamekabidhiwa sale aina kombati kwa ajili ya mandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2024-2025. Na Emmanuel Jotham Vijana kumi (10) wa Green Gard walio kwenda mafunzo kupitia chama…
8 March 2024, 16:09
Katika hali isiyokuwa ya kawaida nyani aina ya ngedere akiwa anakimbizwa kutoka sehemu nyingine kwenda sehemu nyingine gafla akikimbilia ndani na baadaye kumjeruhi mtoto. Na Masud Maulid nyani aliyekuwa anakimbizwa na watoto maeneo ya Majoka wialayni kyela ameingia ndani ya…
7 March 2024, 15:51
picha,Mbunge Ally Mlagila akizungumza na wananchi Serikali yaaja na mbinu mbadala ya kukomesha tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara wilayani kyela, Na James Mwakyembe Baada ya kuwepo katikakati ya umeme iliyokithiri serikali imetenga shilingi milioni mia nne kwa…
7 March 2024, 15:26
Wazazi na walezi wilayani kyela wametakiwa kuwaendeleza watoto wao na masomo ya kidato cha tano ili kupata elimu bora itakayowasadia pindi watakapo maliza masomo ya ya juu tofauti na ilivyosasa wanapokimbilia vyuo vya kati. Na Emmanuel Jotham Akizungumzia wimbi hilo…
3 March 2024, 22:57
Wakati wanawake wakijiaanda kusherehekea siku ya wananke duniani kikundi cha wekeza grupu kimetoa vifaaa vya shule na chakula kwa shule za msingi Mbangamojo na Ikombe ikiwa ni ishara ya maadhimisho ya siku ya wananwake hapa wilayani Kyela. Na Nsangatii Mwakipesile…
14 February 2024, 17:10
3 February 2024, 16:47
Baada ya kukosekana kwa shule za msingi na sekondari hatimaye wakaazi wa kata ya Serengeti hapa wilayani Kyela wanatarajia kuanza ujenzi wa shule baada ya kupatikana eneo. Na Masoud Maulid Kutokana na kilio cha muda mrefu kwa wananchi wa kata…
3 February 2024, 16:31
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania dokta Samia Suluhu Hasan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika siku ya mamaridhiano day itkayofanyika machi 3 2024 mkoani Mbeya.Na Masoud Maulid Kuelekea siku ya maadhimisho ya Maridhiano day yatakayofanyika march 3.2024 kamati ya…
Kyela education improvement foundation is a registered nonprofit
Organization with its main objectives to enhance quality education in the
Country .The organization was registered on august 24th 2006 with the
Registration number OONGO/1617. The organization main office is located along Kyela –
Tukuyu road at kalumbulu street, Kyela
GABRIEL KIPIJA is the founder chairman and managing director of KEIFO FM RADIO
SUMMARY OF OBJECTIVE FOR ESTABLISHMENT OF THE PROJECT. The following are the objectives of establishment of the KEIFO FM RADIO;-
I. To improve rural community initiative through an improved, reliable and less in cot communication system, providing access to educational programs, local and international news.
II. The broadcast programs have been developed to include religion discussion and local and international news , health education ,traditional events and various entertainment
III. To act as a forum of community member to exchange development ideas, debate local and national issues, which will provide access and exposure them to current affairs on social, agricultural, health etc. IV. To establish platform for reshaping the community towards good cultures
VISION
To be the leading education provider and news disseminator through radio waves
MISSION
To educate, encourage people to use radio facilities for sharing education, current affairs and information dissemination