Zenj FM

Recent posts

19 August 2024, 6:02 pm

Waislam watakiwa kutoa kipaumbele uhifadhi Quran kwa watoto

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Alhaj Ayoub Mohd Mahmoud (aliyevaa kanzu nyeupe) akiwa na Wajumbe wa kamati  Kuu ya Jumuiya ya kuhifadhisha Qurani Zanzibar. Na Mary Julius Jumla ya wanafunzi 26 kutoka vyuo mbalimbali vya Wilaya ya  Kusini kiwemo Jambiani, Bwejuu, Paje,…

16 August 2024, 4:59 pm

Jamii yatakiwa kujitokeza kutoa ushahidi kesi za udhalilishaji

Na Steven Msigaro Jeshi la Polisi Mkoa Mjini Magharibi kupitia Dawati la Usalama Wetu Kwanza limesema linaendelea na mapambano dhidi ya udhalilishaji wa watoto kwa kutoa elimu maskulini.   Wakizungumza katika kipindi cha Mwangaza wa Babari kinachorushwa na Zenji fm Sajenti…

16 August 2024, 3:42 pm

Tamasha la Kizimkazi lawafikia wavuvi wilaya ya Kusini Unguja

Na Mary Julius. Waziri wa Uchumi wa Buluu na  Uvuvi Zanzibar Shaban  Ali Othman amesema dhamira ya  Serekali zote mbili nchini  ni kuimarisha  Sekta ya uchumi wa bluu na kuona   wavuvi wanapata tija  na pato la taifa linaongezeka . Waziri…

15 August 2024, 5:30 pm

Kumbi za starehe chanzo kufeli wanafunzi Kusini Unguja

Na Mary Julius Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja amefanya kikao kilischowashirikisha walimu wa skuli zote za serikali na binafsi za Mkoa wa Kusini Unguja ikiwa na lengo kuandaa mikakati ya kuimarisha ufaulu wa wanafunzi katika mkoa huo.   Walimu wa…

15 August 2024, 4:58 pm

Jamii yashauriwa kufuga wanyama walio ndani ya uwezo wao

Kila ifikapo Agosti 15 dunia inaadhimisha siku ya wanyama wasio na makazi. Mkurugenzi wa Idara  ya Maendeleo na  Mifugo Asha Zahrani Mohd ameitaka jamii kushirikiana kwa pamoja ili kuwapatia chanjo mbwa na paka wanao zagaa mitaaani. Akizungumza na Zenj FM…

9 August 2024, 7:03 pm

Mwakilishi wa jimbo la Malindi achangia ufaulu skuli ya Hamamni

Na Mary Julius Katika matokeo ya kidato cha sita ya mwaka huu skuli hiyo imeweza kufaulisha kwa kupata daraja la kwanza wanafunzi 18, daraja na pili wanafunzi 94 kwa upande wa daraja la tatu wanafunzi 43 huku mwanafunzi mmoja akipata…

8 August 2024, 4:58 pm

Tarehe kumi Zanzibar kuwa ya kijani

Na Mary Julius Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar  Abdi Mahmoud Abdi amewataka vijana pamoja na wananchi kuzitumia vizuri barabara na kuzitunza ili ziweze kutumika kwa muda mrefu zaidi. Amesema hayo Gymkana mara…

7 August 2024, 5:01 pm

Vikundi Zanzibar vya tahadharishwa mikopo ya riba

Na Steven Msigaro. Wanawake  wajasiriamali wametakiwa  kuacha kuchukua mikopo yenye riba kubwa na badala yake wachukua mikopo  inayo tolewa na serikali. Mkurugenzi Wa Idara Ya Maendeleo Jamii, Jinsia Na Watoto. Siti Abasi Ali ameahidi kusaidia  vikundi vya wanawake wajasiriamali kuweza…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group