Zenj FM

Recent posts

28 May 2024, 5:24 pm

Bilion tisa zinatarajia kusogeza huduma za kimahakama Pemba

Ujenzi wa kituo Cha kituo Jumuishu Cha Utoaji haki Kisiwani Pemba unajengwa kwa mkopo nafuu kutoka benki ya dunia na unatarajiwa kugahrimu zaidi ya shilingi bilioni tisa hadi kukamilika kwake, huku mkandarasi akitakiwa kuukabidhi Feb. 23 mwakani. Na Is-haka Mohammed.…

28 May 2024, 4:30 pm

Wananchi watakiwa kufika mahakamani kutoa ushahidi

“Mnaosimamia upelelezi chukueni hatua kesi zipate mafanikio mahakamani” amesema D/DCI Chembera. Na Omar Hassan / Said Bakar Viongozi wanaosimamia Upelelezi wa Makosa ya Jinai katika ngazi ya Mikoa, Wilaya na Vituo vya Polisi wametakiwa kuwasimamia wapelelezi kutimiza wajibu wao na…

27 May 2024, 4:52 pm

Mbeto amjibu Jussa kuhusu uingizaji wa mafuta Zanzibar

Na Mary Julius Makampuni ya ndani uwezo wao wa mitaji umeyumba kutokana na bei ya mafuta kupanda duniani inayosababishwa na uwepo wa vita vya Urusi na Ukraine. Katibu wa Kamati Maalum ya NEC, Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo Khamis…

20 May 2024, 4:11 pm

Mabadiliko ya tabianchi yawaibua wanahabari Pemba

Na Is-haka Mohammed “Klabu hiyo itaendelea kushirikiana na wadau wao na wanajamii kutoa elimu pamoja na kushiriki moja kwa moja kwenye harakati za kupunguza athari zaidi za mabadiliko ya tabianchi kwenye maeneo yaliyoathirika ikiwemo kupanda miti.” Amesema Mwenyekiti wa Pemba…

19 May 2024, 5:51 pm

ACT wazalendo Zanzibar wajipanga kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Na Mary Julius. Viongozi wa chama cha ACT wazalendo Mkoa wa Kaskazini A na B kichama wametakiwa kuwaorodhesha wanachama wa chama hicho waliopo katika mikoa yao ikiwa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025. Mwenyekiti wa chama cha ACT…

14 May 2024, 3:57 pm

DC Kusini Unguja atoa onyo wanaojichukulia sheria mkononi

Na Omary Hassan Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja Cassian Galos Nyimbo amesema ujenzi wa vituo vipya vya Polisi nchini uendane na matumizi ya wananchi kutafuta haki kwa misingi ya sheria na kuacha tabia ya kujichukulia sheria mikononi. Akiweka jiwe…

8 May 2024, 3:03 pm

Wanaoiba pikipiki mikononi mwa Polisi mkoa wa Kusini Unguja

Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za wizi wa pikipiki katika maeneo ya mikusanyiko ya watu ikiwemo kwenye harusi, misiba na nyumba za ibada. Akizungumza na waandishi wa habari huko Tunguu…

7 May 2024, 5:41 pm

Zanzibar watakiwa kuchangia damu

Ukosefu wa damu ni moja ya sababu inayosababisha vifo vya mama na mtoto Zanzibar. Na Mary Julius Wananchi wametakiwa kujitokeza kuchangia damu ili kuokoa maisha ya mama na mtoto ambao wanahitaji huduma hiyo katika hospitali za Unguja na Pemba. Wito…

2 May 2024, 2:24 pm

Madereva wazembe kupokonywa leseni Zanzibar

Na Suleiman Abdalla Jeshi la Polisi kitengo cha Usalama Barabarani watoa elimu ya usalama barabarani kupitia radio visiwani Zanzibar. Kitengo cha Usalama Barabarani Zanzibar kimewataka madereva na watembea kwa mguu kufuata kanuni na sheria zilizowekwa ili kuepuka ajali za mara…

1 May 2024, 7:28 pm

Mvua yaathiri uzoaji taka Wilaya ya Magharib A

Na Rahma na Suleiman Mkusanyiko wa taka kwa muda mrefu wawaibua wakazi wa Bububu meli nane. Wananchi wa Bububu meli nane wadi ya kihinani wilaya ya magharibi( A)  mkoa  wa mjini wameilalamikia  Manispaa ya wilaya hiyo kuwepo  kwa taka  muda…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group