Zenj FM
Zenj FM
28/03/2025, 17:19
Mary Julius. Katika kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya nane katika sekta ya elimu, Halotel wamekabidhi madawati kwa skuli ya Kibweni.Akizungumza katika hafla ya makabidhiano hayo yaliyofanyika katika skuli ya Kibweni, iliyopo Mtoni, wilaya ya Magharib A, Naibu…
27/03/2025, 13:58
Na Omar Hassan. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kubaka watoto katika matukio mawili tofauti.Akizungumza na waandishi wa habari huko Tunguu, Makao Makuu ya Polisi Mkoa wa Kusini Unguja Kamanda wa Polisi Mkoa…
26/03/2025, 16:48
Waziri wa Afya Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui aliyevaa kanzu akiwa na viongozi wa wizara ya afya Zanzibar pamoja na Mkurugenzi Mkaazi wa PharmAcess katika hafla ya uhamasishaji wa matumizi ya kadi ya matibabu hafla ilifanyika katika ukumbi wa Golden Tulip…
26/03/2025, 16:43
Na Thuwaiba Mohammed. Madiwani wa Wiaya ya Magharib B wametakiwa kuwa mabalozi kwa wananchi katika wadi zao juu ya matumizi na faida za utumiaji wa Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar ZHSF.Mstahiki Meya wa Baraza la Manispaa ya Wilaya ya…
25/03/2025, 14:56
Na Is-haka Mohamed Kutokuwepo kwa mashindano ya aina mbalimbali kunaelezwa kuhatarisha kutoweka kabisa kwa mpira wa pete (Netball) kisiwani Pemba. Hayo yameelezwa na baadhi ya wachezaji wa mpira huo katika timu ya Mchangamdogo Centre wakati walipotembelewa na timu ya waandishi…
24/03/2025, 17:49
Na Said Naibu Mkurugenzi wa Upelelzi wa Makosa ya Jinai Zanzibar, Naibu Kamishna wa Polisi Zuberi Chembera amewataka Askari Polisi kuwajibika na kuhakikisha wanasimamia sheria za usalama barabarani ili kupunguza vifo na majeruhi yanayosababishwa na ajali za barabarani. Ameyasema hayo…
24/03/2025, 15:55
Na Mwandishi wetu. Mwanasiasa mkongwe na mbunge wa zamani jimbo la Kikwajuni Parmukh Singh Hoogan amesema sio muafaka kiongozi kutoa sadaka kwa dhehebu moja la dini na kuacha mengine wakati wewe kiongozi wa Taifa. Singh amesema alipokuwa akizungumzia tatizo la…
23/03/2025, 16:53
Na Khamis BENKI ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kwa kushirikiana na Taasisi ya Asma Mwinyi Foundation imewapatia msaada wa vitu mbalimbali wananchi wakiwemo, mayatima, wajane, wazee na watu wenye mahitaji maalum wa shehia ya Muyuni ‘C’.Akizungumza mara baada ya kuwapatia…
23/03/2025, 16:27
Na Mary Julius. Kadhi mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali ameungana na waumini wa Dini ya Kiislam wa Jimbo la Chumbuni katika Dua Maalumu ya Kuwaombea viongozi wa kitaifa na wa Jimbo hilo ili waendelee kutekeleza vyema majukumu yao…
22/03/2025, 17:07
Na Mary Julius. Mwakilishi wa Jimbo la Malindi Mohamed Ahmada Salum ameahidi kutoa chakula kwa skuli zote zilizopo katika jimbo hilo kwa ajili ya wanafunzi wa kidato cha sita wanakuwa kambini kwa maandalizi ya mitihani. Mwakilishi Ahmada ameyasema hayo katika…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group