Keifo FM
Keifo FM
23 December 2023, 16:01
Mdau wa maendeleo wilayani Kyela Bablon Mwakyambile ametoa misaada mbalimbali ikiwemo fedha taslimu shilingi laki tano kwa watoto yatima 36 huku akiahidi kuendelea kuwakumbuka katika mambo mengine. Na James Mwakyembe Ibada ya kuwatunza watoto yatima 36 imefanyika katika kanisa la…
23 December 2023, 14:49
Mkurungenzi wa kampuni ya ujenzi ya Basai General Supplies Limited Baraka Mwamengo ametoa jumla ya shilingi laki nane kwa watoto yatima 36 wanaolelewa na familia ya mwalimu Mwakibinga hapa wilayani Kyela. Na James Mwakyembe Kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka…
23 December 2023, 12:52
Kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Kyela imeteketeza jumla ya tani 154.28 za madawa ya kulevya aina ya bangi zilizokamatwa baada ya misako mbalimbali ya jeshi la polisi wialayni hapa. Na Nsangatii Mwakipesile Mkuu wa wilaya ya Kyela Josephine…
21 December 2023, 13:22
Mshindi wa rufaa ya kifungo cha maisha Gerald Mwakitalu amechukua fomu ya kugombea nafasi ya mwenyekiti wa Balaza la Vijana Chadema BAVICHA wilaya ya Kyela na kuwaomba wajumbe kumchagua. Na James Mwakyembe Wakati uchaguzi wa ndani kwa ngazi ya wilaya…
18 December 2023, 12:54
Mbunge wa jimbo la Kyela Ally Mlaghila Jumbe Kinanasi anatarajiwa kuvikwa uchifu na jumuaiya ya wazee wa kimila wilaya ya kyela katika tukio litakalofanyika desemba 28 mwaka huu. Na Masoud Maulid Umoja wa wazee wa kimila maarufu Machifu na wasaidizi…
16 December 2023, 11:40
Wadau wa maendeleo wilayani Kyela wameombwa kusaidia ujenzi wa zahanati ya Nkuyu iliyokwama kumalizika kutokana na ufinyu wa bajeti. Na James Mwakyembe Baada ujenzi wa zahanati ya Nkuyu kukwama kumalizika kwa wakati uliopangwa diwani wa kata ya Nkuyu Hezron Mwalusangani…
16 December 2023, 11:27
Serikali ya Tanzania chini ya Raisi Samia Suluhu Hasani imepanga kujenga barabara zinazogawa mitaa ndani ya Wilaya ya kyela katika bajeti ya 2023-2024. Na Nsangatii Mwakipesile Wakati serikali ikiendelea kutekeleza Miradi mbalimbali hapa nchini mhandisi wa TARURA Karim Mfungata ametoa…
13 December 2023, 16:48
Diwani wa kata ya Mwangany’anga wilayani Kyela Alex Mwinuka ameishukuru serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa ujenzi wa kipande cha barabara kinachojengwa kwa kiwango cha lami katika kata hiyo. Na Nsangatii Mwakipesile. Wakati serikali ikiendelea na jitihada za…
12 December 2023, 17:10
Wazazi na walezi wilayani Kyela wametakiwa kuweka akiba kwa ajili ya watoto wao kwenda shule mwezi Januari kwani ni jambo la aibu mtoto kushindwa kwenda shule kwa sababu ya krismasi. Na Nsangatii Mwakipesile Kuelekea kuhitimisha mwaka wa 2023 mwenyekiti wa…
12 December 2023, 16:48
Jeshi la polisi wilayani Kyela limewataka wananchi wote kusherehekea sikukuu za krismasi na mwaka mpya kwa utulivu na amani. Na James Mwakyembe Kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka krimasi na mwaka mpya Jeshi la Polisi wilayani Kyela limewataka wananchi wote…
Kyela education improvement foundation is a registered nonprofit
Organization with its main objectives to enhance quality education in the
Country .The organization was registered on august 24th 2006 with the
Registration number OONGO/1617. The organization main office is located along Kyela –
Tukuyu road at kalumbulu street, Kyela
GABRIEL KIPIJA is the founder chairman and managing director of KEIFO FM RADIO
SUMMARY OF OBJECTIVE FOR ESTABLISHMENT OF THE PROJECT. The following are the objectives of establishment of the KEIFO FM RADIO;-
I. To improve rural community initiative through an improved, reliable and less in cot communication system, providing access to educational programs, local and international news.
II. The broadcast programs have been developed to include religion discussion and local and international news , health education ,traditional events and various entertainment
III. To act as a forum of community member to exchange development ideas, debate local and national issues, which will provide access and exposure them to current affairs on social, agricultural, health etc. IV. To establish platform for reshaping the community towards good cultures
VISION
To be the leading education provider and news disseminator through radio waves
MISSION
To educate, encourage people to use radio facilities for sharing education, current affairs and information dissemination