Zenj FM

Recent posts

4 December 2024, 9:39 pm

UWZ yawafikia watu wenye ulemavu kisiwa cha Kojani

Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar Asia Abdulsalam Hussein ameiomba jamii  kuwasaidia watu wenye ulemavu, hasa wale wanaoishi katika visiwa vidogo vidogo vilivyopo Zanzibar. Mkurugenzi Asia ameyasema hayo mara baada ya ziara ya kuwatembelea watu…

4 December 2024, 8:26 pm

Kamishna wa Polisi UN Asifu Utendaji wa Polisi Kamisheni ya Zanzibar

Na Omar Hassan. Mkuu wa Polisi wa Umoja wa Mataifa Kamishna Faisal Shahkar amesema amefurahishwa na juhudi na umahiri wa Jeshi la Polisi Tanzania Kamisheni ya Zanzibar katika kuzuwia uhalifu na kuifanya Zanzibar kuwa ni sehemu salama. Akizungumza na Maafisa…

29 November 2024, 5:03 pm

Ujio wa wawekezaji toka Ubelgiji kuifungua Tanzania kiuchumi

Na Mwanamiraji Abdallah. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Sharifa Ali Shariff amesema ujio wa wawekezaji kutoka Belgium ni Juhudi za Rais wa Zanzibar na Mwenyeketi Wa Baraza La Mapinduzi  Dk Hussein Ali Mwinyi na Raisi…

27 November 2024, 4:43 pm

UWT Zanzibar yawahakikishia wenye ulemavu fursa za mikopo

Na Mary Julius Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) na Makamo Mwenyekiti Wa Umoja Wa Wanawake Tazanzia Taifa UWT Zainab Shomari amesema bado makundi la watu wenye ulemavu  halija faidika  na mikopo imayotolewa na serikali. Makamo Mwenyekiti Zainab…

27 November 2024, 3:27 pm

Zaidi ya milioni 270 kutumika ujenzi ofisi za Jimbo Chumbuni

Na Mary Julius. Mwakilishi wa Jimbo la Chumbuni Miraji Khamis Kwaza amekabidhi vifaa vya ujenzi wa jengo la ofisi za jimbo hilo vyenye thamani ya sh milioni ishirini na moja 21 ikiwa niutekelezaji wa ahadi zake. Akizungumza mara baada ya…

26 November 2024, 7:17 pm

Polisi Zanzibar kufanya kazi na kamati ya maadili

Na Omary Hassan. Kamishna wa Polisi Zanzibar Cp. Hamad Khamis Hamad amesema kuanzishwa kwa kamati ya Maadili na Elimu ya Afya Zanzibar kutasaidia Jeshi la Polisi katika kutoa elimu kwa wananchi katika kukabiliana na uhalifu na kuporomoka kwa maadili ya…

25 November 2024, 6:08 pm

Makamanda wa mikoa Zanzibar watakiwa kupambana na wanyang’anyi

Na Omary Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamad Khamis Hamad amewataka wananchi kuendelea kuitunza amani iliopo kwani ni kichocheo kikubwa cha utalii hapa nchini. Ameyasema hayo huko katika shehia ya Kwamtipura alipokua akizindua opersheni maalum ya kukabiliana na uhalifu na…

25 November 2024, 3:45 pm

Takwimu za matukio ya ukatili wa kijinsia zinatisha Zanzibar

Na Omary Hassan. Jeshi la Polisi Zanzibar limesema  linasimama mstari wa mbele katika kuhakikisha kesi za ukatili wa kijinsia zinashughulikiwa kwa haraka na haki inapatikana kwa wahanga. Kamishna wa Polisi Zanzibar CP Hamad Khamis Hamad ameyasema hayo wakati akitoa tamko…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group