

25 October 2023, 5:26 pm
Na Mary Julius. Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dkt. Saada Mkuya Salum amesema kuzinduliwa kwa mfumo wa kufanya malipo kwa njia ya mtandao wa Airpay Tanzania utaisadia noti za Tanzania kuwa katika mzunguko kwa muda mrefu. Waziri Saada ameyasema…
6 October 2023, 2:35 pm
Shirika la Save the Children Tanzania limetoa mafunzo kwa wanafunzi kisiwani pemba kwa lengo la kuwawezesha kupelekea ujumbe wao kwa viongozi wenye mamlaka kupitia jukwaa hilo la mikutano ya mtandaoni. Na Is-haka Mohammed. Kuwepo kwa jukwaa la kuwasiliana mtandaoni kumeelezwa…
2 October 2023, 3:48 pm
Katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja, wateja wa benki ya NMB wametakiwa kutoa maoni yao kila wanapoona changamoto katika utoaji wa huduma kwa kupitia visanduku hivyo vya maoni . Na Is- haka Mohammed Afisa Mdhamin Ofisi ya Rais Ikulu…
1 October 2023, 6:56 pm
Na Mary Julius Kaimu katibu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania ALAT Muhammed Ahmed Maje amesema utekelezaji wa maendelo katika nchi hufanywa kwa kuanzia katika mamlaka za serikali za mitaa. Akizungumza wakati akifungua Mkutano wa uchaguzi wa jumuiya ya serikali za mitaa…
24 September 2023, 6:07 pm
Ujenzi wa kituo cha Mkoani umekuja kufuatia kuchakaa kwa kituo cha polisi Mkoani ambacho kimerithiwa tokea wakati wa ukoloni na kinatumika hadi sasa. Na. Omary Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Hamad Khamis Hamad amewataka wananchi kuacha tabia ya kutumia vituo…
24 September 2023, 4:37 pm
Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Zanzibar Rahma Kassim Ali Amesema wizara hiyo inakabiliwa na changamoto ya migogoro ya ardhi licha ya kuwa na sheria nyingi za ardhi. Na Mary Julius. Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Rahma…
24 September 2023, 3:08 pm
Wananchi waliopisha ujenzi wa uwanja wa ndege Pemba kuanza kulipwa fidia mara baada ya kukamilika kwa tathmini. Na Is-haka Mohammed Kamati ya muda ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inayoratibu masuala ya ujenzi wa uwanja wa ndege Pemba imekutana…
22 September 2023, 5:01 pm
Wafanyabiashara kisiwani Pemba wameiomba serikali kuwapunguzia kodi ili kuweza kunusuru biashara zao. Na Is-haka Mohammed. Wafanyabiashara kisiwani Pemba wamedai kuwepo kwa kodi kubwa kunatishia uhai wa biashara zao na kuiomba serikali kuangalia upya hali ya kodi wanazotoza ili kunusuru hali hiyo…
21 September 2023, 7:48 pm
Mafunzo ya mara kwa mara yanayotolewa kwa askari kuhusu haki za binadamu yataweza kuleta mabadiliko ya kiutendaji kwa Jeshi la Polisi Zanzibar. Na Omary Hassan Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Hamad Khamis Hamad amesema Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar…
21 September 2023, 2:25 pm
Na Mary Julius. Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Mudrik Ramadhani Soraga amesema ujio wa kampuni ya Airpay Tanzania, Zanzibar itasaidia serikali kuwafikia wajasiriamali wadogo katika kupata fursa za mikopo na kutambulika. Soraga ameyasema hayo wakati akifungua…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group