Zenj FM

Recent posts

22/06/2025, 17:06

Wanaume wasiowajibika chanzo cha msongo wa mawazo kwa wajane

Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Jumuiya ya Wajane Zanzibar, Tabia Makame Mohammed, amesema kuwa moja ya changamoto kubwa zinazowakumba wajane ni msongo wa mawazo, unaosababishwa na kukosekana kwa malezi na matunzo kwa watoto.Akizungumza na Zenj FM, Tabia amesema hali hiyo…

20/06/2025, 15:48

Zawadi mil. 10 mamlaka ikisaka kinara dawa za kulevya Zanzibar

“katika kuendeleza juhudi za kusaidia jamii katika kupambana na urahibu wa madawa ya kulevya, Mamlaka imetangaza nafasi kumi (10) kwa vijana wenye umri kati ya miaka 18 hadi 35 ambao wameamua kwa hiari kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya…

19/06/2025, 15:14

Maandalizi yakamilika maonesho ya pili ya utalii Nyamanzi

“Maonyesho haya yamelenga kuitangaza Zanzibar na Tanzania kama kivutio kikuu cha utalii barani Afrika Lengo likiwa ni kuyafanya maonyesho hayo kuwa ya kiwango cha juu” Na Mary Julius Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Mudrick Ramadhan Soraga amesema…

18/06/2025, 19:50

Wandishi wa habari ripotini ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake

Na Ivan Mapunda Wandishi wa habari nchini wametakiwa kutumia kalamu zao vizuri kuandika kurepoti na kukemea taarifa za ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake watakaogombea nafasi mbali mbali za uongozi katika kipindi hiki cha uchaguzi.Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Chama…

18/06/2025, 19:04

Bonanza la mtoto wa Afrika latoa ujumbe mzito kwa walimu Wilaya ya Kati

Na Mwandishi wetu. Walimu waskuli za Maandalizi na Msingi wametakiwa kuyatumia mafunzo wanayopatiwa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar kwalengo la kuwawezesha wanafunzi kuweza kusoma,kuandika na kuhesabu.Mkuu wa Ukaguzi wa Elimu Mkoa wa Kusini Unguja Zainab Abeid…

18/06/2025, 13:44

TRA Zanzibar yavunja rekodi, yakusanya kodi kwa asilimia 106

Na Mary Julius. Mamlaka ya Kodi ya mapato Tanzania (TRA) Zanzibar imesema imefanikiwa kuvuka malengo ya kukusanya kodi kwa asilimia 106 tangu kushauriwa kufungua matawi ya huduma katika ukanda wa utalii na Viongozi wakuu Rais wa Muungano Dk Samia Suluhu…

17/06/2025, 13:24

Ucheleweshaji wa leseni kuwa historia, Serikali yaja na mfumo wa haraka

Na Mary Julius. Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Nadir Abdul-latif Yussuf, amesema Mamlaka ya Leseni na Usalama Barabarani imekamilisha maandalizi ya mfumo mpya wa kidijitali utakaoimarisha utoaji wa matokeo ya majaribio ya udereva ndani ya muda…

12/06/2025, 17:01

Ofisi ya Msajili wa Hazina yaleta ufanisi Zanzibar

Na Mary Julius. Chama Cha Wanunuzi vitu chakavu Zanzibar wamesema kumekuwa na ufanisi mkubwa wa huduma za minada tangu kuazishwa Ofisi ya Msajili wa Hazina na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi. Hayo…

10/06/2025, 15:21

ZEC mguu sawa uchaguzi 2025, ofisi mpya yazinduliwa Magharibi B

Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Jaji George J. Kazi , amesema ujenzi wa ofisi ya Tume ya Uchaguzi katika Wilaya ya Magharibi B utasaidia kusogeza huduma karibu na wananchi wa eneo hilo. Mwenyekiti George ameyasema…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group