Zenj FM
Zenj FM
6 March 2025, 7:14 pm
Kamishna wa Polisi Zanzibar CP. Kombo Khamis Kombo amewataka Askari wa Jeshi la Polisi kutumia maarifa wanayopata vyuoni kukabiliana na matukio ya uvunjifu wa Amani kabla, wakati na baada ya uchaguzi Mkuu ili uchaguzi huo ufanyike kwa utulivu, salama na…
6 March 2025, 3:20 pm
Na Omar Hassan, Askari wa Jeshi la Polisi wametakiwa kutumia mafunzo wanayoyapata kufanya mabadiliko ya kiutendaji katika kutatua changamoto za kiusalama katika vituo vyao vya kazi. Akifunga mafunzo ya Medani za kivita katika kambi ya Polisi Kiashange Mkoa wa Kaskazini…
3 March 2025, 4:20 pm
Na Mary Julius. Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Tunu Juma Kondo, amewataka watu wenye ulemavu kufuata taratibu na vigezo vya mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri ili waweze kufaidika. Naibu Katibu Mkuu UWT Tunu Ameyasema…
27 February 2025, 5:47 pm
Na Mary Julius. Afisa Mipango Wilaya ya Magharib b Faida Khamis Ali amesema bajeti ya mwaka 2025 2026 imezingatia mapendelezo yaliyo tolewa na Mabaraza ya watoto. Afisa ameyasema hayo wakati Akifungua kikao cha watoto wadau wa asasi za kiraia na…
27 February 2025, 3:28 pm
Na Mary Julius. Mwakilishi Viti Maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM anayewakilisha kundi la watu wenye ulemavu Mwantatu Mbaraka Khamisi amewataka viongozi watakaochaguliwa kuongoza Umoja wa Watu Wenye Ulemavu (UWZ) kujitolea kwa hali na mali ili kuhakikisha umoja huo unaendelea na kufikia malengo waliojiwekea. …
12 February 2025, 6:50 pm
Na -Ivan Mapunda. Sophia Ngalapi ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasialiano kutoka Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania -TAMWA-Z, amesema juhudi za wanawake kujitokeza kuwania nafasi za uongozi bado zinakabiliwa na changamoto kadhaa, lakini matumaini yapo.“Nafasi ya mwanamke katika jamii yetu…
11 February 2025, 7:01 pm
Ivan Mapunda. Kampeni ni sehemu au uwanja wenye changamoto kubwa kwa wanawake wanaotafuta nafasi za uongozi. Mbali na changamoto za kawaida za kisiasa, wanawake hukabiliana na tatizo kubwa la matamshi ya chuki, udhalilishaji, na matusi ya kijinsia yanayolenga kudhoofisha heshima…
7 February 2025, 4:51 pm
Na Omar Hassan Watendaji wa Madawati ya Jinsia na watoto ya Jeshi la Polisi wametakiwa kuongeza nguvu katika kushughulikia Kesi za Udhalilishaji wa kijinsia na ukatili dhidi ya watoto ili kudhibiti matukio hayo na kuifanya jamii ibaki salama.Akifungua mafunzo ya…
6 February 2025, 4:37 pm
Na Mary Julius Baraza la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar limesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inamipango mizuri kwa wananchi kwa kuweka mikakati madhubuti ya kuondoa tatizo la njaa nchini pamoja na umaskini.Akizungumza na waandishi wa habari huko Ofisi…
6 February 2025, 4:04 pm
Na Mary Julius Familiya moja inayoishi Chaani Mcheza shauri Mkao wa Kaskazini Unguja imewaomba Mbunge , Mwakilishi na wananchi kuwasaidia msaada wa matibabu na pempasi kwa ajili ya mtoto wao mwenye umri wa miaka nane ambaye anamatatizo ya kutoka haja…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group