Zenj FM
Zenj FM
06/02/2025, 16:04
Na Mary Julius Familiya moja inayoishi Chaani Mcheza shauri Mkao wa Kaskazini Unguja imewaomba Mbunge , Mwakilishi na wananchi kuwasaidia msaada wa matibabu na pempasi kwa ajili ya mtoto wao mwenye umri wa miaka nane ambaye anamatatizo ya kutoka haja…
03/02/2025, 16:46
Wilaya ya Kati. Baraza la Mji Kati limefanikiwa kukusanya Jumla ya Shilingi Milioni 400, Sitini na mbili elfu, laki Moja na Saba, Mia nne na 93 sawa asilimia 100.1 4 za makusanyo ya ndani ya baraza hilo kwa mwaka 2024/2025.Mkurugenzi…
03/02/2025, 16:31
Is-haka Mohammed. Makamo Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama cha Mapinduzi UWT Zanzibar Zainab Khamis Shomari amewataka wamachama wa chama hicho Kisiwani Pemba, walio na sifa za kuandikishwa kwenye daftari la kudumu la mpiga kura kujitokeza ili kuandikishwa katika…
03/02/2025, 16:17
Na Mary Julius. Mratibu wa vikoba unguja Catherine Ifanda amewataka wanawake waliopo katika vikundi kuhakikisha wanakopa mikopo kwa malengo ya kufanya maendeleo katika jamii.Mratibu ameyasema hayo katika ziara ya matembezi iliyo andaliwa na kikundi cha kikoba cha St Joseph mama’s…
30/01/2025, 14:20
Na Omary Hassan. Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Kombo Khamis Kombo amesema Jeshi la Polisi limeweka mikakati ya kuimarisha ulinzi katika zoezi la uandikishaji wa wapiga kura awamu ya pili unaotarajiwa kuanza Febuari 1, 2025 ili zoezi hilo lifanyike kwa…
30/01/2025, 14:12
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina amewataka makarani wa uandikishaji kisiwani Pemba kuwa na ushirikiano na wananchi wanaofika vituoni kuandikishwa sambamba na kutumia lugha fasaha.Mkurugenzi ameyasema hayo katika mafunzo kwa watendaji wa uandikishaji…
29/01/2025, 18:34
Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Kombo Khamis Kombo akikagua miradi ya ujenzi na ukarabati wa majengo ya Vituo na nyumba kwa ajili ya maakazi ya Askari Na Omar Hassan. Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Kombo Khamis Kombo amekagua miradi ya…
26/01/2025, 19:02
Na Is-haka Mohammed. Uwepo wa uharibifu mkubwa wa mazingira katika mataifa na nchi mbali mbali duniani kunakotokana na njia tofauti kunapelekea mabadiliko ya tabianchi na moja ya athari kubwa ya Mabadiliko ya tabia nchi katika maeneo mbali mbali ni tishio…
24/01/2025, 19:01
Wilaya ya Kati. Wafanyabiashara wanaofanya biashara zao pembezoni mwa barabara wametakiwa kufuata sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa na Baraza la Mji Kati ili kufanya biashara maeneo yaliyokuwa rasmi. Mkuu wa Wilaya ya Kati Cassian Gallos Nyimbo ameyasema hayo wakati wa…
21/01/2025, 15:21
Mary Julius. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohd Mahmoud amesema upatikanaji wa boti ya doria kwa kamati ya uhifadhi wa mazao ya baharini katika ghuba ya chwaka itasaidia kupunguza changamoto za mapambano dhidi ya vitendo vya uvuvi haramu.Ayoub…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group