Zenj FM
Zenj FM
2 September 2024, 4:03 pm
Na Mary Julius Kufuatia tukio la kuungua nyumba na kusababisha kuungua watoto watatu wa Familia moja Taasisi ya Asma Mwinyi Fondation imefika katika nyumba iliyopata maafa hayo pamoja na kuwakagua watoto hao Hospitali walipolazwa kwa ajili ya kupatiwa matibabu. Akizungumza…
30 August 2024, 5:48 pm
Na Ester Joshua Makamo Mwenyekiti Wa Jumuiya Ya Bodaboda Hussein Abushiri Hussein amewataka madereva wa bodaboda na bajaji kujisajili katika umoja huo ili kupunguza uhalifu unaojitokeza kwa madereva na abiria. Akizungumza na Zenj FM huko ofisi ya umoja huo huko…
30 August 2024, 4:58 pm
Na Mary Julius Wananchi wanaojishughulisha na utoaji wa huduma kwa wageni wanaoingia nchini wametakiwa kuchukua tahadhari katika kujikinga na maradhi ya homa ya nyani ambayo imekuwa ikiripotiwa visa vya wagonjwa katika nchi mbalimbali za jirani na Tanzania. Akizungumza na wananchi…
28 August 2024, 4:53 pm
Na Mary Julius Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Muhammed Mahmoud amesema jamii inapaswa kurudi katika zama za nyuma kwa kutumia vyakula vya asili ambavyo vina uwezo wa kuimarisha miili kwa kuwa na afya bora na kutotumia vyakula vya…
26 August 2024, 6:16 pm
OMar Hassan. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi Hamza Hassan Juma amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar italipa nguvu Jeshi la Polisi ili liweze kufanya kazi ya kulinda maisha ya watu…
26 August 2024, 5:12 pm
Eneo hilo la kuzikia kwa wananchi wa kijiji cha Uroa lilikua na mgogoro kwa muda mrefu na mahakama ikatoa uamuzi 20/08/2008 kuwa eneo hilo lisihusishwe na shunguli yoyote iwe ya ujenzi wa mazishi hadi itakapofika miaka 40 ambapo katika eneo…
25 August 2024, 5:21 pm
Na Thuwaiba Mohammed Wakala wa Usajili, Biashara na Mali BPRA Zanzibar imesema imeona ipo haja ya kufanya ziara ya utoaji elimu ya uelewa kwa wafanyabiashara na wajasiriamali ambao wanaendesha shughuli zao kiholela bila ya kusajiliwa na taasisi hiyo. Kauli hiyo…
22 August 2024, 6:38 pm
Na Omar Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP Hamad Khamis Hamad amewataka Masheha wa Mkoa wa Mjini Magharibi kuendelea kudumisha ushirikiano na Jeshi la Polisi ili kuzuia uhalifu katika maeneo yao. Kamishna Hamad ametoa wito huo wakati akizungumza na masheha,…
22 August 2024, 2:37 pm
Na Omar Hassan. Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar limekabidhiwa vifaa tiba pamoja na Jengo na vifaa kwa ajili ya Karakana ya Polisi Mikoa ya Pemba vyenye thamani ya T.Sh. milioni 85, kutoka kwa Jumuiya ya Korea Friend of Hope…
20 August 2024, 3:07 pm
Na Omar Hassan Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini A, Othman Ali Maulid amewataka wananchi wa Nungwi kuacha tabia ya kusuluhisha kesi za udhalilishaji katika ngazi za familia na badala yake wazifikishe katika vyombo vya sheria ili zishughulikiwe kwa mujibu wa…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group