Zenj FM

Recent posts

27 March 2025, 1:58 pm

Mtoto wa miaka 14 ambaka mtoto wa mwaka mmoja na nusu

Na Omar Hassan. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kubaka watoto katika matukio mawili tofauti.Akizungumza na waandishi wa habari huko Tunguu, Makao Makuu ya Polisi Mkoa wa Kusini Unguja Kamanda wa Polisi Mkoa…

26 March 2025, 4:43 pm

Madiwani wa Wilaya ya Magharib B watakiwa kuwa mabalozi wa ZHSF

Na Thuwaiba Mohammed. Madiwani wa Wiaya ya Magharib B wametakiwa kuwa mabalozi kwa wananchi katika wadi zao juu ya matumizi na faida za utumiaji wa Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar ZHSF.Mstahiki Meya wa Baraza la Manispaa ya Wilaya ya…

25 March 2025, 2:56 pm

Pemba waomba ligi ya mpira wa pete

Na Is-haka Mohamed Kutokuwepo kwa mashindano ya aina mbalimbali kunaelezwa kuhatarisha kutoweka kabisa kwa mpira wa pete (Netball) kisiwani Pemba. Hayo yameelezwa na baadhi ya wachezaji wa mpira huo katika timu ya Mchangamdogo Centre wakati walipotembelewa na timu ya waandishi…

24 March 2025, 5:49 pm

DCI kupambana na madereva wazembe Zanzibar

Na Said Naibu Mkurugenzi wa Upelelzi wa Makosa ya Jinai Zanzibar, Naibu Kamishna wa Polisi Zuberi Chembera amewataka Askari Polisi kuwajibika na kuhakikisha wanasimamia sheria za usalama barabarani ili kupunguza vifo na majeruhi yanayosababishwa na ajali za barabarani. Ameyasema hayo…

24 March 2025, 3:55 pm

Hoogan ahoji viongozi kutoa sadaka kwa dhehebu moja la dini Zanzibar

Na Mwandishi wetu. Mwanasiasa mkongwe na mbunge wa zamani jimbo la Kikwajuni Parmukh Singh Hoogan amesema sio muafaka kiongozi kutoa sadaka kwa dhehebu moja la dini na kuacha mengine wakati wewe kiongozi wa Taifa. Singh amesema alipokuwa akizungumzia tatizo la…

23 March 2025, 4:53 pm

PBZ, Asma Mwinyi Foundation wawapa tabasamu Muyuni ‘C’

Na Khamis BENKI ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kwa kushirikiana na Taasisi ya Asma Mwinyi Foundation imewapatia msaada wa vitu mbalimbali wananchi wakiwemo, mayatima, wajane, wazee na watu wenye mahitaji maalum wa shehia ya Muyuni ‘C’.Akizungumza mara baada ya kuwapatia…

23 March 2025, 4:27 pm

Kadhi Mkuu Zanzibar, waumini wa Chumbuni waombea viongozi

Na Mary Julius. Kadhi mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali ameungana na waumini wa Dini ya Kiislam wa Jimbo la Chumbuni katika Dua Maalumu ya Kuwaombea viongozi wa kitaifa na wa Jimbo hilo ili waendelee kutekeleza vyema majukumu yao…

22 March 2025, 5:07 pm

Mwakilishi wa Malindi aahidi chakula wanafunzi kidato cha sita

Na Mary Julius. Mwakilishi wa Jimbo la Malindi Mohamed Ahmada Salum ameahidi kutoa chakula kwa skuli zote zilizopo katika jimbo hilo kwa ajili ya wanafunzi wa kidato cha sita wanakuwa kambini kwa maandalizi ya mitihani. Mwakilishi Ahmada ameyasema hayo katika…

21 March 2025, 5:23 pm

Walimu Wilaya ya Kati wahimizwa kufanya tathmini mara kwa mara

Wilaya ya Kati. Walimu wanatakiwa kufanya tathmin mara kwa mara ili kufahamu wapi kuna Changamoto ili kuweza kuzitatua Changamoto hizo mapema kabla ya kufika muda wa kufanya mitihani ya Taifa. Hayo ameyasema Afisa Taaluma Sekondari Wilaya ya Kati HAMDU ZUBEIR…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group