Zenj FM

Recent posts

20/01/2025, 15:37

Serikali za Uingereza, Tanzania kuendeleza ushirikiano

Na Omar Hassan. Serikali ya Uingereza na Serikali ya Tanzania zitaendelea kushirikiana katika kukabiliana na makosa makubwa yanayovuka mipaka ili kuzidisha hali ya usalama na ustawi wa jamii wa nchi hizo.Akizungumza katika ziara ya Maafisa kutoka Ubalozi wa Uingereza nchini…

20/01/2025, 15:16

Wenye ulemavu wa familia moja waomba msaada kujengewa nyumba

Na Mary Julius. Jamii visiwani Zanzibar imeombwa kuisaidia familia ya Ali Fumu ya Chaani, Mcheza Shauri, Wilaya ya Kaskazini A Mkoa wa Kaskazini Unguja yenye watoto watatu wenye ulemavu wa viungo katika kuhakikisha inapata mahitaji muhimu ikiwemo nyumba ya kuishi.Akizungumza…

17/01/2025, 18:48

ZEEA yawataka wajasiriamali kusajili vikundi vyao ili kupata fursa ya mikopo

Wilaya ya Kati. Wajasiriamali wanawake wametakiwa kuzichangamkia fursa za mkopo wenye masharti nafuu kwa kuvisajili vikundi vyao ili kujiendeleza kiuchumi.Afisa kutoka Wakala Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ZEEA Juma Maabadi Ahmed ameyasema hayo wakati akitoa mafunzo kwa wajasiiriamali huko katika ukumbi wa…

17/01/2025, 18:34

ZEC kuandikisha wapiga kura wapya 78,922

Na Mary Julius. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), inatarajia kuandikisha Wapiga Kura Wapya 78,922 waliotimiza umri wa miaka 18 kwa mujibu wa takwimu ya Sensa na Makaazi ya mwaka 2022 katika Uandikishaji Wapiga Kura Awamu ya Pili kwa mwaka huu…

08/01/2025, 13:54

Wakulima wanawake Pemba na kilimo msitu

Wakulima wanawake Wete kisiwani Pemba wamejikita katika Kilimo Msitu ili kuboresha kipato cha mtu mmoja na maendeleo ya taifa kwa ujumla. Fuatilia makala hii upate mengi kuhusu kilimo hiki na matarajio ya wakulima kisiwani Pemba.

19/12/2024, 16:44

Miaka mitatu ya ZCRF yasaidia watoto kujieleza Zanzibar

Na Mary Julius. Uwepo wa Jukwaa la Haki za Watoto Zanzibar (ZCRF) umesaidia watoto kuwa na uhuru wa  kujieleza,kujitambua na kupelekea kushiriki katika jukwaa la  bajeti Zanzibar. Akizungumza wakati wa  wakiwakilisha ripoti ya mwaka  ya Jukwaa la Haki za Watoto…

19/12/2024, 16:16

Mtaro wa Sebleni hatari kwa watoto

Na Mwajuma Said Yussuf na Halsa Abdallah Juma Wananchi wa shehia ya sebleni wilaya ya mjini wameliomba baraza la manispaa kuufunika na kuungeza kina mtaro sebeleni ili kulinda maisha ya watoto pamoja na afya za wakaazi wa eneo hilo. Wakizungmza…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group