

11 August 2023, 3:21 pm
Na Is-haka Mohammed Pemba. Katika kuhakikisha wananchi kisiwani Pemba wanalipa kodi kwa ukamilifu Mamlaka ya Mapato Zanzibar imetoa mafunzo kwa walipa kodi Pemba ili kuwajengea uelewa wa mfumo mpya wa kulipa kodi. Mamlaka ya Mapato Zanzibar ZRA imesema mabadiliko ya…
11 August 2023, 2:43 pm
Katika mafunzo hayo waandishi wa Zenj fm wamefundishwa tofauti ya utangazaji wa kwenye Redio na habari za mtandaoni. Na. Berema Nassor. Waandishi wa habari wa kituo cha redio cha Zenj FM wameshauriwa kuzitumia fursa zilizopo katika mtandao wa Radio Tadio…
10 August 2023, 2:55 pm
Amesema katika ziara yao hiyo watajifunza mbinu mbali mbali ambazo wakiitoa kwa wananchi wataweza kuisaidia kwa kiasi kikubwa wizara katika utoaji wa elimu ya kilimo na ufugaji. Na Khamis Said Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Shamata Shaame Khamis amewataka masheha wa wilaya…
9 August 2023, 2:49 pm
Waandishi wa habari Zanzibar wametakiwa kutumia mtandao wa Radio Tadio ili kubadilishana habari. Na Mary Julius Mhariri wa Radio Tadio Tanzania Hilali Ruhundwa amewataka waandishi wa habari zanzibar kuitumia fursa ya mtandao wa radio tadio katika kuchapisha habari ili kuweza…
8 August 2023, 12:39 pm
Mkuu wa mkoa wa Kusini Unguja amewataka zimamoto kutoa elimu ya kukabiliana na majanga ya moto kwa wananchi. Na Fatuma Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja Rashid Hadid Rashid ameziagiza mamlaka ya zima moto, shirika la umeme na idara ya maafa kuandaa utaratibu…
8 August 2023, 9:27 am
7 August 2023, 11:13 am
Kamishina Msaidizi wa polisi Dkt Emmanuel amesema bado kuna mwamko mdogo kwa wananchi wa micheweni katika kushirikiana na polisi jamii. Na Omary Hassan. Mkuu wa Polisi jamii Zanzibar, Kamishna Msaidizi wa Polisi Dkt. Egyne Emmanuel awewataka wananchi kuzitumia kamati za…
6 October 2022, 1:34 pm
NA: Mary Julius na Thuwaiba Mohd : Mwakilishi wa jimbo la Paje Soud Nahodha Hassan wamewataka wakinamama kujiunga kwenye vikundi vya ujasiriamali ili kuweza kusaidiawa katika kujiletea maendeleo na kujikwamua kiuchumi. Akizungumaza mara baada ya kuzindua na kukabidhi kisima cha…
4 February 2022, 5:05 pm
Waziri wa Afya Ustawi wa Jamii Wazee na Watoto Nassor Ahmed Mazrui amesema wizara ya afya itaendelea kushirikiana na mashirika binafsi ili kuweza kuwasaidia wananchi wa visiwa vya Zanzibar. Akizungumza katika makabidhiano ya kupokea vifaa vya kuboresha huduma za afya…
4 February 2022, 4:37 pm
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maji Zanzibar ZAWA Dr Salha Mohammed Kassim amesema mamlaka ya maji zanzibar itahakikisha inajenga visima vya maji safi na salama katika maeneo yote ya unguja na pemba. Akizungumza katika hafla ya utiaji wa saini wa …
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group