Zenj FM

Recent posts

26 August 2024, 6:16 pm

SMZ kulisaidia Jeshi la Polisi kukabiliana na uhalifu

OMar Hassan. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi Hamza Hassan Juma amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar italipa nguvu Jeshi la Polisi ili liweze kufanya kazi ya kulinda maisha ya watu…

26 August 2024, 5:12 pm

Wananchi Uroa waalaani kuhamishwa makaburi

Eneo hilo la kuzikia kwa wananchi wa kijiji cha Uroa lilikua na mgogoro kwa muda mrefu na mahakama ikatoa uamuzi 20/08/2008 kuwa eneo hilo lisihusishwe na shunguli yoyote iwe ya ujenzi wa mazishi hadi itakapofika miaka 40 ambapo katika eneo…

25 August 2024, 5:21 pm

Zanzibar watakiwa kusajili biashara BPRA

Na Thuwaiba Mohammed Wakala wa Usajili, Biashara na Mali BPRA Zanzibar imesema imeona ipo haja ya kufanya ziara ya utoaji elimu ya uelewa kwa wafanyabiashara na wajasiriamali ambao wanaendesha shughuli zao kiholela bila ya kusajiliwa na taasisi hiyo. Kauli hiyo…

22 August 2024, 6:38 pm

Masheha toeni ushirikiano kwa jeshi la polisi

Na Omar Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP Hamad Khamis Hamad amewataka Masheha wa Mkoa wa Mjini Magharibi kuendelea kudumisha ushirikiano na Jeshi la Polisi ili kuzuia uhalifu katika maeneo yao. Kamishna Hamad ametoa wito huo wakati akizungumza na masheha,…

19 August 2024, 6:02 pm

Waislam watakiwa kutoa kipaumbele uhifadhi Quran kwa watoto

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Alhaj Ayoub Mohd Mahmoud (aliyevaa kanzu nyeupe) akiwa na Wajumbe wa kamati  Kuu ya Jumuiya ya kuhifadhisha Qurani Zanzibar. Na Mary Julius Jumla ya wanafunzi 26 kutoka vyuo mbalimbali vya Wilaya ya  Kusini kiwemo Jambiani, Bwejuu, Paje,…

16 August 2024, 4:59 pm

Jamii yatakiwa kujitokeza kutoa ushahidi kesi za udhalilishaji

Na Steven Msigaro Jeshi la Polisi Mkoa Mjini Magharibi kupitia Dawati la Usalama Wetu Kwanza limesema linaendelea na mapambano dhidi ya udhalilishaji wa watoto kwa kutoa elimu maskulini.   Wakizungumza katika kipindi cha Mwangaza wa Babari kinachorushwa na Zenji fm Sajenti…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group