Keifo FM
Keifo FM
21 December 2023, 13:22
Mshindi wa rufaa ya kifungo cha maisha Gerald Mwakitalu amechukua fomu ya kugombea nafasi ya mwenyekiti wa Balaza la Vijana Chadema BAVICHA wilaya ya Kyela na kuwaomba wajumbe kumchagua. Na James Mwakyembe Wakati uchaguzi wa ndani kwa ngazi ya wilaya…
18 December 2023, 12:54
Mbunge wa jimbo la Kyela Ally Mlaghila Jumbe Kinanasi anatarajiwa kuvikwa uchifu na jumuaiya ya wazee wa kimila wilaya ya kyela katika tukio litakalofanyika desemba 28 mwaka huu. Na Masoud Maulid Umoja wa wazee wa kimila maarufu Machifu na wasaidizi…
16 December 2023, 11:40
Wadau wa maendeleo wilayani Kyela wameombwa kusaidia ujenzi wa zahanati ya Nkuyu iliyokwama kumalizika kutokana na ufinyu wa bajeti. Na James Mwakyembe Baada ujenzi wa zahanati ya Nkuyu kukwama kumalizika kwa wakati uliopangwa diwani wa kata ya Nkuyu Hezron Mwalusangani…
16 December 2023, 11:27
Serikali ya Tanzania chini ya Raisi Samia Suluhu Hasani imepanga kujenga barabara zinazogawa mitaa ndani ya Wilaya ya kyela katika bajeti ya 2023-2024. Na Nsangatii Mwakipesile Wakati serikali ikiendelea kutekeleza Miradi mbalimbali hapa nchini mhandisi wa TARURA Karim Mfungata ametoa…
13 December 2023, 16:48
Diwani wa kata ya Mwangany’anga wilayani Kyela Alex Mwinuka ameishukuru serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa ujenzi wa kipande cha barabara kinachojengwa kwa kiwango cha lami katika kata hiyo. Na Nsangatii Mwakipesile. Wakati serikali ikiendelea na jitihada za…
12 December 2023, 17:10
Wazazi na walezi wilayani Kyela wametakiwa kuweka akiba kwa ajili ya watoto wao kwenda shule mwezi Januari kwani ni jambo la aibu mtoto kushindwa kwenda shule kwa sababu ya krismasi. Na Nsangatii Mwakipesile Kuelekea kuhitimisha mwaka wa 2023 mwenyekiti wa…
12 December 2023, 16:48
Jeshi la polisi wilayani Kyela limewataka wananchi wote kusherehekea sikukuu za krismasi na mwaka mpya kwa utulivu na amani. Na James Mwakyembe Kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka krimasi na mwaka mpya Jeshi la Polisi wilayani Kyela limewataka wananchi wote…
11 December 2023, 16:29
Baadhi ya wananchi wanaouzunguka mto mbaka hapa wilayani Kyela wameiomba serikali ya halmashauri ya wilaya kyela kuwavuna mamba wanaongezeka kwa kasi katika mto mbaka. Nsangatii Mwakipesile Kufuatia ongozeko la wanyama aina ya mamba ndani yam to mbaka hapa wilayani Kyela…
11 December 2023, 16:17
Wakati dirisha la uandikishwa kwa watoto walio na umri wa kuanza shule kwa darasa la kwanza likifunguliwa jamii wilayani kyela imetakiwa kuwapeleka watoto wao kujiandisha ili kutimiza haki yao ya msingi ya kupata elimu. Na Masoud Maulid Wito umetoletewa kwa…
11 December 2023, 12:42
Wanyama waharibifu kwa mazao ya chakula aina ya Ngedere wamevamia mashamba ya wananchi wa Ipande na kula mazao shambani. Na Nsangatii Mwakipesile Kufuatia kuwepo kwa uharibifu mkubwa wa mazao unaofanywa na wanyama aina ya ngedere wakulima wa Kata ya Ipande…
Kyela education improvement foundation is a registered nonprofit
Organization with its main objectives to enhance quality education in the
Country .The organization was registered on august 24th 2006 with the
Registration number OONGO/1617. The organization main office is located along Kyela –
Tukuyu road at kalumbulu street, Kyela
GABRIEL KIPIJA is the founder chairman and managing director of KEIFO FM RADIO
SUMMARY OF OBJECTIVE FOR ESTABLISHMENT OF THE PROJECT. The following are the objectives of establishment of the KEIFO FM RADIO;-
I. To improve rural community initiative through an improved, reliable and less in cot communication system, providing access to educational programs, local and international news.
II. The broadcast programs have been developed to include religion discussion and local and international news , health education ,traditional events and various entertainment
III. To act as a forum of community member to exchange development ideas, debate local and national issues, which will provide access and exposure them to current affairs on social, agricultural, health etc. IV. To establish platform for reshaping the community towards good cultures
VISION
To be the leading education provider and news disseminator through radio waves
MISSION
To educate, encourage people to use radio facilities for sharing education, current affairs and information dissemination