Zenj FM
Zenj FM
17 September 2024, 7:56 pm
Wanachi wametakiwa kufuata utaratibu ulio wekwa na kamisheni ya ardhi ili kupata vibali na kuondokana na migogoro ya ardhi. Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Rahma Kassm Aliy ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa utoaji wa hati za Haki ya matumizi…
17 September 2024, 1:20 pm
Na Mwandishi wetu. Kengele ya wito wa kudumisha amani , umoja ,maelewano na mapatano imeshapigwa na Kanisa katoliki nchini. KAZI kubwa iliobaki ni ya viongozi wa vyama vya siasa kutimiza wajibu ili kuliweka pamoja Taifa katika ramani yake ya asili.…
13 September 2024, 5:21 pm
Na Mwanamiraji Abdallah ZFDA imetoa wito kwa wafanyabishara kufuata sheria na kuacha tabia ya kuuza bidhaa zilizoisha muda wake kwani jambo hilo hupelekea athari kwa watumiaji. Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi ZFDA Zanzibar kwa kushirikiana na Jeshi na Polisi na…
13 September 2024, 3:45 pm
Na Mulkhat Mrisho Bushir, Mwananchi wa shehia ya Bububu Kigamboni Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja amelalamikia vitendo vya baadhi ya wananchi wanaotupa taka hovyo katika maeneo yasiyo rasmi hususani kwenye kiwanja vilivyo wazi na magofu ya nyumba ambazo hazijaisha. Akizungumza …
11 September 2024, 5:12 pm
Na Mary Julius Mwenyekiti wa Kamati ya Msaada wa Kisheria Baraza la Mji Kati Mussa Haji Mussa, amesema kutokana na uelewa mdogo wa sheria zilizopo nchini kamati hiyo imeamua kushuka kwa wananchi ili kuwajengea uelewa wa sheria. Ameyasema hayo katika…
9 September 2024, 2:45 pm
Na Mary Julius Mstahiki Meya Baraza la Manisapaa Wilaya ya Magharib B Khamis Hassan Haji amewataka Madiwani na Watendaji wa Manispaa ya Wilaya Magharibi B kusimamia masuala ya usafi katika maeneo yao kwa kuondoa majaa yasiyo rasmi pamoja na kuhakikisha…
7 September 2024, 12:08 am
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo Taifa Othman Masoud Othman, amesema baraza hilo ni fursa na jukwaa muhimu la kuwawezesha wananchi kusimamiwa maslahi yao kwa ukaribu zaidi na fursa ya kuweza kuyasimamia vyema maeneo yote yaliyoainisha kwenye…
6 September 2024, 6:44 pm
Na Khalida Abdulrahman. Kutokana na ongezeko kubwa la watumiaji wa kuku wa kisasa aina ya (broiler) wafugaji wametakiwa waache kuwapa dawa ovyo kuku hao ili kupunguza madhara kwa binaadamu. Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Mifugo Asha Zahran Mohammed ameyasema…
6 September 2024, 6:25 pm
Na Jessca Pendael Wakazi wa shehia ya Sharifu Hamsi Bububu wamesema kumekuwa ongezeko la wizi wa kuku, mbuzi na madafu katika shehia yao hali ambayo unarudisha nyuma maendeleo ya wakazi hao. Wakizungumza na Zenji fm wakazi wa shehiaya hiyo wamesema…
2 September 2024, 4:34 pm
Omar Hassan Wakili na Mwanasheria wa Jeshi la Polisi Tanzania Kamisheni ya Zanzibar Mkaguzi Msaidizi Sadik Ali Sultan amesema wanaokubali kuingiliwa kinyume na maumbile wana makosa kwa mujibu wa Sheria na wanastahiki kushtakiwa na hatimae kufungwa kutumia adhabu ya makosa…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group