Zenj FM
Zenj FM
22 November 2024, 7:25 pm
Na Mary Julius Mwakilishi Viti Maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM anayewakilisha kundi la watu wenye ulemavu Mwantatu Mbaraka Khamisi amewataka wazazi kuwapatia huduma za msingi watoto wenye ulemavu kuwajenga kutokana na ulemavu wao ili nao waweze kujitegemea. Akizungumza huko…
20 November 2024, 5:59 pm
Na Thuwaiba Mohammed. Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja, Othman Ali Maulid amewataka madereva wa Mkoa wa Kaskazini A Unguja kuwa waangalifu wanapokuwa barabarani na kufata sheria zilizowekwa na mamlaka husika ili kuepusha ajali zinazoepukika. Akizungumza kwa niaba ya Mkuu…
20 November 2024, 5:05 pm
Na Omar Hassan Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linamshikilia mtu mmoja aitwae Maulid Hassan Maulid (18) mkaazi wa Mwera Pongwe katika Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja kwa tuhuma za mauaji ya mtoto mdogo Khadija Dadi Mhoda…
18 November 2024, 6:00 pm
Na Omar Hassan Mkuu wa Utawala na Rasilimali watu wa Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar, Naibu Kamishna wa Polisi Dcp. Simon Thomas Chillery amefungua Mkutano wa siku tatu unaowahusisha Askari Polisi na wadau wa Amani wa Nchi za Afrika…
18 November 2024, 5:36 pm
Na Mary Julius. Tume ya Uchanguzi Zanzibar (ZEC) imewaomba wananchi wenye sifa kushiriki katika wa awamu ya pili ya uandikishaji wa wapigakura wapya katika daftari la kudumu la wapiga kura, wakati utakapofika katika maeneo yao. Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar…
18 November 2024, 4:18 pm
Na Belema Suleiman Nassor Mtakwimu mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Salum Kassim Ali amesema takwimu zinazotelewa na ofisi ya mtakwimu mkuu zinasaidia Serikali katika kupanga mipango ya maendeleo ya sekta mbali mbali hapa nchini. Ameyasema hayo katika mkutano…
15 November 2024, 4:38 pm
Na Omar Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar Cp Hamad Khamis Hamad amewataka Askari waliohitimu mafunzo ya uongozi mdogo ngazi ya Sajent amewataka kufanya kazi kwa kutenda haki bila ya kumuonea au kumpendelea mtu. Akifunga Mafunzo hayo huko Chuo cha Polisi…
13 November 2024, 6:27 pm
Na Is-haka Mohammed. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mattar Zahor Massoud amewataka wananchi wa Kisiwapanza kutumia vyema mitungi ya gesi waliyokabidhiwa kwani imelenga kuwaondoshea changamoto za athari za kimazingira zinazoendelea kukikumba kisiwa hicho Mattar ameyasema hayo wakati akizungumza na…
11 November 2024, 5:55 pm
Na Omar Hassan Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais katiba, sheria, Utumishi na Utawala bora anaeshughulikia Katiba na Sheria Mzee Ali Haji amesema uanzishwaji wa jukwaa la pamoja la taasisi za haki jinai itasaidia kutatua changamoto za Taasisi hizo na…
11 November 2024, 3:09 pm
Zaidi ya shilingi milioni mia tisa zimetaifishwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za kulevya Zanzibar (DCEA) na kuwa mali ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutokana na kupatikana kwa njia ya haramu. Akitoa taarifa kwa waandishi wa…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group