Zenj FM
Zenj FM
6 December 2024, 6:51 pm
Sensa ya watu na makaazi ya mwaka 2022 inaonesha Zanzibar ina watu 1,889,773 kati ya hao wanaume ni 915 ,492 na wanawake ni 974 ,281 hii ina manisha kwamba wanawake ni asilimia 51.6 ya wakaazi wote Zanzibar. Licha ya wanawake…
6 December 2024, 3:25 pm
Na Berema Nassor Waziri wa Maji Nishati na Madini Shaibu Hassan Kaduara amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kushirikiana na wadau wa sekta mbali mbali ikiwa na lengo la kuleta mabadiliko ya maendeleo ya kiuchumi katika taifa na jamii…
5 December 2024, 5:40 pm
Na Mary Julius. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Masoud Ali Mohammed amesema Zanzibar kuna jumla ya maeneo yanayotoa huduma ya Vileo (baa) 93 ambayo yamesajiliwa na kupewa leseni…
4 December 2024, 10:01 pm
Wilaya ya Kati. Kikosi Cha kuzuia magendo KMKM Marumbi kimefanikiwa kukamata watu 8 wanajihusiaha na uvuvi Haramu. Akithibitisha kukamata kwa watu hao Mkuu wa Kambi hiyo Luteni Kamanda Hassan Bakari Babu amesema kikosi hicho kilifanikiwa kuwakamata watu hao wakiwa katika…
4 December 2024, 9:39 pm
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar Asia Abdulsalam Hussein ameiomba jamii kuwasaidia watu wenye ulemavu, hasa wale wanaoishi katika visiwa vidogo vidogo vilivyopo Zanzibar. Mkurugenzi Asia ameyasema hayo mara baada ya ziara ya kuwatembelea watu…
4 December 2024, 8:26 pm
Na Omar Hassan. Mkuu wa Polisi wa Umoja wa Mataifa Kamishna Faisal Shahkar amesema amefurahishwa na juhudi na umahiri wa Jeshi la Polisi Tanzania Kamisheni ya Zanzibar katika kuzuwia uhalifu na kuifanya Zanzibar kuwa ni sehemu salama. Akizungumza na Maafisa…
29 November 2024, 5:03 pm
Na Mwanamiraji Abdallah. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Sharifa Ali Shariff amesema ujio wa wawekezaji kutoka Belgium ni Juhudi za Rais wa Zanzibar na Mwenyeketi Wa Baraza La Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi na Raisi…
27 November 2024, 4:43 pm
Na Mary Julius Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) na Makamo Mwenyekiti Wa Umoja Wa Wanawake Tazanzia Taifa UWT Zainab Shomari amesema bado makundi la watu wenye ulemavu halija faidika na mikopo imayotolewa na serikali. Makamo Mwenyekiti Zainab…
27 November 2024, 3:27 pm
Na Mary Julius. Mwakilishi wa Jimbo la Chumbuni Miraji Khamis Kwaza amekabidhi vifaa vya ujenzi wa jengo la ofisi za jimbo hilo vyenye thamani ya sh milioni ishirini na moja 21 ikiwa niutekelezaji wa ahadi zake. Akizungumza mara baada ya…
26 November 2024, 7:31 pm
Na Ivan Mapunda. Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 inaonesha Zanzibar ina watu 1,889,773 kati ya hao wanaumme ni 915 ,492 na wanawake ni 974 ,281 hii inamaanisha kwamba wanawake ni asilimia 51.6 ya wakazi wote Zanzibar. Licha…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group