Zenj FM

Recent posts

13/09/2024, 15:45

Magofu, viwanja vyatumika kutupia taka Bububu Kigamboni

Na Mulkhat Mrisho Bushir, Mwananchi wa shehia ya Bububu Kigamboni Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja amelalamikia vitendo vya baadhi ya wananchi wanaotupa taka hovyo katika maeneo yasiyo rasmi hususani kwenye kiwanja  vilivyo wazi na magofu ya nyumba ambazo hazijaisha. Akizungumza …

11/09/2024, 17:12

Elimu ya msaada wa kisheria kuwafikia wananchi Wilaya ya Kati

Na Mary Julius Mwenyekiti wa Kamati ya Msaada wa Kisheria Baraza la Mji Kati Mussa Haji Mussa, amesema kutokana na uelewa mdogo wa sheria zilizopo nchini kamati hiyo imeamua kushuka kwa wananchi  ili kuwajengea uelewa wa sheria. Ameyasema hayo katika…

07/09/2024, 00:08

Sababu ACT Wazalendo kuunda baraza la mawaziri kivuli Zanzibar

Na Mary Julius. Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo Taifa Othman Masoud Othman, amesema baraza hilo ni fursa na jukwaa muhimu la kuwawezesha wananchi kusimamiwa maslahi yao kwa ukaribu zaidi na fursa ya kuweza kuyasimamia vyema maeneo yote yaliyoainisha kwenye…

06/09/2024, 18:44

Wafugaji kuku wa kisasa Zanzibar watakiwa kulinda afya za walaji

Na Khalida Abdulrahman. Kutokana na ongezeko kubwa la watumiaji wa kuku wa kisasa aina ya (broiler) wafugaji wametakiwa waache kuwapa dawa ovyo kuku hao ili kupunguza madhara kwa binaadamu.   Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Mifugo Asha Zahran Mohammed ameyasema…

06/09/2024, 18:25

Wakazi wa shehia ya Sharifu Hamsi walia na wizi wa mifugo, mazao

Na Jessca Pendael Wakazi wa shehia ya Sharifu Hamsi Bububu  wamesema kumekuwa ongezeko la wizi  wa kuku, mbuzi na madafu katika shehia yao hali ambayo unarudisha nyuma maendeleo ya wakazi hao. Wakizungumza na Zenji fm wakazi wa shehiaya  hiyo wamesema…

02/09/2024, 16:34

Wanaokubali kuingiliwa klinyume na maumbile wana makosa

Omar Hassan Wakili na Mwanasheria wa Jeshi la Polisi Tanzania Kamisheni ya Zanzibar Mkaguzi Msaidizi Sadik Ali Sultan amesema wanaokubali kuingiliwa kinyume na maumbile wana makosa kwa mujibu wa Sheria na wanastahiki kushtakiwa na hatimae kufungwa kutumia adhabu ya makosa…

30/08/2024, 17:48

Bodaboda watakiwa kujisajili Zanzibar

Na Ester Joshua Makamo Mwenyekiti Wa Jumuiya Ya Bodaboda Hussein Abushiri Hussein amewataka madereva wa bodaboda na bajaji kujisajili katika umoja huo  ili kupunguza uhalifu unaojitokeza  kwa madereva na abiria. Akizungumza na Zenj FM huko  ofisi ya umoja huo huko…

30/08/2024, 16:58

Watembeza wageni Zanzibar wapewa elimu ya homa ya nyani

Na Mary Julius Wananchi wanaojishughulisha na utoaji wa huduma kwa wageni wanaoingia nchini wametakiwa kuchukua tahadhari katika kujikinga na maradhi ya homa ya nyani ambayo imekuwa ikiripotiwa visa vya wagonjwa katika nchi mbalimbali za jirani na Tanzania. Akizungumza na wananchi…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group