Zenj FM
Zenj FM
26 August 2024, 6:16 pm
OMar Hassan. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi Hamza Hassan Juma amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar italipa nguvu Jeshi la Polisi ili liweze kufanya kazi ya kulinda maisha ya watu…
26 August 2024, 5:12 pm
Eneo hilo la kuzikia kwa wananchi wa kijiji cha Uroa lilikua na mgogoro kwa muda mrefu na mahakama ikatoa uamuzi 20/08/2008 kuwa eneo hilo lisihusishwe na shunguli yoyote iwe ya ujenzi wa mazishi hadi itakapofika miaka 40 ambapo katika eneo…
25 August 2024, 5:21 pm
Na Thuwaiba Mohammed Wakala wa Usajili, Biashara na Mali BPRA Zanzibar imesema imeona ipo haja ya kufanya ziara ya utoaji elimu ya uelewa kwa wafanyabiashara na wajasiriamali ambao wanaendesha shughuli zao kiholela bila ya kusajiliwa na taasisi hiyo. Kauli hiyo…
22 August 2024, 6:38 pm
Na Omar Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP Hamad Khamis Hamad amewataka Masheha wa Mkoa wa Mjini Magharibi kuendelea kudumisha ushirikiano na Jeshi la Polisi ili kuzuia uhalifu katika maeneo yao. Kamishna Hamad ametoa wito huo wakati akizungumza na masheha,…
22 August 2024, 2:37 pm
Na Omar Hassan. Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar limekabidhiwa vifaa tiba pamoja na Jengo na vifaa kwa ajili ya Karakana ya Polisi Mikoa ya Pemba vyenye thamani ya T.Sh. milioni 85, kutoka kwa Jumuiya ya Korea Friend of Hope…
20 August 2024, 3:07 pm
Na Omar Hassan Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini A, Othman Ali Maulid amewataka wananchi wa Nungwi kuacha tabia ya kusuluhisha kesi za udhalilishaji katika ngazi za familia na badala yake wazifikishe katika vyombo vya sheria ili zishughulikiwe kwa mujibu wa…
19 August 2024, 6:02 pm
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Alhaj Ayoub Mohd Mahmoud (aliyevaa kanzu nyeupe) akiwa na Wajumbe wa kamati Kuu ya Jumuiya ya kuhifadhisha Qurani Zanzibar. Na Mary Julius Jumla ya wanafunzi 26 kutoka vyuo mbalimbali vya Wilaya ya Kusini kiwemo Jambiani, Bwejuu, Paje,…
19 August 2024, 2:31 pm
Na Mary Julius Jumla ya vikundi vitano vimekabishiwa vifaa ikiwemo kikundi cha mama lishe na baba lishe, kikundi cha Kazi iendele , Madrasa ya matetema , Madrsa ya Mahonda na Mipira ya Maji na Tanki kwa shehiya ya Kilombero. Mbunge…
16 August 2024, 6:26 pm
Na Omar Hassan. Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Mhandisi Zena Ahmed Said ameitaka Ofisi ya Msajili wa asasi za Kiraia kushirikiana na Wakala uwezeshaji wananchi kiuchumi ili kuwatambua wenye uhitaji na kuwasaidia wananchi. Zena ametoa agizo…
16 August 2024, 4:59 pm
Na Steven Msigaro Jeshi la Polisi Mkoa Mjini Magharibi kupitia Dawati la Usalama Wetu Kwanza limesema linaendelea na mapambano dhidi ya udhalilishaji wa watoto kwa kutoa elimu maskulini. Wakizungumza katika kipindi cha Mwangaza wa Babari kinachorushwa na Zenji fm Sajenti…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group