Zenj FM
Zenj FM
14/04/2025, 14:05
Na Said Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linamshikilia mtuhumiwa Abdallah Ramadhan Mnolwa (24) Mdigo wa Iringa kwa kosa la kutoa taarifa za uongo.Akizungumza na waandishi wa habari huko ofisini kwake Madema , Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa…
11/04/2025, 16:23
Na Berema Suleiman Nassor Kuzinduliwa kwa Programme ya Mobile Youth Space na Amani ni Tunu,Vijana Tuienzi itaweza kusaidia kuimarisha ushiriki wa upatikanaji wa taarifa kwa vijana.Akizungumza na wandishi wa habari Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo…
11/04/2025, 15:32
Na Mary Julius. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Wawekezaji wengi wa Uingereza wameonesha nia ya kuwekeza katika Kuliongezea thamani zao la Mwani kwa kuongeza Mnyororo wa Thamani pamoja na Uzalishaji wa…
04/04/2025, 16:35
Na Mary Julius. Waziri wa Nchi Afisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Sharif Ali Sharif, amesema kuanza kutumika kwa mfumo wa kidijitali wa utoaji wa mikopo kwa makundi maalum 4.4.2 kutarahisisha upatikanaji wa mikopo, haraka na usalama. Ameyasema hayo…
02/04/2025, 16:15
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linamshikilia Mudriki Abdalla Msham, mwenye umri wa miaka 21 kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 17.Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa…
30/03/2025, 20:46
Na Mary Julius. Jeshi la Mkoa wa kusini unguja limesema mtu mmoja, amefariki dunia kwa kupigwa na kitu butu kichwani huko Hanyengwa, wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja.Akizungumza na zenji fm Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kusini Unguja…
29/03/2025, 18:30
Na Omar Hassan. Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Zanzibar, Naibu Kamishna wa Polisi DCP Zuber Chembera amewataka Maafisa na Wakaguzi wa Polisi kutumia mafunzo mbalimbali wanayopatiwa kuondoa changamoto za kiusalama zilizopo kwenye jamii na kupunguza malalamiko ya…
29/03/2025, 18:21
Na Omar Hassan Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja litaimarisha ulinzi katika maeneo yote ya Mkoa huo kipindi cha Sikukuu ya Eid El Fitri ili wananchi washeherekee sikukuu hiyo kwa salama na Amani. Akizungumza na waandishi wa habari huko…
28/03/2025, 19:19
Na Mwandishi wetu. Mwanasiasa na Mbunge wa zamani jimbo la Kikwajuni Parmukh Singh Hoogan amesema wakati umefika na jamii ndogo ndogo kushilikishwa katika nafasi za uteuzi katika kuimalisha umoja wa Kitaifa. Singh amesema hayo alipokuwa akizungumzia uchaguzi mkuu na nafasi…
28/03/2025, 17:42
Na Said Kuelekea Sikukuu ya Eid-el-fitri Jeshi la Polisi mkoa wa mjini magharib llimetoa wito kwa wananchi kusherehekea sikukuu hiyo kwa amani na utulivu na isiwe chanzo cha kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwemo, wizi, uporaji, unyang’anyi, udhalilishaji na…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group