Zenj FM

Recent posts

27 March 2024, 6:43 pm

Uzalishaji taka waongezeka Zanzibar kipindi cha mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Na Rahma Hassan.  Kuelekea katika kipindi cha mvua za masika wakaazii wa shehia ya mikunguni wameliomba Baraza la Manispaa Zanzibar kulitafutia ufumbuzi suala la taka  zilizozagaa katika jaa la shehia yao. Wakizungumza  na zenji FM Wananchi hao  Wamesema   karibu wiki…

19 March 2024, 4:30 pm

Taasisi za kiraia,Pemba zamwaga neema kwa wananchi

Na Is-haka Mohammed. Meya wa Manispaa ya Chake Chake Abdalla Hamad Abdalla amesema kazi za utoaji wa misaada na sadaka zinazofanywa na taasisi mbali mbali za kiraia zinaisaidia serikali kutatua changamoto zilizopo katika jamii. Meya ameyasema hayo katika hafla ya …

14 March 2024, 4:03 pm

Walimu Zanzibar watakiwa kutumia mtaala mpya

Na Ishaka Mohammed Pemba “Baada ya mafunzo jukumu kubwa la mwalimu ni kutumia mtaala huo wakati wa ufundishaji” Amesema Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Leila Mohamed Mussa. Waziri wa  Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Leila Mohamed…

13 March 2024, 5:04 pm

Jamii yahimizwa kusaidia makundi maalum

Jamii nchini  imehimizwa  kuutumia mwezi huu mtukufu wa Ramadhan kukithirisha kufanya ibada kwa kusaidia mahitaji  katika makundi mbalimbali ya  kijamii ikiwemo elimu ili kupata radhi za Mwenyezi Mungu. Akizungumza mara baada ya kukabidhi mapolo ya vyakula vyenye thamani ya zaidi ya shiling…

12 March 2024, 6:45 pm

Wizara ya Afya Zanzibar yatoa ripoti vifo vya watoto tisa

Na Mary Julius Kufuatia vifo vya watoto tisa waliofariki kwa kula nyama ya kasa, Wizara ya Afya Zanzibar imewataka wananchi visiwani humo kuacha kula nyama hiyo. Wizara ya Afya Zanzibar imetoa ripoti ya utafiti uliofanywa kufuatia watoto tisa kufariki dunia…

12 March 2024, 5:15 pm

Jeshi la polisi Kusini Unguja kuimarisha ulinzi, usalama

Na Mary Julius. Katika kuhakikisha wananchi wanaofanya ibada za usiku katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan wanakuwa salama, Jeshi la Polisi laahidi kulinda watu na mali zao. Jeshi la polisi mkoa wa Kusini Unguja limejipanga kuimrisha ulinzi na…

11 March 2024, 5:12 pm

Jamii yatakiwa kuona umuhimu wa kuchangia damu kwa hiari

Na Mary Julius. Mkuu wa mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohamed  Mahamoud  amesema  serikali inahitaji kuwa na akiba ya kutosha ya damu salama ili kuokoa maisha ya watu pale wanapokabiliwa na majanga. Akizungumza katika zoezi la uchangiaji damu huko  kiwanja…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group