Zenj FM
Zenj FM
10 November 2024, 4:58 pm
Na Omar Hassan Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Naibu Kamishna wa Polisi Dcp. Zuberi Chembera amesema Tume Huru imeundwa kuchunguza tukio la gari iliyokuwa ikikimbizwa na Askari wa vikosi vya ulinzi na usalama kupata ajali na kusababisha…
6 November 2024, 5:15 pm
Na Is-haka Mohammed. Waandishi wa Habari kisiwani Pemba wameaswa juu kuandika Habari zitakazosaidia kuwezesha kusikiika kwa sauti za wanawake zinazohusu mabadiliko ya tabia ya nchi na athari zake, ili sauti za wanawake hao zipate kusikika na kuondokana na changamoto zinazojitokeza …
5 November 2024, 5:56 pm
Na Mwandishi wetu Mtoto Rais wa kwanza wa Zanzibar Balozi Ali Karume amesema haikuwa muafaka barabara ya kuelekea nyumbani kwa marehemu mzee Karume kufugwa na kuanzishwa mradi wa ujenzi kiwanja cha michezo katika eneo la Maisara Zanzibar. Balozi karume amesema…
5 November 2024, 4:11 pm
4 November 2024, 3:26 pm
NA Is- haka Mohammed. Mamlaka ya Mapato Zanzibar,ZRA imesema ongezeko la ukusanyaji wa mapato umekuwa ukiimarika kila mwaka tokea kuangia madarakani kwa Rais wa Zanzibar Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi mwaka 2020. Akitoa taarifa ya makusanya…
3 November 2024, 3:18 pm
Na Mwandishi wetu Shirika la Nyumba Zanzibar (ZHC) limetangaza kuwaondoa na kuwahamisha wakaazi wanaoishi kwenye majengo yaliyojengwa na iliyokuwa serikali ya Ujerumani Mashariki Zanzibar kwa miaka sitini sasa kwa madai ya kutaka kuvunjwa ili kupisha uwekezaji mpya. . Mgogoro umezuka…
29 October 2024, 6:41 pm
Na Mary Julius. Makamu wa Kwanza wa Rais Othman Masoud Othman, amekitaka Chama Cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) kiwe mstari wa mbele kupaza sauti na kuchukua hatua stahiki dhidi ya vitendo vya uvunjaji wa sheria na katiba vinapojitokeza. Ameyasema hayo wakati…
25 October 2024, 7:36 pm
Na- Ivan Mapunda. Hadi sasa ni nchi 22 tu zina mwanamke kama mkuu wa nchi au serikali na katika nchi 119 hawajawahi kupata fursa hiyo jambo ambalo lina athari kubwa kwa matakwa ya wasichana wanaokua. Tanzania ni miongoni mwa nchi…
23 October 2024, 5:29 pm
Na Omar Hassan. Kamishna wa Polisi Zanzibar Cp. Hamad Khamis Hamad amefunga mafunzo ya Usalama wa Mazingira na Uchumi wa Bluu na kuhimiza kufanya kazi kwa kushirikiana baina ya Vikosi vya Ulinzi na jamii kufikia malengo na Matarajio ya Serikali…
23 October 2024, 4:46 pm
Waziri wa nchi ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais Zanzibar Harusi Said Suleiman amesema serikali ya Zanzibar kwa kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania zimekuwa zikichukuwa hatua mbalimbali za kuhimili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group