Zenj FM

Recent posts

11 April 2025, 4:23 pm

Fursa kwa vijana kuzinduliwa kwa programu mpya ya Mobile Youth Space

Na Berema Suleiman Nassor Kuzinduliwa kwa Programme ya Mobile Youth Space na Amani ni Tunu,Vijana Tuienzi itaweza kusaidia kuimarisha ushiriki wa upatikanaji wa taarifa kwa vijana.Akizungumza na wandishi wa habari Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo…

11 April 2025, 3:32 pm

Ziara ya Dkt. Mwinyi Uingereza neema kwa wakulima wa mwani Zanzibar

Na Mary Julius. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Wawekezaji wengi wa Uingereza wameonesha nia ya kuwekeza katika Kuliongezea thamani zao la Mwani kwa kuongeza Mnyororo wa Thamani pamoja na Uzalishaji wa…

2 April 2025, 4:15 pm

Mbaroni akituhumiwa kumbaka mtoto wa miaka 17

Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja linamshikilia Mudriki Abdalla Msham, mwenye umri wa miaka 21 kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 17.Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa…

30 March 2025, 8:46 pm

Afariki kwa kupigwa kichwani Hanyengwa mchana

Na Mary Julius. Jeshi la Mkoa wa kusini unguja limesema mtu mmoja, amefariki dunia kwa kupigwa na kitu butu kichwani huko Hanyengwa, wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja.Akizungumza na zenji fm Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kusini Unguja…

29 March 2025, 6:30 pm

Polisi watakiwa kutumia mafunzo kupambana na changamoto za usalama

Na Omar Hassan. Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Zanzibar, Naibu Kamishna wa Polisi DCP Zuber Chembera amewataka Maafisa na Wakaguzi wa Polisi kutumia mafunzo mbalimbali wanayopatiwa kuondoa changamoto za kiusalama zilizopo kwenye jamii na kupunguza malalamiko ya…

29 March 2025, 6:21 pm

Polisi Kusini Unguja kuimarisha ulinzi sikukuu ya Eid-el-fitr

Na Omar Hassan Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja litaimarisha ulinzi katika maeneo yote ya Mkoa huo kipindi cha Sikukuu ya Eid El Fitri ili wananchi washeherekee sikukuu hiyo kwa salama na Amani. Akizungumza na waandishi wa habari huko…

28 March 2025, 7:19 pm

Hoogan: CHADEMA wamechelewa kudai tume huru ya uchaguzi

Na Mwandishi wetu. Mwanasiasa na Mbunge wa zamani jimbo la Kikwajuni Parmukh Singh Hoogan amesema wakati umefika na jamii ndogo ndogo kushilikishwa katika nafasi za uteuzi katika kuimalisha umoja wa Kitaifa. Singh amesema hayo alipokuwa akizungumzia uchaguzi mkuu na nafasi…

28 March 2025, 5:19 pm

Halotel yakabidhi madawati skuli ya Kibweni

Mary Julius. Katika kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya nane katika sekta ya elimu, Halotel wamekabidhi madawati kwa skuli ya Kibweni.Akizungumza katika hafla ya makabidhiano hayo yaliyofanyika katika skuli ya Kibweni, iliyopo Mtoni, wilaya ya Magharib A, Naibu…

We are the Voice of the Coast…

Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.

VISION: 

EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>

MISSION:  by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group