Zenj FM
Zenj FM
22 April 2025, 5:24 pm
Na Mwandishi wetu. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohd Mahmoud ameitaka jamii kupokea mabadiliko ya ongezeko la dozi ya chanjo ya polio kwa watoto ili kuwakinga na ugonjwa huo ambao husabaisha ulemavu au kufariki dunia . Ameyasema hayo…
22 April 2025, 5:00 pm
Na Is-haka Mohammed Chama cha Ada-Tadea kimewataka wananchi kutosikiliza maneno yanayotolewa na baadhi ya wana siasa yenye lengo la kuchafua amani na utulivu uliopo nchini bali waunge mkono juhudi za maendeleo zilizoletwa kwao na serikali. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi…
18 April 2025, 4:29 pm
Baraza la mji Kati. Baraza la Mji Kati wametakiwa kufuata taratibu, sheria na Kanuni zilizowekwa na Serikali pindi wanapotaka kuanzisha Viwanja vya kufurahia Watoto kwalengo la kuwa na Viwanja vilivyo bora.Meneja Mipango kutoka ZSSF ambae pia Msimamizi wa Viwanja vya…
18 April 2025, 3:19 pm
Na Mary Julius. Katika jitihada za kuwawezesha wanawake wenye ulemavu kushiriki kikamilifu katika jamii na kutambua haki zao, Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar (UWZ) umeandaa mafunzo maalum yaliyojikita katika masuala ya haki za binadamu, usawa wa kijinsia na haki…
16 April 2025, 5:31 pm
Na Mary Julius. Wafanyabiashara wa Soko la Mwanakwerekwe wameiomba Serikali kumsimamia muwekezaji wa Soko hilo kuimarisha ulinzi na Usalama wa vyombo vyao katika maeneo ya maegesho ili kuweza kufanya biashara bila ya kuwa wa wasiwasi wa usalama wa vyombo vyao.Wakizungumza…
16 April 2025, 4:09 pm
Na Mary Julius. Katika kuhakikisha wanawake na watu wenye ulemavu wanashiriki kamilifu katika kuwania nafasi za uongozi katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, Chama cha Makini kimetangaza kutoa fomu bure kwa watia nia wanawake na watu wenye ulemavu watakaotaka kugombea…
14 April 2025, 3:15 pm
Na Mary Julius. Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Halotel, Roxana Kadio, amesema kampuni hiyo imejikita katika kuhakikisha wateja wake wanapata huduma bora, kwa kuwajali watumiaji wa mtandao huo hususan waliopo Zanzibar.Akizungumza katika tamasha la muendelezo wa uzinduzi…
14 April 2025, 2:05 pm
Na Said Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linamshikilia mtuhumiwa Abdallah Ramadhan Mnolwa (24) Mdigo wa Iringa kwa kosa la kutoa taarifa za uongo.Akizungumza na waandishi wa habari huko ofisini kwake Madema , Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa…
11 April 2025, 4:23 pm
Na Berema Suleiman Nassor Kuzinduliwa kwa Programme ya Mobile Youth Space na Amani ni Tunu,Vijana Tuienzi itaweza kusaidia kuimarisha ushiriki wa upatikanaji wa taarifa kwa vijana.Akizungumza na wandishi wa habari Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo…
11 April 2025, 3:32 pm
Na Mary Julius. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Wawekezaji wengi wa Uingereza wameonesha nia ya kuwekeza katika Kuliongezea thamani zao la Mwani kwa kuongeza Mnyororo wa Thamani pamoja na Uzalishaji wa…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group