Zenj FM

Recent posts

28/08/2024, 16:53

Jamii Zanzibar yashauriwa kula vyakula vya asili

Na Mary Julius Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Muhammed Mahmoud amesema jamii inapaswa kurudi katika zama za nyuma kwa kutumia vyakula vya asili ambavyo vina uwezo wa kuimarisha miili kwa kuwa na afya bora na kutotumia vyakula vya…

26/08/2024, 18:16

SMZ kulisaidia Jeshi la Polisi kukabiliana na uhalifu

OMar Hassan. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi Hamza Hassan Juma amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar italipa nguvu Jeshi la Polisi ili liweze kufanya kazi ya kulinda maisha ya watu…

26/08/2024, 17:12

Wananchi Uroa waalaani kuhamishwa makaburi

Eneo hilo la kuzikia kwa wananchi wa kijiji cha Uroa lilikua na mgogoro kwa muda mrefu na mahakama ikatoa uamuzi 20/08/2008 kuwa eneo hilo lisihusishwe na shunguli yoyote iwe ya ujenzi wa mazishi hadi itakapofika miaka 40 ambapo katika eneo…

25/08/2024, 17:21

Zanzibar watakiwa kusajili biashara BPRA

Na Thuwaiba Mohammed Wakala wa Usajili, Biashara na Mali BPRA Zanzibar imesema imeona ipo haja ya kufanya ziara ya utoaji elimu ya uelewa kwa wafanyabiashara na wajasiriamali ambao wanaendesha shughuli zao kiholela bila ya kusajiliwa na taasisi hiyo. Kauli hiyo…

22/08/2024, 18:38

Masheha toeni ushirikiano kwa jeshi la polisi

Na Omar Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP Hamad Khamis Hamad amewataka Masheha wa Mkoa wa Mjini Magharibi kuendelea kudumisha ushirikiano na Jeshi la Polisi ili kuzuia uhalifu katika maeneo yao. Kamishna Hamad ametoa wito huo wakati akizungumza na masheha,…

19/08/2024, 18:02

Waislam watakiwa kutoa kipaumbele uhifadhi Quran kwa watoto

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Alhaj Ayoub Mohd Mahmoud (aliyevaa kanzu nyeupe) akiwa na Wajumbe wa kamati  Kuu ya Jumuiya ya kuhifadhisha Qurani Zanzibar. Na Mary Julius Jumla ya wanafunzi 26 kutoka vyuo mbalimbali vya Wilaya ya  Kusini kiwemo Jambiani, Bwejuu, Paje,…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group