Keifo FM
Keifo FM
12/06/2025, 17:20
Mkugenzi wa kiwanda cha kuzarisha mafuta ya kula hapa wilayani kyela amechangia saruji na mbao katika ujenzi wa nyumba ya katibu wa wazazi wilaya ya Kyela. Na James Mwakyembe Mdau wa maendeleo na mkurugenzi wa kiwanda cha mafuta ya kula…
10/06/2025, 18:06
“Nilipata mashaka kupitisha makato ya shilingi hamsini kwa kila kilo nikihofia kuwa je zitaleta faida?” Na Nsangatii Mwakipesile Mkuu wa mkoa wa mbeya Juma Homera ameshiriki zoezi la kukabidhi vipima unyevu wa Kakao kwa AMCOS 37 hapa wilayani kyela katika…
30/05/2025, 15:53
Wandishi wa habari kutoka mikoa mbalimbali wamekumbushwa kuzingatia misingi na weledi katika kuandika habari zenye tija na kuziweka kwenye mtandao wa radio portal ili kuwafikia wasikilizaji nje ya mikoa yao Na Emmanuel Jotham Wandishi wa Habari wa Radio wametakiwa kutumia…
26/05/2025, 13:15
“Wafanya kazi walio pewa zawadi ni wale wa mkataba wa muda mfupi,ambao wamekuwaa na mchango mkubwa kwenye shirika katika kufanikisha ufanisi wake” meneja wa tanesco wilaya Na Emmanuel Jotham Shirika la umeme Tanesco wilaya ya kyela limetoa zawadi mbalimbali kwa…
26/05/2025, 13:14
Zaidi ya shilingi milioni tano zilizofujwa na mtendaji wa kijiji hicho zimerejeshwa kwenye akaunti ya kijiji hicho na kuelekezwa kwenye miradi mipya ya kijiji cha Kafundo. Na James Mwakyembe Hatimae mwenyekiti wa halmashauri ya Kyela Katule Kingamkono kwa kushirikiana na…
20/02/2025, 17:17
Wanachama wa chama cha mpainduzi ccm kyela mjini wilaya ya kyela wametembelea na kugawa misaada mbalimbali ya kiutu ili kuwakwamua kiuchumi wananchi wenye uhitaji maalumu katika kata hiyo. Masoud Maulid Ili kujenga jamii yenye ustawi sawa na bora Chama cha…
20/02/2025, 16:55
Katika hali ya kushangaza serikali ya halmashauri ya wilaya ya kyela imeagiza mkaguzi wa hesabu za serikali kufika katika kijiji cha kafundo kutokana na harufu ya ubadhilifu wa fedha za wananchi. Na Masoud Maulid Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya…
12/02/2025, 17:37
Katika kutekeleza agizo la serikali la kutoa mikopo ya asilimia kumi kutokana na makusanyo ya ndani,halmashauri ya wilaya ya Kyela imeanza kutekeleza agizo hilo kwa kutoa mikopo ya shilingi milioni 816 kwa vikundi 65 kwa vijana,wanawake na watu wenye ulemavu.…
07/02/2025, 16:35
Serikali ya halmashauri ya wilaya ya Kyela imewapongeza wananchi kwa kuwezesha halmashauri kukusanya asilimia 98 za makusanyo kutoka katika vyanzo vyake. Na James Mwakyembe Baraza la madiwani la robo ya pili ya Mwaka la mrejesho kwa wananchi juu ya kipi…
04/02/2025, 19:17
Mamia ya wananchi wamejitokeza katika viwanja vya mahakama ya wilaya ya kyela kusikiliza na kuwasilisha kero zao zilizotatuliwa na jopo la watalaamu wa sheria katika kilele cha wiki ya sheria hapa wilayani kyela. Na Nsangatii Mwakipesile Hatimaye kilele cha wiki…
Kyela education improvement foundation is a registered nonprofit
Organization with its main objectives to enhance quality education in the
Country .The organization was registered on august 24th 2006 with the
Registration number OONGO/1617. The organization main office is located along Kyela –
Tukuyu road at kalumbulu street, Kyela
GABRIEL KIPIJA is the founder chairman and managing director of KEIFO FM RADIO
SUMMARY OF OBJECTIVE FOR ESTABLISHMENT OF THE PROJECT. The following are the objectives of establishment of the KEIFO FM RADIO;-
I. To improve rural community initiative through an improved, reliable and less in cot communication system, providing access to educational programs, local and international news.
II. The broadcast programs have been developed to include religion discussion and local and international news , health education ,traditional events and various entertainment
III. To act as a forum of community member to exchange development ideas, debate local and national issues, which will provide access and exposure them to current affairs on social, agricultural, health etc. IV. To establish platform for reshaping the community towards good cultures
VISION
To be the leading education provider and news disseminator through radio waves
MISSION
To educate, encourage people to use radio facilities for sharing education, current affairs and information dissemination