Zenj FM

Recent posts

30/07/2024, 14:45

Udongo sababu ya ucheleweshaji wa mradi wa ujenzi wa barabara Pemba

Na Mary Julius. Kampuni ya MECCO imetoa sababu za mradi wa ujenzi wa barabara ya chakechake/wete kuchelewa utekelezaji wake baada ya kubainika udongo wa barabara ya zamani unahitaji kuchimbwa na kuondolewa udongo kabla ya kuweka udongo mwingine na kusababisha ukubwa…

29/07/2024, 17:50

Ucheleweshwaji wa miradi kero kwa wananchi Pemba

Na Mary Julius Kumekuwa na ubabaifu wa hali ya juu kwa baadhi ya wakandarasi wanaojenga  miradi ya serikali kwa kutotimiza makubaliano ya mikataba jambo ambalo linaisababishia hasara serikali kwa kutofikia malengo ya kuwaletea wananchi maendeleo Makamu wa Pili wa Rais…

29/07/2024, 15:25

Maonesho ya wiki ya elimu ya juu ni fursa kwa wanafunzi Pemba

Is- haka Mohammed. Wanafunzi wanaotaka kujiunga na vyuo vya elimu ya juu kisiwani Pemba wameombwa kutumia fursa za maonesho ya wiki ya elimu ya juu yanayoendelea visiwani hapa kwa ajili ya kuchagua vyuo na kozi wanazozipenda ili waweze kufanya maombi…

18/07/2024, 16:31

Ufugaji wa nyuki, nzi fursa kwa wenye ulemavu Zanzibar

Na Mary Julius. Mradi wa kuimarisha uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi kupitia ufugaji wa nyuki na nzi maalum (black soldier flies) kwa watu wenye ulemavu, umelenga kuimarisha shughuli za utunzaji wa mazingira na kupunguza uvunaji wa…

16/07/2024, 19:47

Wakulima wa karafuu watakiwa kuzingatia sheria Pemba

Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar kwa kushirikiana na kamati za ulinzi na usalama za mikoa na wilaya wataendelea kuwafuatilia wale wanaopita kwa wananchi na kuwahadaa ili wawauzie karafuu na wale ambao watakamatwa watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Wakulima wa…

15/07/2024, 16:17

Sera mpya ya utetezi, tumaini kwa wenye ulemavu Zanzibar

Na Mary Julius. Katika kikao hicho cha siku mbili wajumbe walijadili namna bora ya kutunga sera ya utetezi ya one advocacy one voice  ambayo itasaidia jumuiya zote za watu wenye ulemavu. Kukamilika kwa sera ya utetezi kwa taasisi za watu…

05/07/2024, 15:33

Maradhi yasiyoambukiza tishio visiwani Zanzibar

Na Mary Julius. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani WHO, maradhi yanayosababisha vifo vingi zaidi duniani ni ugonjwa wa moyo ambapo watu milioni 17.9 kila mwaka hufariki kutokana na ugonjwa huo, huku ukifuatiwa na saratani watu milioni 9.3 hufariki…

04/07/2024, 17:22

Wanawake wahimizwa kuchangamkia fursa za mikopo nafuu

Na Ahmed Abdulla Wajumbe wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Wanawake Tanzania UWT mkoa wa Kusini Unguja wamehimizwa kuwahamasisha wanawake na vijana kujiunga katika vikundi vya ushirika na kuchukua mikopo nafuu inayotolewa na serikali ili waweze kujiwezesha kiuchumi. Akizungumza wakati…

04/07/2024, 16:27

Wilaya ya Kati wanufaika na ujenzi wa barabara

Na Kassim Adbi. Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Dkt. Mngereza Mzee Miraji amesema kukamilika kwa miradi ya ujenzi wa barabara za Wilaya ya kati kumerahisha shughuli za kiuchumi na kijamii kwa wakaazi wa maeneo zilipopita barabara…

26/06/2024, 14:54

Jamii yashauriwa kutumia vituo vya msaada wa kisheria

Na Mary Julius. Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar Ibrahim Mzee Ibrahim amewataka wanajamii kuvitumia vituo vya msaada wa kisheria katika maeneo yao ili kupunguza gharama na kufuata huduma hiyo masafa ya mbali. Akifungua Kongamano la Vyuo Vikuu la masuala ya…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group