Zenj FM
Zenj FM
22 October 2024, 5:37 pm
Na Omar Hassan. Kamishna wa Polisi Zanzibar Cp. Hamad Khamis Hamad amesema mafunzo ya ulinzi wa mazingira,uokozi na usalama wa utalii wanayopatiwa Askari wa vikosi vya ulinzi na usalama yatasaidia kuimarisha ulinzi na hatimae kukuza sekta ya utalii na uchumi…
22 October 2024, 5:21 pm
Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mgeni Hassan Juma amesifu jitihada za Serikali ya watu China katika kuisaidia Zanzibar kwa nyanja tofauti ikiwemo sekta ya Afya hasa katika masuala mazima ya kupambana na maradhi ya saratani. Kauli hiyo ameitoa…
22 October 2024, 3:02 pm
Na Mwandishi wetu Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar Dkt Salim Slim amesema Wizara ya Afya Zanzibar itahakikisha inawapatia chanjo ya polio watoto wote ambao walikosa chanjo hiyo kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita ambayo ilitokana na kutokuwepo kwa…
20 October 2024, 7:07 pm
Na Mary Julius. Mkuu wa Wilaya ya Kati Sadifa Juma Khamis amezindua Kampeni ya Jeahi la Polisi Tanzania ya Tuwaambie Kabla Hawajaharibiwa na kulipongeza Jeshi la Polisi na Serikali kwa mikakati inayochukuwa katika kuhakikisha kaki za Watoto zinalindwa na kuheshimiwa.…
18 October 2024, 4:28 pm
Na Mary Julius. Mkuu wa Idara ya Rasilimali watu Mipango na Utawala, Ofisi ya Baraza la Mji Kati Rehema Khamis Hassan, amewataka Madiwani kufuata Sheria na kutoa Elimu dhidi ya Rushwa na Uhujumu uchumi katika Wadi zao. Rehema ametoa wito…
18 October 2024, 3:41 pm
Na Sallhiya Hamad Baraza la Sanaa, Sensa, Filamu na Utamaduni Zanzibar, limezuia upigaji wa muziki katika baa zote za Zanzibar ambazo hazina sehemu maalumu ya kuzuia sauti (sound proof) ili kuepusha usumbufu kwa jamii. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari , Katibu Mtendaji wa…
16 October 2024, 4:23 pm
Na Mulkhat Mrisho na Salhiya Hamad. Katibu wa Baraza la Elimu na Mrajisi wa Elimu Zanzibar Faridi Ali Muhamad ameliomba Jeshi la Polisi kushughulikia kesi za udhalilishaji ili kuondoa vitendo hiyo katika jamii. Akizungumza katika uzinduzi wa kampeni ya tuwaambie…
13 October 2024, 5:08 pm
Na Mary Julius. Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar Asia Abdulsalam Hussein, amesema fedha zinazotengwa kwa ajili ya kuwafikia watu wenye ulemavu bado hazijawafikia walengwa. Akizungumza katika kikao cha kuwasilisha ripoti ya ufuatiliaji wa asilimia 2 ya fedha inayotolewa na serikali kwa ajili…
11 October 2024, 5:34 pm
Na Mary Julius. Ujenzi wa Kituo cha Mndo umefikia 76% ambapo kituo hicho kinatarajiwa kugharimu zaidi ya Millioni Mia Tisa hadi kukamilika kwake. Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar imeahidi kumaliza ujenzi wa kituo cha dalala za abiria cha…
11 October 2024, 4:51 pm
Na Mary Julius. Siku ya ganzi na usingizi huwazimishwa kila ifikapo tarehe 16 ya mwezi wa 10 ya kila mwaka ambapo Zanzibar itaadhimisha siku hii kwa mara ya kwanza. Vijana wanaosoma kada ya afya wameshauriwa kutumia fursa ya kusomea kada…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group