Zenj FM

Recent posts

03/02/2025, 16:46

Baraza la Mji Kati lavuka malengo ya ukusanyaji wa kodi

Wilaya ya Kati. Baraza la Mji Kati limefanikiwa kukusanya Jumla ya Shilingi Milioni 400, Sitini na mbili elfu, laki Moja na Saba, Mia nne na 93 sawa  asilimia 100.1 4 za makusanyo ya ndani ya baraza hilo kwa mwaka 2024/2025.Mkurugenzi…

03/02/2025, 16:17

Mratibu wa Vikoba Unguja amewataka wanavikundi kurejesha mikopo kwa wakati

Na Mary Julius. Mratibu wa vikoba unguja Catherine Ifanda amewataka wanawake waliopo katika vikundi kuhakikisha wanakopa mikopo kwa malengo ya kufanya maendeleo katika jamii.Mratibu ameyasema hayo katika ziara ya matembezi iliyo andaliwa na kikundi cha kikoba cha St Joseph mama’s…

30/01/2025, 14:12

Makarani uandikishaji kisiwani Pemba watakiwa kushirikiana na wananchi

Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina amewataka makarani wa uandikishaji kisiwani Pemba kuwa na ushirikiano na wananchi wanaofika vituoni kuandikishwa sambamba na kutumia lugha fasaha.Mkurugenzi ameyasema hayo katika mafunzo kwa watendaji wa uandikishaji…

29/01/2025, 18:34

Uboreshaji wa makazi ya askari kuchagiza huduma bora

Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Kombo Khamis Kombo akikagua miradi ya ujenzi na ukarabati wa majengo ya Vituo na nyumba kwa ajili ya maakazi ya Askari Na Omar Hassan. Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Kombo Khamis Kombo amekagua miradi ya…

26/01/2025, 19:02

Wanawake Pemba wajitosa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

Na Is-haka Mohammed. Uwepo wa uharibifu mkubwa wa mazingira katika mataifa na nchi mbali mbali duniani kunakotokana na njia tofauti kunapelekea mabadiliko ya tabianchi na moja ya athari kubwa ya Mabadiliko ya tabia nchi katika maeneo mbali mbali ni tishio…

21/01/2025, 15:21

Boti ya doria kupunguza uvuvi haramu Kusini Unguja

Mary Julius. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohd Mahmoud amesema upatikanaji wa boti ya doria kwa kamati ya uhifadhi wa mazao ya baharini katika ghuba ya chwaka itasaidia kupunguza changamoto za mapambano dhidi ya vitendo vya uvuvi haramu.Ayoub…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group