Zenj FM

Recent posts

16 August 2024, 3:42 pm

Tamasha la Kizimkazi lawafikia wavuvi wilaya ya Kusini Unguja

Na Mary Julius. Waziri wa Uchumi wa Buluu na  Uvuvi Zanzibar Shaban  Ali Othman amesema dhamira ya  Serekali zote mbili nchini  ni kuimarisha  Sekta ya uchumi wa bluu na kuona   wavuvi wanapata tija  na pato la taifa linaongezeka . Waziri…

15 August 2024, 5:30 pm

Kumbi za starehe chanzo kufeli wanafunzi Kusini Unguja

Na Mary Julius Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja amefanya kikao kilischowashirikisha walimu wa skuli zote za serikali na binafsi za Mkoa wa Kusini Unguja ikiwa na lengo kuandaa mikakati ya kuimarisha ufaulu wa wanafunzi katika mkoa huo.   Walimu wa…

15 August 2024, 4:58 pm

Jamii yashauriwa kufuga wanyama walio ndani ya uwezo wao

Kila ifikapo Agosti 15 dunia inaadhimisha siku ya wanyama wasio na makazi. Mkurugenzi wa Idara  ya Maendeleo na  Mifugo Asha Zahrani Mohd ameitaka jamii kushirikiana kwa pamoja ili kuwapatia chanjo mbwa na paka wanao zagaa mitaaani. Akizungumza na Zenj FM…

9 August 2024, 7:03 pm

Mwakilishi wa jimbo la Malindi achangia ufaulu skuli ya Hamamni

Na Mary Julius Katika matokeo ya kidato cha sita ya mwaka huu skuli hiyo imeweza kufaulisha kwa kupata daraja la kwanza wanafunzi 18, daraja na pili wanafunzi 94 kwa upande wa daraja la tatu wanafunzi 43 huku mwanafunzi mmoja akipata…

8 August 2024, 4:58 pm

Tarehe kumi Zanzibar kuwa ya kijani

Na Mary Julius Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar  Abdi Mahmoud Abdi amewataka vijana pamoja na wananchi kuzitumia vizuri barabara na kuzitunza ili ziweze kutumika kwa muda mrefu zaidi. Amesema hayo Gymkana mara…

7 August 2024, 5:01 pm

Vikundi Zanzibar vya tahadharishwa mikopo ya riba

Na Steven Msigaro. Wanawake  wajasiriamali wametakiwa  kuacha kuchukua mikopo yenye riba kubwa na badala yake wachukua mikopo  inayo tolewa na serikali. Mkurugenzi Wa Idara Ya Maendeleo Jamii, Jinsia Na Watoto. Siti Abasi Ali ameahidi kusaidia  vikundi vya wanawake wajasiriamali kuweza…

2 August 2024, 4:42 pm

Jeshi la polisi Zanzibar lakanusha taarifa za utekaji watoto

Na Omar Hassan Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar limekanusha taarifa za kutekwa kwa watoto visiwani Zanzibar na linamshikilia Habibu Rashid Omar (35) mkazi wa Mwera ambaye anatuhumiwa kuchapisha taarifa ya uongo kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na kutekwa kwa…

31 July 2024, 6:50 pm

Wazazi watakiwa kuimarisha mahusiano na watoto

Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi Zanzibar Inspekta Vicent Innocent amewasihi  wazazi kuwa walimu wazuri juu ya malezi ya watoto ili kuwalinda na kuwakuza watoto kwenye ustawi wa maadili mema. Akizungumza  kwenye mahojiano na kituo cha Radio Zenji FM amesema…

30 July 2024, 2:45 pm

Udongo sababu ya ucheleweshaji wa mradi wa ujenzi wa barabara Pemba

Na Mary Julius. Kampuni ya MECCO imetoa sababu za mradi wa ujenzi wa barabara ya chakechake/wete kuchelewa utekelezaji wake baada ya kubainika udongo wa barabara ya zamani unahitaji kuchimbwa na kuondolewa udongo kabla ya kuweka udongo mwingine na kusababisha ukubwa…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group