Zenj FM

Recent posts

25 April 2025, 5:13 pm

Dkt. Khalid atoa wito wadau wa uchukuzi kushiriki mkutano Zanzibar

Na Mary Julius. Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Dk. Khalid Salum Mohammed ametoa wito kwa wadau wa sekta ya uchukuzi nchini Tanzania, Afrika Mashariki na bara la Afrika kushiriki mkutano wa Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Mawakala wa…

24 April 2025, 6:43 pm

Jamii ishiriki kutokomeza malaria Zanzibar

Na Mary Jamii imetakiwa kuendelea kuzingatia njia za kujikinga na ugonjwa wa malaria kwa kuchukua tahadhari ili kuepukana ugonjwa huo.Wito umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Amour Suleiman wakati wa maadhimisho ya siku ya malaria yaliyofanyika Nungwi…

24 April 2025, 5:26 pm

Hoogan: Afro Shiraz, TANU kuungana yalikuwa maamuzi sahihi

Na Mwandishi wetu. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar utaendelea kuwepo na kuhimalika kama Chama cha mapinduzi kitaendelea kubakia madarakani. Hayo yameleezwa na mwanasiasa mkongwe Parmukh Singh Hoogan alipokiwa akizungumzia maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano.Aidha masema malengo ya muungano yamefanikiwa…

22 April 2025, 5:24 pm

Jamii yatakiwa kuunga mkono chanjo mpya ya polio

Na Mwandishi wetu. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja  Ayoub Mohd Mahmoud  ameitaka jamii  kupokea mabadiliko ya ongezeko la dozi  ya  chanjo ya polio  kwa watoto    ili kuwakinga na ugonjwa huo ambao husabaisha ulemavu au  kufariki dunia . Ameyasema hayo…

22 April 2025, 5:00 pm

Wanachama 21 wa Chadema watimkia Ada-Tadea

Na Is-haka Mohammed Chama cha Ada-Tadea kimewataka wananchi kutosikiliza maneno yanayotolewa na baadhi ya wana siasa yenye lengo la kuchafua amani na utulivu uliopo nchini bali waunge mkono juhudi za maendeleo zilizoletwa kwao na serikali. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi…

18 April 2025, 4:29 pm

ZSSF yatoa mwongozo kwa Baraza la Mji Kati kuhusu viwanja vya watoto

Baraza la mji Kati. Baraza la Mji Kati wametakiwa kufuata taratibu, sheria na Kanuni zilizowekwa na Serikali pindi wanapotaka kuanzisha Viwanja vya kufurahia Watoto kwalengo la kuwa na Viwanja vilivyo bora.Meneja Mipango kutoka ZSSF ambae pia Msimamizi wa Viwanja vya…

18 April 2025, 3:19 pm

Wanawake wenye ulemavu wajengewa uwezo kutetea haki na kusaidia watoto

Na Mary Julius. Katika jitihada za kuwawezesha wanawake wenye ulemavu kushiriki kikamilifu katika jamii na kutambua haki zao, Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar (UWZ) umeandaa mafunzo maalum yaliyojikita katika masuala ya haki za binadamu, usawa wa kijinsia na haki…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group