Keifo FM
Keifo FM
8 May 2024, 17:29
Wakati wa serikali na wadau mbalimbali wa afya kitaifa na kimataifa wakiendelea na juhudi za kutokomeza ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi jumla ya wasichana elfu ishirini na moja mia moja themanini wamepatiwa chanjo ya ugonjwa huo hapa wilayani…
7 May 2024, 19:20
CHADEMA wilaya ya Kyela kimezuiwa kuendelea kutoa msaada wa kukarabati barabara ya kijiji cha Masebe iliyoharibiwa na mafuriko hapa wilayani Kyela. Na James Mwakyembe Siku chache baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kuanza kutekeleza ahadi ya kumwaga tripu…
7 May 2024, 18:24
Siku chache baada ya kuanza kutekeleza majukumu yake ya kusaidia jamii ya Kyela kikundi cha Najivunia Kyela Yetu kimezinduliwa rasmi ndani ya Kyela huku kikiweka mikakati yake kwa mwaka 2024. Na Nsangatii Mwakipesile Kikundi cha Najivunia Kyela Yetu Festival chenye…
6 May 2024, 14:18
Katika kukabiliana na ajali za barabarani jeshi la polisi mkoa wa Mbeya limetoa vyeti kwa wahitimu miamoja na nane hapa wilayani kyela mbele ya mgeni rasmi afande RTO H.A Gawile. Na Nsangatii Mwakipesile Mrakibu wa jeshi la polisi kitengo cha…
6 May 2024, 13:29
Mkurugenzi wa kampuni ya Covenant Edible Oil Ltd wazarishaji wa mafuta ya kyela Cooking Oil na Sungold Cooking Oil Babylon Mwakyambile amewataka wanachama wa chama cha mapinduzi kata ya Ikimba kushikamana ili kufanikisha ujenzi wa ofisi za chama hicho. Na…
30 April 2024, 14:10
Katika kuhakikisha kwamba huduma bora za afya zinapatikana katika zahanati,vituo vya afya na hospitali ya wilaya ya kyela serikali imekusudia kuwaondoa kazini watumishi wote walio na lugha mbaya ya matusi kwa wagonjwa hapa wilayani Kyela. Na James Mwakyembe Ziara ya…
19 April 2024, 20:35
Mdau wa maendeleo na mkurugenzi wa kampuni ya Basai General Suplies Ltd Baraka Mwamengo ametoa jumla ya shilingi milioni moja na kuahidi kuwapatia mashine nyingine mpya ya kisasa kwaajiri ya kuchapia mitihani shuleni hapo ili kuondokana na kadhia hiyo. Na…
17 April 2024, 14:43
Mkuu wa Wilaya ya Kyela Josephine Manase amemmwagia sifa mkurgenzi wa kiwanda cha mafuta ya kupikia cha Covenant Edible Oil oili Babylon Mwakyambile kwa kuwa wa kwanza kutoa misaada kwa wahanga wa mafuriko. Na Emmanuel Jotham Mkuu wa Wilaya ya…
4 April 2024, 13:29
Baada ya mkurugenzi wa Covenant Edible Oil Ltd kufanya juhudi kubwa za kuwaletea maendeleo na fursa za ajira wakazi wilayani hapa mbunge wa jimbo la Kyela Ally Mlaghila Jumbe amempongeza mkurugenzi huyo na kuwataka wadau wengine kufuata njia hiyo ili…
4 April 2024, 13:17
Wananchi katika kata ya ngana hapa wilayani kyela wapo hatarini kuliwa na mamba kufuatia daraja la mto mwega kubomoka na kulazimika kuvuka kwa kuogelea ndani ya mto huo unaosifika kuwa na mamba wengi kufuata huduma kijiji cha pili. Na Masoud…
Kyela education improvement foundation is a registered nonprofit
Organization with its main objectives to enhance quality education in the
Country .The organization was registered on august 24th 2006 with the
Registration number OONGO/1617. The organization main office is located along Kyela –
Tukuyu road at kalumbulu street, Kyela
GABRIEL KIPIJA is the founder chairman and managing director of KEIFO FM RADIO
SUMMARY OF OBJECTIVE FOR ESTABLISHMENT OF THE PROJECT. The following are the objectives of establishment of the KEIFO FM RADIO;-
I. To improve rural community initiative through an improved, reliable and less in cot communication system, providing access to educational programs, local and international news.
II. The broadcast programs have been developed to include religion discussion and local and international news , health education ,traditional events and various entertainment
III. To act as a forum of community member to exchange development ideas, debate local and national issues, which will provide access and exposure them to current affairs on social, agricultural, health etc. IV. To establish platform for reshaping the community towards good cultures
VISION
To be the leading education provider and news disseminator through radio waves
MISSION
To educate, encourage people to use radio facilities for sharing education, current affairs and information dissemination