Keifo FM
Keifo FM
19 June 2024, 15:44
“Vijana jitokezeni kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa chama kiko tayari kuwaunga mkono”Ramadhan Mwakitalu. James Mwakyembe Wakati kambi ya umoja wa vijana ikiendelea kupamba moto huko Ikombe hapa wilayani kyela mjumbe wa mkutano mkuu CCM…
6 June 2024, 17:32
“Itakuwa haina maana kama mnaweza kukusanya fedha yote inayozidi harafu mkashindwa kutekeleza miradi ya maendeleo ya wananchi ili nao waone umuhimu wa kutoa ushuru” Na Masoud Maulid Mkuu wa mkoa wa mbeya Comred Juma Homera ameipongeza halmashauri ya wilaya ya…
4 June 2024, 17:11
Wimbi la wanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema kukihama chama hicho hapa wilayani kyela limeendelea kushika kasi baada ya wananchama wake wengine tisa kujinga Ccm. Na Aidan Mwasampeta Siku chache baada ya wanachama wa Demokrasia na Maendeleo kutimka…
3 June 2024, 16:14
Katika kukabiliana na janga la mafuriko ambalo limekuwa likiisumbua wilaya ya Kyela mara kwa mara serikali imekusudia kupanda miti milioni moja na laki tano. Na James Mwakyembe Siku chache baada ya mvua kubwa kuikumba wilaya ya Kyela serikali imekusudia kupanda…
31 May 2024, 18:25
Kutokana na hali ya mrundikano wa taka ulikithiri katika kizimba cha soko la jioni Kapwili wamelalamiki harufu mbaya inayosababishwa na kujaa kwa taka kizaimbani hapo. Na Nsangatii Mwakipesile Wananchi na wafanyabiashara katika soko la jioni la njia panda kapwili wameitaka…
28 May 2024, 15:58
Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Kyela Victoria Swebe amekitaka Chama Cha Mapinduzi CCM kuacha uoga wa kiasiasa badala yake wajitokeze hadharani katika kuwahudumia wananchi. Na Masoud Maulid Saa chache baada ya Chama Cha Mapinduzi CCM Kyela kutangaza kuwapokea wanachama wapya…
27 May 2024, 18:21
Mwenyekiti wa taasisi ya biashara,viwanda na kilimo Tanzania TCCIA amewataka wafanyabiashara wilayani kyela kuitumia taasi yao ili kuondokana na migogoro ya kibiashara isiyo ya lazma. Na Masoud Maulid Siku mbili baada ya mgomo wa wafanyabiashara wa soko la kyela kugoma…
23 May 2024, 19:08
Wananchi wamesema wameanza kuchangishana fedha ili kuhakikisha wanafanikisha ujenzi wa ofisi ya mwalim mkuu katika shule ya msingi kilombero kata ya Mababu hapa wilayani Kyela. Baada ya Halmashauri ya Wilaya ya kyela kukusudia kusaidia fedha za kukamilisha ujenzi wa vyumba…
20 May 2024, 18:35
“Nilipata ulemavu nikiwa na umri wa miaka thelathini nikiwa na mke na watoto watatu.” Anaeleza Mwambungu Na Masoud Maulid Watanzania wenye ulemavu wametakiwa kujishughulisha na shughuli ndogondogo za ujasiriamali na kuachana na tabia ya ombaomba ili kukidhi mahitaji yao. Kauli…
15 May 2024, 18:48
Kutokana na kuharibika kwa kivuko cha Kasumulu kinachowaunganisha wananchi wa kata ya Ngana na Ibanda hapa wilayani Kyela kuwa katika hali mbaya wananchi wa kata hizo wameiomba serikali kuboresha haraka kivuko hicho kinachotishia uhai wao. Na Masoud Maulid Mtoto Elisha…
Kyela education improvement foundation is a registered nonprofit
Organization with its main objectives to enhance quality education in the
Country .The organization was registered on august 24th 2006 with the
Registration number OONGO/1617. The organization main office is located along Kyela –
Tukuyu road at kalumbulu street, Kyela
GABRIEL KIPIJA is the founder chairman and managing director of KEIFO FM RADIO
SUMMARY OF OBJECTIVE FOR ESTABLISHMENT OF THE PROJECT. The following are the objectives of establishment of the KEIFO FM RADIO;-
I. To improve rural community initiative through an improved, reliable and less in cot communication system, providing access to educational programs, local and international news.
II. The broadcast programs have been developed to include religion discussion and local and international news , health education ,traditional events and various entertainment
III. To act as a forum of community member to exchange development ideas, debate local and national issues, which will provide access and exposure them to current affairs on social, agricultural, health etc. IV. To establish platform for reshaping the community towards good cultures
VISION
To be the leading education provider and news disseminator through radio waves
MISSION
To educate, encourage people to use radio facilities for sharing education, current affairs and information dissemination