Zenj FM
Zenj FM
10 October 2024, 5:27 pm
Kwa mujibu wa ripoti ya afya ya akili duniani ya 2022 inasema takribani Mtu mmoja kati kila watu manne wanaugua aina moja ya ugonjwa Unaohusiana na afya ya akili. Na Mwanamiraji Abdallah. Mkuu wa Divisini ya Afya ya Akili Inayo…
10 October 2024, 2:35 pm
Na Mary Julius Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuimarisha mazingira na miundombinu ya Skuli pamoja na kuweka huduma mbali mbali za kibinaadam katika Skuli hizo ili wanafunzi waweze kusoma katika mazingira bora. Akizungumza katika ukaguzi wa majengo mawili ya…
8 October 2024, 4:40 pm
Na Mary Julius. Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja Ayoub Mohd Mahmoud, amewataka viongozi na watendaji wa baraza la mji kati Kuhakikisha mpango mkakati wa miaka mitano wanao uandaa unalenga uimarishaji wa huduma Bora kwa jamii na unakidhi mahitaji ya wananchi.…
8 October 2024, 2:26 pm
Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Magharibi kichama Tauhida Galos Nyimbo amewataka Wanachama wa UWT kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la kudumu la wapiga kura linaloendelea. Tauhida ameyasema hayo wakati alipofanya ziara ya kukaguwa zoezi la uandikishaji wa Daftari…
7 October 2024, 4:51 pm
Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Jamii Baraza la Mji Kati ambaye pia ni Diwani wa viti maalum Riziki Muhammed Abdalla amewataka Wanajamii kushirikiana pamoja kuitunza na kuimarisha Miradi ya maendeleo inayojengwa katika maeneo yao ili iweze kudumu. Riziki ameyasema…
3 October 2024, 5:29 pm
Na Salhey Hamad Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linawashikilia watuhumiwa 05 ambao wamehusika katika matukio mawili ya mauaji yaliyotokea huko Kisakasaka na Mombasa Kwamchina Wilaya ya Magharibi B, pia linaendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji lililotokea Kijichi…
3 October 2024, 3:56 pm
Na Khalida Abdulrahman na Jesca Pendael. Jamii visiwani Zanzibar imetakiwa kuacha kutumia mifuko ya plastik ili kuepukana na uchafuzi wa mazingira, uharibifu wa ardhi pamoja na vifo vya wanyama kama ng’ombe na mbuzi. Akizungumza na Zenj FM, Afisa wa Mazingira Hamdu…
2 October 2024, 3:35 pm
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Kamati ya Miundombinu, Mazingira na Ujenzi Baraza la Mji Kati ambaye pia ni Diwani wa Wadi ya Tunguu Hadhar Abdalla Hadhar amewataka wafanyabiashara wa viwanda vya uchomeaji ( fundi wilding) wa Wilaya ya Kati Unguja…
28 September 2024, 9:47 am
Na Omary Hassan Askari wa Kikosi cha Valantia (KVZ) SGT Haji Machano Mohamed ambaye inasemekana alipotea akiwa katika Mafunzo ya Uongozi (Afisa Cadet) tangu Agosti 8, 2024 ameonekana jana akiwa amefariki dunia. Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi…
26 September 2024, 3:45 pm
Na Mary Julius Mratibu wa Mradi wa Mkonge na Bidhaa Zitokanazo na Mkonge Zanzibar Joseph Andrew Gasper amesema Bodi ya Mkonge Tanzania ina malengo ya kushirikiana na wajasirimali wa kisiwani Pemba ili kuona wajasiriamali wananufaika na fursa zitokanazo na mkonge.…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group