Zenj FM

Recent posts

14/08/2023, 13:54

Bandari Pemba yakusanya zaidi ya bilion 2

Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar imetembelea  bandari ya Mkoani Pemba na kushuhudia madadiliko katika bandari hiyo ikiwemo  katika njia ya kupitia abiria ambapo sasa abiria wanaweza kupita bila ya kupigwa na jua au mvua inaponyesha. Na Is-haka Mohammed…

13/08/2023, 16:40

Wazazi wa kiume watakiwa kutenga muda kwa ajili ya watoto wao

Katika kuhakikisha watoto wanakuwa kwenye maadili, wazazi hawana budi kutenga muda wa kuwasikiliza na kuwa karibu nao ili kujenga jamii bora ya badae. Na. Is-haka Rubea Wazazi na Walezi wameombwa harakati zao za kutafuta maisha zisiwanyime muda wa kukaa na…

13/08/2023, 16:08

Kituo cha polisi Tumbatu kwa mara ya kwanza

Kituo hicho cha polisi Tumbatu chenye hadhi ya daraja “c” kinatarajiwa kuwa mkombozi kwa wananchi wa kisiwa hicho. Na Said Bakari. Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamad Khamis Hamad amesema kukamilika kwa mradi wa kituo cha Polisi katika Kisiwa cha Tumbatu kutapelekea…

11/08/2023, 15:21

ZRA yajisogeza karibu ya walipa kodi Pemba

Na Is-haka Mohammed Pemba. Katika kuhakikisha wananchi kisiwani Pemba wanalipa kodi kwa ukamilifu Mamlaka ya Mapato Zanzibar imetoa mafunzo kwa walipa kodi Pemba ili kuwajengea uelewa wa mfumo mpya wa kulipa kodi. Mamlaka ya Mapato Zanzibar ZRA imesema mabadiliko ya…

11/08/2023, 14:43

Zenj fm waahidi kutumia mtandao wa Radio Tadio

Katika mafunzo hayo waandishi wa Zenj fm wamefundishwa tofauti ya utangazaji wa kwenye Redio na habari za mtandaoni. Na. Berema Nassor. Waandishi wa habari wa kituo cha redio cha Zenj FM wameshauriwa kuzitumia fursa zilizopo katika mtandao wa Radio Tadio…

10/08/2023, 14:55

Masheha watakiwa kuyatumia maonesho ya nanenane kujiongezea elimu

Amesema katika ziara yao hiyo watajifunza mbinu mbali mbali ambazo wakiitoa kwa wananchi wataweza kuisaidia kwa kiasi kikubwa wizara katika utoaji wa elimu ya kilimo na ufugaji. Na Khamis Said Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo  Shamata Shaame Khamis amewataka masheha wa wilaya…

09/08/2023, 14:49

Tadio yawapiga msasa waandishi wa habari Zanzibar

Waandishi wa habari Zanzibar wametakiwa kutumia mtandao wa Radio Tadio ili kubadilishana habari. Na Mary Julius Mhariri wa Radio Tadio Tanzania Hilali Ruhundwa amewataka waandishi wa habari zanzibar kuitumia fursa ya mtandao wa radio tadio  katika kuchapisha habari ili kuweza…

08/08/2023, 12:39

Moto wateketeza hotel Pongwe

Mkuu wa mkoa wa Kusini Unguja amewataka zimamoto kutoa elimu ya kukabiliana na majanga ya moto kwa wananchi. Na Fatuma Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja Rashid Hadid Rashid  ameziagiza mamlaka ya zima moto, shirika la umeme na idara ya maafa  kuandaa utaratibu…

07/08/2023, 11:13

Wananchi Micheweni watakiwa kushirikiana na Polisi Jamii

Kamishina Msaidizi wa polisi Dkt Emmanuel amesema bado kuna mwamko mdogo kwa wananchi wa micheweni katika kushirikiana na polisi jamii. Na Omary Hassan. Mkuu wa Polisi jamii Zanzibar, Kamishna Msaidizi wa Polisi Dkt. Egyne Emmanuel awewataka wananchi kuzitumia kamati za…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group