Zenj FM
Zenj FM
26/09/2024, 15:45
Na Mary Julius Mratibu wa Mradi wa Mkonge na Bidhaa Zitokanazo na Mkonge Zanzibar Joseph Andrew Gasper amesema Bodi ya Mkonge Tanzania ina malengo ya kushirikiana na wajasirimali wa kisiwani Pemba ili kuona wajasiriamali wananufaika na fursa zitokanazo na mkonge.…
25/09/2024, 18:31
Na Khalida Abdulrahman Chama cha Wananchi CUF kimewataka vijana kujitokeza kwa wingi katika kugombea nafasi mbalimbali ndani ya chama hicho. Akizungumza na Zenj FM Mkurugenzi wa Itifaki na Udhibiti wa Chama Cha Wananchi CUF Taifa Rajab Mbarouk Mohd akiwaa makao…
25/09/2024, 16:22
Na Mwanaisha Msuko. Wananchi wa Pwani Mchangani Mkoa wa Kaskazini, wilaya ya Kaskazini A Unguja wameiomba serikali kuongeza bei ya mwani ili kuweza kumkomboa mkulima wa zao hilo. Wakizungumza na Zenji FM wakulima hao wamesema bei ndogo ya mwani inarudisha…
21/09/2024, 15:38
Na Mwandishi wetu. Wanafunzi Zanzibar wameshuriwa kujiwekea malengo ya kitaaluma mara baada ya kumaliza elimu sambamba na kuwa ushirikiano ili kujenga jamii iliyo bora. Ushauri huo umetolewa na Mwanariadha wa Kimataifa wa Grenad, Lindon Victor, alipokuwa akizungumza na wanamichezo wa…
19/09/2024, 17:25
Na Khalida Abdulrahman. Vijana wameshauriwa kujiunga na vituo mbali mbali vya Mafunzo ya Amali ikiwemo mafunzo ya ufundi upishi na uchoraji ili kujiajiri wenyewe. Akizunguimza na Zenji Fm Mwalimu wa skuli ya forodhani Sunskim Mwajuma Mussa Said akiwa katika maonyesho…
19/09/2024, 16:49
Na Khaira Ame Haji. Katika kuhakikisha Wafanyabiashara wa maduka ya Kwarara Wilaya ya Magharibi B wanafanya biashara katika hali ya usafi wameliomba Baraza la Manispaa Magharib b kuchukua taka kwa wakati. Wakizungumza na Zenj Fm wafanyabiashara hao amesema pamoja na kutozwa…
19/09/2024, 15:51
Na Mary Julius. Kwa mujibu wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road asilimia 80 ya wagonjwa wanaotoka Zanzibar huwa wanafika hospitalini hapo wakiwa na saratani stage 4 ambayo ni ngumu kutibika jambo linalochangia vifo vya mapema. Wananchi wa Zanzibar wametakiwa…
17/09/2024, 19:56
Wanachi wametakiwa kufuata utaratibu ulio wekwa na kamisheni ya ardhi ili kupata vibali na kuondokana na migogoro ya ardhi. Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Rahma Kassm Aliy ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa utoaji wa hati za Haki ya matumizi…
17/09/2024, 13:20
Na Mwandishi wetu. Kengele ya wito wa kudumisha amani , umoja ,maelewano na mapatano imeshapigwa na Kanisa katoliki nchini. KAZI kubwa iliobaki ni ya viongozi wa vyama vya siasa kutimiza wajibu ili kuliweka pamoja Taifa katika ramani yake ya asili.…
13/09/2024, 17:21
Na Mwanamiraji Abdallah ZFDA imetoa wito kwa wafanyabishara kufuata sheria na kuacha tabia ya kuuza bidhaa zilizoisha muda wake kwani jambo hilo hupelekea athari kwa watumiaji. Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi ZFDA Zanzibar kwa kushirikiana na Jeshi na Polisi na…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group