Zenj FM
Zenj FM
12 June 2024, 5:32 pm
Na Omary Hassan Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania Naibu Kamishna wa Polisi DCP Ramadhan Ng’anzi amesema Jeshi la Polisi linashirikiana na Taasisi nyengine zinazosimamia usalama barabarani kuweka mikakati ya kupunguza ajali za Barabarani ambazo zimekuwa zikileta madhara kwa…
12 June 2024, 5:00 pm
Na Mary Julius. Siku ya uchangiaji damu duniani huadhimishwa kila Ifikapo juni 14 kila mwaka,kwa hapa Zanzibar Maadhimisho haya yatafanyika katika ofisi za Mpango wa taifa wa damu salama sebleni. Kuelekea siku ya uchangiaji damu duniani Waziri Wa Afya Zanzibar…
7 June 2024, 6:24 pm
Na Mary Julius. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) inakadiriwa kuwa, kiasi ya watu 600,000,000 wanaugua kila mwaka kutokana na kula chakula kisicho salama ambapo kati ya hao watu laki nne na ishirini wanapoteza maisha. Katibu Mkuu…
7 June 2024, 5:15 pm
NA Is-haka Mohammed. Pemba. Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Salama Mbarouk Khatib ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa kaskazini Pemba wenye matatizo mbali mbali na hata wale wasiojihisi kuwa na matatizo kujitokeza kuweza kuchunguzwa afya zao. Micheweni na…
3 June 2024, 5:41 pm
Na Mary Julius Wakazi wa shehia mwembe makumbi kwa muda mrefu wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama katika shehia hiyo hali iliyo sababisha mwakilishi wa jimbo la chumbuni kuwachimbia kisima katika eneo lao. Mwakilishi wa Jimbo…
2 June 2024, 4:28 pm
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa chama cha Act Wazalendo Na Makamu wa Kwanza wa Rais Othman Masoud amesema viongozi na watendaji wa serikali waliohusika na ubadhilifu wa mali za umma na ufisadi watafunguliwa mashtaka baada ya chama hicho kushika madaraka…
2 June 2024, 4:09 pm
Na Is-haka Mohammed. Pemba Naibu Katibu Mkuu Jumuiya ya Wazazi Zanzibar Ali Issa Ali amewataka wazazi na walezi kuwalea vijana katika malezi bora ili kuwa na kizazi chenye maadili. Naibu Katibu Mkuu Jumuiya ya Wazazi Zanzibar Ali Issa Ali ametoa…
31 May 2024, 4:21 pm
Na Mary Julius. Shilingi milioni nane zinatarajia kutumika katika ujenzi wa mtaro wa maji machafu katika shahia ya Mwembe makumbi. Akizungumza mara baada ya kukabidhi vifaa vya ujenzi wa mtaro ambao umekatika na kusababisha mvua ikinyesha maji machafu kuingia katika…
31 May 2024, 2:40 pm
Na Mary Julius Fainali ya kombe la FA Tanzania Bara (CRDB Federation Cup) inatarajiwa kuchezwa tarehe 02.06.2024 katika uwanja wa New Amaan Complex saa 2:15 usiku kati ya YANGA SC vs AZAM FC. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi…
30 May 2024, 6:10 pm
Na Mary Julius. Jamii imetakiwa kuendelea kudumisha suala la usafi katika maeneo yao ili kuweza kujikinga na maradhi mbali mbali pamoja na kuifanya Miji kuwa nadhifu. Hayo yameelezwa na viongozi wa afya pamoja na Wanafunzi wa ZU (Zanzibar University) wakati…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group