Keifo FM
Keifo FM
26 May 2025, 13:14
Zaidi ya shilingi milioni tano zilizofujwa na mtendaji wa kijiji hicho zimerejeshwa kwenye akaunti ya kijiji hicho na kuelekezwa kwenye miradi mipya ya kijiji cha Kafundo. Na James Mwakyembe Hatimae mwenyekiti wa halmashauri ya Kyela Katule Kingamkono kwa kushirikiana na…
20 February 2025, 17:17
Wanachama wa chama cha mpainduzi ccm kyela mjini wilaya ya kyela wametembelea na kugawa misaada mbalimbali ya kiutu ili kuwakwamua kiuchumi wananchi wenye uhitaji maalumu katika kata hiyo. Masoud Maulid Ili kujenga jamii yenye ustawi sawa na bora Chama cha…
20 February 2025, 16:55
Katika hali ya kushangaza serikali ya halmashauri ya wilaya ya kyela imeagiza mkaguzi wa hesabu za serikali kufika katika kijiji cha kafundo kutokana na harufu ya ubadhilifu wa fedha za wananchi. Na Masoud Maulid Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya…
12 February 2025, 17:37
Katika kutekeleza agizo la serikali la kutoa mikopo ya asilimia kumi kutokana na makusanyo ya ndani,halmashauri ya wilaya ya Kyela imeanza kutekeleza agizo hilo kwa kutoa mikopo ya shilingi milioni 816 kwa vikundi 65 kwa vijana,wanawake na watu wenye ulemavu.…
7 February 2025, 16:35
Serikali ya halmashauri ya wilaya ya Kyela imewapongeza wananchi kwa kuwezesha halmashauri kukusanya asilimia 98 za makusanyo kutoka katika vyanzo vyake. Na James Mwakyembe Baraza la madiwani la robo ya pili ya Mwaka la mrejesho kwa wananchi juu ya kipi…
4 February 2025, 19:17
Mamia ya wananchi wamejitokeza katika viwanja vya mahakama ya wilaya ya kyela kusikiliza na kuwasilisha kero zao zilizotatuliwa na jopo la watalaamu wa sheria katika kilele cha wiki ya sheria hapa wilayani kyela. Na Nsangatii Mwakipesile Hatimaye kilele cha wiki…
28 January 2025, 14:48
Wananchi wilayani kyela wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika viwanja vya mahakama ya wilaya ya kyela kwenda kutoa na kero zao ili zitatuliwe katika wiki hii ya sheria. Na James Mwakyembe Hatiamaye maadhimisho ya wiki ya sheria yamezinduliwa rasmi hapa wilayani…
28 January 2025, 12:00
“siku chache zilipita chama cha mapinduzi ccm wilaya ya kyela kupitia halmashauri kuu wamenitunuku cheti cha shukrani kutambua mchango wangu katika ujenzi wa chama change” Na James Mwakyembe Aliyekuwa mgombea wa ubunge kupitia chama cha demokrasia na maendeleo chadema kabla…
25 November 2024, 15:14
Mratibu wa Ukimwi wilaya ya Kyela Amosi Kayembele aikiwa na timu ya watalamu kutoka hospitali ya wilaya ya kyela pamoja wadau kutoka shirika lisilo la kiserikali la Tumaini wakiwa katika kipindi cha Morning Power Picha na Masoud Maulid Kuelekea maadhimisho…
20 November 2024, 19:10
Watanzania wametakiwa kijitokeza kuenda kupiga kura siku ya tarehe 27 Novemba katika zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa utafanyika nchi nzima mwaka huu wa 2024. Na James Mwakyembe Wakati taifa la Tanzania likieleka katika uchaguzi wa serikali za mitaa…
Kyela education improvement foundation is a registered nonprofit
Organization with its main objectives to enhance quality education in the
Country .The organization was registered on august 24th 2006 with the
Registration number OONGO/1617. The organization main office is located along Kyela –
Tukuyu road at kalumbulu street, Kyela
GABRIEL KIPIJA is the founder chairman and managing director of KEIFO FM RADIO
SUMMARY OF OBJECTIVE FOR ESTABLISHMENT OF THE PROJECT. The following are the objectives of establishment of the KEIFO FM RADIO;-
I. To improve rural community initiative through an improved, reliable and less in cot communication system, providing access to educational programs, local and international news.
II. The broadcast programs have been developed to include religion discussion and local and international news , health education ,traditional events and various entertainment
III. To act as a forum of community member to exchange development ideas, debate local and national issues, which will provide access and exposure them to current affairs on social, agricultural, health etc. IV. To establish platform for reshaping the community towards good cultures
VISION
To be the leading education provider and news disseminator through radio waves
MISSION
To educate, encourage people to use radio facilities for sharing education, current affairs and information dissemination