Zenj FM

Recent posts

12 June 2024, 5:32 pm

Jeshi la Polisi Zanzibar lapania kupunguza ajali

Na Omary Hassan Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania Naibu Kamishna wa Polisi DCP Ramadhan Ng’anzi amesema Jeshi la Polisi linashirikiana na Taasisi nyengine zinazosimamia usalama barabarani kuweka mikakati ya kupunguza ajali za Barabarani ambazo zimekuwa zikileta madhara kwa…

12 June 2024, 5:00 pm

Damu haiuzwi Zanzibar

Na Mary Julius. Siku ya uchangiaji damu duniani huadhimishwa kila Ifikapo juni 14 kila mwaka,kwa hapa Zanzibar Maadhimisho haya yatafanyika katika ofisi za Mpango wa taifa wa damu salama sebleni. Kuelekea siku ya uchangiaji damu duniani Waziri Wa Afya Zanzibar…

7 June 2024, 6:24 pm

Zanzibar yaadhimisha siku ya usalama wa chakula duniani

Na Mary Julius. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) inakadiriwa kuwa, kiasi ya watu 600,000,000 wanaugua kila mwaka kutokana na kula chakula kisicho salama ambapo kati ya hao watu laki nne na ishirini wanapoteza maisha.   Katibu Mkuu…

7 June 2024, 5:15 pm

Zanzibar Maisha Bora Foundation yasogeza huduma za matibabu Pemba

NA Is-haka Mohammed. Pemba. Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Salama Mbarouk Khatib ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa kaskazini Pemba wenye matatizo mbali mbali na hata wale wasiojihisi kuwa na matatizo kujitokeza kuweza kuchunguzwa afya zao. Micheweni na…

3 June 2024, 5:41 pm

Mwakilishi atekeleza ilani kwa vitendo Chumbuni

Na Mary Julius Wakazi wa shehia  mwembe makumbi kwa muda mrefu wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama katika shehia hiyo hali iliyo sababisha mwakilishi wa jimbo la chumbuni kuwachimbia kisima katika eneo lao. Mwakilishi wa Jimbo…

2 June 2024, 4:28 pm

Waliohusika na ubadhilifu wa mali za umma kufunguliwa mashtaka

Na Mary Julius. Mwenyekiti wa chama cha Act Wazalendo Na Makamu wa Kwanza wa Rais Othman Masoud amesema viongozi na watendaji wa serikali waliohusika na ubadhilifu wa mali za umma na ufisadi watafunguliwa mashtaka baada ya chama hicho kushika madaraka…

2 June 2024, 4:09 pm

CCM Pemba yajipanga kushinda uchaguzi mkuu 2025

Na Is-haka Mohammed. Pemba Naibu Katibu Mkuu Jumuiya ya Wazazi Zanzibar Ali Issa Ali amewataka wazazi na walezi kuwalea vijana katika malezi bora ili kuwa na kizazi chenye maadili. Naibu Katibu Mkuu Jumuiya ya Wazazi Zanzibar Ali Issa Ali ametoa…

31 May 2024, 4:21 pm

Mwakilishi Chumbuni atimiza ahadi

Na Mary Julius. Shilingi milioni nane zinatarajia kutumika katika ujenzi wa mtaro wa maji machafu katika shahia ya Mwembe makumbi. Akizungumza mara baada ya kukabidhi vifaa vya ujenzi wa mtaro ambao umekatika na kusababisha mvua ikinyesha maji machafu kuingia katika…

30 May 2024, 6:10 pm

Jamii yahimizwa kufanya usafi ili kuepukana na maradhi ya matumbo

Na Mary Julius. Jamii imetakiwa kuendelea kudumisha suala la usafi katika maeneo yao ili kuweza kujikinga na maradhi mbali mbali pamoja na kuifanya Miji kuwa nadhifu. Hayo yameelezwa na viongozi wa afya pamoja na Wanafunzi wa ZU (Zanzibar University) wakati…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group