Zenj FM
Zenj FM
11 February 2025, 7:01 pm
Ivan Mapunda. Kampeni ni sehemu au uwanja wenye changamoto kubwa kwa wanawake wanaotafuta nafasi za uongozi. Mbali na changamoto za kawaida za kisiasa, wanawake hukabiliana na tatizo kubwa la matamshi ya chuki, udhalilishaji, na matusi ya kijinsia yanayolenga kudhoofisha heshima…
7 February 2025, 4:51 pm
Na Omar Hassan Watendaji wa Madawati ya Jinsia na watoto ya Jeshi la Polisi wametakiwa kuongeza nguvu katika kushughulikia Kesi za Udhalilishaji wa kijinsia na ukatili dhidi ya watoto ili kudhibiti matukio hayo na kuifanya jamii ibaki salama.Akifungua mafunzo ya…
6 February 2025, 4:37 pm
Na Mary Julius Baraza la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar limesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inamipango mizuri kwa wananchi kwa kuweka mikakati madhubuti ya kuondoa tatizo la njaa nchini pamoja na umaskini.Akizungumza na waandishi wa habari huko Ofisi…
6 February 2025, 4:04 pm
Na Mary Julius Familiya moja inayoishi Chaani Mcheza shauri Mkao wa Kaskazini Unguja imewaomba Mbunge , Mwakilishi na wananchi kuwasaidia msaada wa matibabu na pempasi kwa ajili ya mtoto wao mwenye umri wa miaka nane ambaye anamatatizo ya kutoka haja…
3 February 2025, 4:46 pm
Wilaya ya Kati. Baraza la Mji Kati limefanikiwa kukusanya Jumla ya Shilingi Milioni 400, Sitini na mbili elfu, laki Moja na Saba, Mia nne na 93 sawa asilimia 100.1 4 za makusanyo ya ndani ya baraza hilo kwa mwaka 2024/2025.Mkurugenzi…
3 February 2025, 4:31 pm
Is-haka Mohammed. Makamo Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama cha Mapinduzi UWT Zanzibar Zainab Khamis Shomari amewataka wamachama wa chama hicho Kisiwani Pemba, walio na sifa za kuandikishwa kwenye daftari la kudumu la mpiga kura kujitokeza ili kuandikishwa katika…
3 February 2025, 4:17 pm
Na Mary Julius. Mratibu wa vikoba unguja Catherine Ifanda amewataka wanawake waliopo katika vikundi kuhakikisha wanakopa mikopo kwa malengo ya kufanya maendeleo katika jamii.Mratibu ameyasema hayo katika ziara ya matembezi iliyo andaliwa na kikundi cha kikoba cha St Joseph mama’s…
30 January 2025, 2:20 pm
Na Omary Hassan. Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Kombo Khamis Kombo amesema Jeshi la Polisi limeweka mikakati ya kuimarisha ulinzi katika zoezi la uandikishaji wa wapiga kura awamu ya pili unaotarajiwa kuanza Febuari 1, 2025 ili zoezi hilo lifanyike kwa…
30 January 2025, 2:12 pm
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina amewataka makarani wa uandikishaji kisiwani Pemba kuwa na ushirikiano na wananchi wanaofika vituoni kuandikishwa sambamba na kutumia lugha fasaha.Mkurugenzi ameyasema hayo katika mafunzo kwa watendaji wa uandikishaji…
29 January 2025, 6:34 pm
Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Kombo Khamis Kombo akikagua miradi ya ujenzi na ukarabati wa majengo ya Vituo na nyumba kwa ajili ya maakazi ya Askari Na Omar Hassan. Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Kombo Khamis Kombo amekagua miradi ya…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group