Zenj FM
Zenj FM
26 November 2024, 7:17 pm
Na Omary Hassan. Kamishna wa Polisi Zanzibar Cp. Hamad Khamis Hamad amesema kuanzishwa kwa kamati ya Maadili na Elimu ya Afya Zanzibar kutasaidia Jeshi la Polisi katika kutoa elimu kwa wananchi katika kukabiliana na uhalifu na kuporomoka kwa maadili ya…
25 November 2024, 6:08 pm
Na Omary Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamad Khamis Hamad amewataka wananchi kuendelea kuitunza amani iliopo kwani ni kichocheo kikubwa cha utalii hapa nchini. Ameyasema hayo huko katika shehia ya Kwamtipura alipokua akizindua opersheni maalum ya kukabiliana na uhalifu na…
25 November 2024, 5:28 pm
Wilaya ya Kati. Kaimu Katibu Baraza la Madiwani Ofisi ya Baraza la Mji Kati ambae pia ni Mkuu wa Idara ya Rasilimali Watu Mipango na Utawala Rehema Khamis Hassan, amesema miradi ya madiwani wilaya ya kati inatarajiwa kukamilika kabla ya…
25 November 2024, 3:45 pm
Na Omary Hassan. Jeshi la Polisi Zanzibar limesema linasimama mstari wa mbele katika kuhakikisha kesi za ukatili wa kijinsia zinashughulikiwa kwa haraka na haki inapatikana kwa wahanga. Kamishna wa Polisi Zanzibar CP Hamad Khamis Hamad ameyasema hayo wakati akitoa tamko…
22 November 2024, 7:25 pm
Na Mary Julius Mwakilishi Viti Maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM anayewakilisha kundi la watu wenye ulemavu Mwantatu Mbaraka Khamisi amewataka wazazi kuwapatia huduma za msingi watoto wenye ulemavu kuwajenga kutokana na ulemavu wao ili nao waweze kujitegemea. Akizungumza huko…
20 November 2024, 5:59 pm
Na Thuwaiba Mohammed. Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja, Othman Ali Maulid amewataka madereva wa Mkoa wa Kaskazini A Unguja kuwa waangalifu wanapokuwa barabarani na kufata sheria zilizowekwa na mamlaka husika ili kuepusha ajali zinazoepukika. Akizungumza kwa niaba ya Mkuu…
20 November 2024, 5:05 pm
Na Omar Hassan Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linamshikilia mtu mmoja aitwae Maulid Hassan Maulid (18) mkaazi wa Mwera Pongwe katika Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja kwa tuhuma za mauaji ya mtoto mdogo Khadija Dadi Mhoda…
18 November 2024, 6:00 pm
Na Omar Hassan Mkuu wa Utawala na Rasilimali watu wa Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar, Naibu Kamishna wa Polisi Dcp. Simon Thomas Chillery amefungua Mkutano wa siku tatu unaowahusisha Askari Polisi na wadau wa Amani wa Nchi za Afrika…
18 November 2024, 5:36 pm
Na Mary Julius. Tume ya Uchanguzi Zanzibar (ZEC) imewaomba wananchi wenye sifa kushiriki katika wa awamu ya pili ya uandikishaji wa wapigakura wapya katika daftari la kudumu la wapiga kura, wakati utakapofika katika maeneo yao. Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar…
18 November 2024, 4:18 pm
Na Belema Suleiman Nassor Mtakwimu mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Salum Kassim Ali amesema takwimu zinazotelewa na ofisi ya mtakwimu mkuu zinasaidia Serikali katika kupanga mipango ya maendeleo ya sekta mbali mbali hapa nchini. Ameyasema hayo katika mkutano…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group