Zenj FM
Zenj FM
2 August 2024, 4:42 pm
Na Omar Hassan Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar limekanusha taarifa za kutekwa kwa watoto visiwani Zanzibar na linamshikilia Habibu Rashid Omar (35) mkazi wa Mwera ambaye anatuhumiwa kuchapisha taarifa ya uongo kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na kutekwa kwa…
1 August 2024, 5:07 pm
Na Omar Hassan DCP Zubeir Chembera amesema idadi ya baadhi ya makosa imepungua ikiwemo makossa ya kulawiti ambapo kuna upungufu wa makosa 24 sawa na asilimia 15.6. Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Naibu Kamishna wa Polisi Zubeir…
31 July 2024, 6:50 pm
Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi Zanzibar Inspekta Vicent Innocent amewasihi wazazi kuwa walimu wazuri juu ya malezi ya watoto ili kuwalinda na kuwakuza watoto kwenye ustawi wa maadili mema. Akizungumza kwenye mahojiano na kituo cha Radio Zenji FM amesema…
30 July 2024, 2:45 pm
Na Mary Julius. Kampuni ya MECCO imetoa sababu za mradi wa ujenzi wa barabara ya chakechake/wete kuchelewa utekelezaji wake baada ya kubainika udongo wa barabara ya zamani unahitaji kuchimbwa na kuondolewa udongo kabla ya kuweka udongo mwingine na kusababisha ukubwa…
29 July 2024, 5:50 pm
Na Mary Julius Kumekuwa na ubabaifu wa hali ya juu kwa baadhi ya wakandarasi wanaojenga miradi ya serikali kwa kutotimiza makubaliano ya mikataba jambo ambalo linaisababishia hasara serikali kwa kutofikia malengo ya kuwaletea wananchi maendeleo Makamu wa Pili wa Rais…
29 July 2024, 3:25 pm
Is- haka Mohammed. Wanafunzi wanaotaka kujiunga na vyuo vya elimu ya juu kisiwani Pemba wameombwa kutumia fursa za maonesho ya wiki ya elimu ya juu yanayoendelea visiwani hapa kwa ajili ya kuchagua vyuo na kozi wanazozipenda ili waweze kufanya maombi…
18 July 2024, 4:31 pm
Na Mary Julius. Mradi wa kuimarisha uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi kupitia ufugaji wa nyuki na nzi maalum (black soldier flies) kwa watu wenye ulemavu, umelenga kuimarisha shughuli za utunzaji wa mazingira na kupunguza uvunaji wa…
16 July 2024, 7:47 pm
Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar kwa kushirikiana na kamati za ulinzi na usalama za mikoa na wilaya wataendelea kuwafuatilia wale wanaopita kwa wananchi na kuwahadaa ili wawauzie karafuu na wale ambao watakamatwa watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Wakulima wa…
15 July 2024, 4:17 pm
Na Mary Julius. Katika kikao hicho cha siku mbili wajumbe walijadili namna bora ya kutunga sera ya utetezi ya one advocacy one voice ambayo itasaidia jumuiya zote za watu wenye ulemavu. Kukamilika kwa sera ya utetezi kwa taasisi za watu…
5 July 2024, 3:33 pm
Na Mary Julius. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani WHO, maradhi yanayosababisha vifo vingi zaidi duniani ni ugonjwa wa moyo ambapo watu milioni 17.9 kila mwaka hufariki kutokana na ugonjwa huo, huku ukifuatiwa na saratani watu milioni 9.3 hufariki…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group