Zenj FM
Zenj FM
16 August 2024, 3:42 pm
Na Mary Julius. Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi Zanzibar Shaban Ali Othman amesema dhamira ya Serekali zote mbili nchini ni kuimarisha Sekta ya uchumi wa bluu na kuona wavuvi wanapata tija na pato la taifa linaongezeka . Waziri…
15 August 2024, 5:30 pm
Na Mary Julius Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja amefanya kikao kilischowashirikisha walimu wa skuli zote za serikali na binafsi za Mkoa wa Kusini Unguja ikiwa na lengo kuandaa mikakati ya kuimarisha ufaulu wa wanafunzi katika mkoa huo. Walimu wa…
15 August 2024, 4:58 pm
Kila ifikapo Agosti 15 dunia inaadhimisha siku ya wanyama wasio na makazi. Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo na Mifugo Asha Zahrani Mohd ameitaka jamii kushirikiana kwa pamoja ili kuwapatia chanjo mbwa na paka wanao zagaa mitaaani. Akizungumza na Zenj FM…
9 August 2024, 7:03 pm
Na Mary Julius Katika matokeo ya kidato cha sita ya mwaka huu skuli hiyo imeweza kufaulisha kwa kupata daraja la kwanza wanafunzi 18, daraja na pili wanafunzi 94 kwa upande wa daraja la tatu wanafunzi 43 huku mwanafunzi mmoja akipata…
8 August 2024, 4:58 pm
Na Mary Julius Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar Abdi Mahmoud Abdi amewataka vijana pamoja na wananchi kuzitumia vizuri barabara na kuzitunza ili ziweze kutumika kwa muda mrefu zaidi. Amesema hayo Gymkana mara…
7 August 2024, 5:01 pm
Na Steven Msigaro. Wanawake wajasiriamali wametakiwa kuacha kuchukua mikopo yenye riba kubwa na badala yake wachukua mikopo inayo tolewa na serikali. Mkurugenzi Wa Idara Ya Maendeleo Jamii, Jinsia Na Watoto. Siti Abasi Ali ameahidi kusaidia vikundi vya wanawake wajasiriamali kuweza…
2 August 2024, 4:42 pm
Na Omar Hassan Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar limekanusha taarifa za kutekwa kwa watoto visiwani Zanzibar na linamshikilia Habibu Rashid Omar (35) mkazi wa Mwera ambaye anatuhumiwa kuchapisha taarifa ya uongo kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na kutekwa kwa…
1 August 2024, 5:07 pm
Na Omar Hassan DCP Zubeir Chembera amesema idadi ya baadhi ya makosa imepungua ikiwemo makossa ya kulawiti ambapo kuna upungufu wa makosa 24 sawa na asilimia 15.6. Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Naibu Kamishna wa Polisi Zubeir…
31 July 2024, 6:50 pm
Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi Zanzibar Inspekta Vicent Innocent amewasihi wazazi kuwa walimu wazuri juu ya malezi ya watoto ili kuwalinda na kuwakuza watoto kwenye ustawi wa maadili mema. Akizungumza kwenye mahojiano na kituo cha Radio Zenji FM amesema…
30 July 2024, 2:45 pm
Na Mary Julius. Kampuni ya MECCO imetoa sababu za mradi wa ujenzi wa barabara ya chakechake/wete kuchelewa utekelezaji wake baada ya kubainika udongo wa barabara ya zamani unahitaji kuchimbwa na kuondolewa udongo kabla ya kuweka udongo mwingine na kusababisha ukubwa…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group