Zenj FM
Zenj FM
15 April 2024, 4:37 pm
Na Mary Julius. Shirikisho la Jumuiya za watu wenye ulemavu limesajiliwa rasmi mwaka 2014 mpaka sasa linawanachama 12. Mrajisi Asasi za Kiraia Zanzibar Ahmed Khalid Abdulla amewataka viongozi wa shirikisho la jumuiya ya watu wenye ulemavu Zanzibar (SHIJUWAZA) watakao chaguliwa…
9 April 2024, 7:40 pm
Na Mary Julius. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja SACP Daniel Emanuel Shilla amesema jeshi la polisi limejipanga katika kuhakikisha hali ya ulinzi na usalama inaimarika kipindi chote cha sikukuu ya Eid el Fitr. Kamanda ameyasema hayo wakati akizungumza…
8 April 2024, 5:00 pm
Ongezeko la watu, kukatika kwa umeme mara kwa mara katika shehia ya Kiungani kumesababisha ukosefu wa maji safi na salama katika shehia hiyo. Na Rahma Hassn na Suleima Abdalla Wakazi wa Nungwi shehia ya Kiungani mkoa wa Kaskazini Unguja wameiomba…
7 April 2024, 6:27 pm
Na Mary Julius. Mratibu wa vikoba Unguja Catherine Marco Ifanda amewataka akinamama wanaojiunga kwenye vikundi vya vikoba kuchukua mikopo kwa malengo ya kujiendeleza. Mratibu ameyasema hayo katika sherehe ya kuvunja kikoba cha St Joseph Mamas hafla iliyofanyika katika ukimbi wa…
30 March 2024, 6:06 pm
Na Suleiman Mbunge wa jimbo la Chumbuni Ussi Salum Pondeza amezitaka taasisi na wahisani kutoa sadaka katika mwezi mtukufu wa ramadhan na kuwasaidia wasiokuwa na uwezo ili kujipatia fadhila zinazopatikana katika mwezi huo. Mbunge Pondeza ameyasema hayo mara baada ya…
29 March 2024, 6:22 pm
Viongozi wa chama cha wafanyakazi wa huduma za umma ZAPSWU na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha walikutana mwezi march mwaka 2024 na kukubaliana utekelezaji wa malipo ya deni hilo. Mary Julius. Zaidi ya wafanyakazi 560 wa mamlaka ya maji Zanzibar…
27 March 2024, 6:43 pm
Na Rahma Hassan. Kuelekea katika kipindi cha mvua za masika wakaazii wa shehia ya mikunguni wameliomba Baraza la Manispaa Zanzibar kulitafutia ufumbuzi suala la taka zilizozagaa katika jaa la shehia yao. Wakizungumza na zenji FM Wananchi hao Wamesema karibu wiki…
23 March 2024, 5:20 pm
Na Rahma na Suleiman Serikali ya Mapindizi ya Zanzibar kupitia waziri wa Wizira ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda, Zanzibar Omar Shaaban ilitoa bei elekezi ya sukari ikiwa ni sh 2650 kwa kilo kwa upande wa unguja na sh 2700 kwa upande…
19 March 2024, 4:30 pm
Na Is-haka Mohammed. Meya wa Manispaa ya Chake Chake Abdalla Hamad Abdalla amesema kazi za utoaji wa misaada na sadaka zinazofanywa na taasisi mbali mbali za kiraia zinaisaidia serikali kutatua changamoto zilizopo katika jamii. Meya ameyasema hayo katika hafla ya …
18 March 2024, 5:07 pm
Na Mary Julius. Zanzibar imepiga hatua kubwa ya kumaliza malaria licha ya kutokea mlipuko wa maradhi katika siku za hivi karibuni . Wizara ya Afya Zanzibar imesema itaendelea kushirikiana na mashirika ya kimataifa na wadau wengine kuhakikisha kuwa maradhi ya…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group