Zenj FM
Zenj FM
08/06/2025, 16:39
Na Mary Julius. Khamis Rashid Khamis, mwanaume mwenye umri wa miaka 26 na mkazi wa Michamvi Pingwe, Wilaya ya Kusini Unguja, amefariki dunia baada ya kuungua kwa moto akiwa amelala ndani ya nyumba yake ya makuti, tukio hilo limetokea usiku…
06/06/2025, 14:46
Na Omar Hassan. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP. Daniel Shillah amesema Swala na Baraza la Eid linalotarajiwa kufanyika Mkoa wa Kusini Unguja Kitaifa pamoja na Skukuu ya EID EL ADH-HA zitafanyika kwa…
05/06/2025, 16:40
Na Mary Julius Mtoto Kelvin Maxmilian mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu amefariki dunia kwa kudumbukia katika kisima kilichopo nyumbani kwao Jumbi wilaya ya Kati mkoa wa kusini unguja.Akizungumza na Zenj Fm Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja…
04/06/2025, 17:24
Na Mary Julius.Waziri wa Kilimo,Umwagiliaji,Maliasili na Mifugo Shamata Shaame Khamis amesema Wizara kwa kupitia Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (ZARI) imeweza kutoa taaluma za udhibiti kwa wataalamu na wakulima ambapo jumla ya wataalamu 18 na wakulima 240 walipatiwa mafunzo ya…
04/06/2025, 15:07
Na Mwandishi wetu.Mwanasiasa mkongwe na mbunge wa zamani jimbo la Kikwajuni Parmukh Singh amesema wataalamu wengi wanaacha kazi za taaluma na kugombea nafasi za uongozi za kisiasa kutokana na kulipwa malipo duni. Singh amesema hayo alipokuwa akizungumzia misingi ya siasa…
04/06/2025, 13:18
Na Mwandishi wetu. Huduma za afya , Miundo mbinu na elimu zimehimalika kwa kiwango kikubwa katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais wa Zanzibar Dk Hussen Ali Mwinyi. Katibu wa Idara ya Itikadi, uenezi na mafunzo wa Chama…
02/06/2025, 18:44
Na Omary TIMU ya 34 ya Madaktari kutoka China wamewafanyia uchunguzi na kupatiwahuduma za afya watoto wanaolelewa katika kituo cha kulelea watoto MayatimaMazizini.Akizungumza mara baada ya kuwapatia huduma watoto hao Kingozi waMadaktari wa timu ya 34 kutoka China Dkt Wei…
02/06/2025, 13:42
Na Is-haka Mohammed Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema ujenzi wa Skuli ya Ufundi itakayojengwa hivi karibuni kambini kisiwani Pemba ni kuunga mkono serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika uimarishaji maendeleo ya elimu inayoendelea kuimarishwa kwa…
30/05/2025, 18:09
Kusini Unguja Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kusini Unguja Mussa Haji Mussa amewaasa wananchi wa Wilaya ya Kusini kudumisha usafi katika maeneo yao ili kubadilisha haiba ya miji ya Wilaya hiyo.Ameyasema hayo wakati wa zoezi la usafi katika nyumba…
29/05/2025, 19:23
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Tawala za Mikoa, Zainab Khamis Kibwana, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea kuziangalia taasisi za serikali za mitaa kama nguzo muhimu katika kufanikisha utekelezaji wa mipango ya maendeleo kitaifa.Mkurugenzi ameyasema…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group