

12 September 2023, 1:28 pm
Timu ya wataalam kutoka Jumuiya ya Mameya wa Afrika ya Kusini (AMALI) wametoa mafunzo namna ya kutenganisha taka ngumu na taka nyepesi. Na Mary Julius. Mstahiki Meya wa Jiji la Zanzibar Mahmoud Muhammed Mussa amevitaka vikundi vya usafi kutenga fungu kwa ajili…
10 September 2023, 2:19 pm
Na Mary Julius. Afisa Elimu Mkoa wa Kusini Unguja Mohammed Haji Ramadhani ameiomba wizara ya elimu kuwajengea nyumba walimu wa mkoa huo ili waweze kufika kwa wakati maskulini. Afisa elimu ameyasema hayo katika hafla ya kugawa taulo za kike zilizoteolewa…
10 September 2023, 1:47 pm
Na. Hakika Mwinyi Afisa Elimu wa Wilaya ya Kati Somoe Said amewataka wanafunzi wa kiume kujiepusha na vishawishi ili kuweza kutimiza malengo waliyojiwekea. Afisa Elimu ameyasema hayo katika ghafla ya kuwatunuku vyeti wanafunzi Wakiume 20 walio shiriki katika marathon iliyo…
7 September 2023, 5:07 pm
Na Mary Julius Mkurugenzi wa Asma Mwinyi Foundation, Asma Ali Mwinyi amesema taasisi hiyo inaandaa mkakati wa kuweka mazingira rafiki kwa watoto wa kike kwa kuwajengea vyoo maskulini ili kuondoa changamoto zote zinazowakumba wanapo kuwa katika hedhi. Asma ameyasema hayo…
6 September 2023, 3:54 pm
Na Mwandishi wetu. Wananchi wameshauriwa kusimamia maelekezo ya Serikali ikiwemo kudumumisha usafi katika maeneo ya makaazi wanayo ishi. Mkurugenzi wa Baraza la Mji Mkoani Pemba Yussuf Kaiza Makame ameyasema hayo katika ziara ya kimafunzo iliyo husisha Madiwani 10, Watendaji 7…
29 August 2023, 2:50 pm
Na Is-haka Mohammed Pemba. Mtandao wa Utetezi wa Haki za Binadamu Tanzania umesema mwongozo wa malalamiko katika vizuizi (Vyuo vya Mafunzo) umewekwa kwa ajili ya kusaidia utatuzi wa changamoto na malalamiko ya walio vizuizini ili kutoa nafasi ya kushughulikiwa na taasisi…
29 August 2023, 2:32 pm
Lengo la kujengwa hospitali za wilaya ni kuimarisha utoaji wa huduma za afya kwa kuwapunguzia masafa wananchi. Wizara ya Afya Zanzibar imesema kuanza kutumika hospitali za wilaya zitasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza changamoto ya upatikanaji wa huduma kwa wananchi wa visiwa vya Unguja…
29 August 2023, 1:56 pm
Wananchi wametakiwa kutumia fursa ya kwenda kufanya matibabu kwenye kambi inayoendelea katika Hospitali ya Kivunge. Na Omary Abdallah. Wizara ya Afya Zanzibar imesema kufanyika kwa kambi za magonjwa mbalimbali hapa nchini kunasadia kwa kiasi kikubwa kuwapatia huduma wananchi kwa ukaribu pamoja…
27 August 2023, 3:21 pm
Na Is-haka Mohammed Mtu mmoja anayejulikana kwa jina Moh’d Omar Juma maarufu Magodoro anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 mkaazi wa Machomanne Kilimo amefariki dunia baada ya kuonekana akining’inia katika chumba kwa kujinyonga. Khamis Issa Moh`d ni Mwanafamilia wa…
25 August 2023, 3:56 pm
Waandishi wa Habari Pemba wanatakiwa kufanya uchunguzi yakinifu kabla ya kurusha hewani habari za udhalilishaji. Na Is-haka Mohammed Pemba. Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa Zanzibar) kimewakumbusha waandishi wa habari juu ya umuhimu wa kuandika habari zenye tija na…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group