Zenj FM
Zenj FM
30 April 2025, 3:59 pm
Na Mary Julius. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema Serikali ya Awamu ya sita inaendelea na utekelezaji wa miradi ambayo ni wezeshi katika sekta ya Uchukuzi inayojumuisha ujenzi wa reli ya kisasa, ukarabati wa viwanja…
25 April 2025, 5:13 pm
Na Mary Julius. Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Dk. Khalid Salum Mohammed ametoa wito kwa wadau wa sekta ya uchukuzi nchini Tanzania, Afrika Mashariki na bara la Afrika kushiriki mkutano wa Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Mawakala wa…
25 April 2025, 4:24 pm
Na Mary Julius Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohd Mahmoud amewahimiza wananchi wafanya biashara na wawekezaji kulipa umuhimu suala la kulipa Kodi kwa wakati kwa maendeleo ya TaifaAyoub ametoa kauli hiyo huko paje wakati akizindua ofisi ya Mamlaka…
24 April 2025, 6:43 pm
Na Mary Jamii imetakiwa kuendelea kuzingatia njia za kujikinga na ugonjwa wa malaria kwa kuchukua tahadhari ili kuepukana ugonjwa huo.Wito umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Amour Suleiman wakati wa maadhimisho ya siku ya malaria yaliyofanyika Nungwi…
24 April 2025, 5:26 pm
Na Mwandishi wetu. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar utaendelea kuwepo na kuhimalika kama Chama cha mapinduzi kitaendelea kubakia madarakani. Hayo yameleezwa na mwanasiasa mkongwe Parmukh Singh Hoogan alipokiwa akizungumzia maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano.Aidha masema malengo ya muungano yamefanikiwa…
22 April 2025, 7:24 pm
Na Mary Julius. Kituo cha Muziki cha DCMA (Dhow Countries Music Academy) kimesema kinashirikiana na msanii Trypon Evarist katika kuandika muziki wa zamani wa Zanzibar kwa lengo la kuuhifadhi na kuutunza, ili vizazi vijavyo viweze kuutumia katika hali yake halisi.…
22 April 2025, 5:24 pm
Na Mwandishi wetu. Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohd Mahmoud ameitaka jamii kupokea mabadiliko ya ongezeko la dozi ya chanjo ya polio kwa watoto ili kuwakinga na ugonjwa huo ambao husabaisha ulemavu au kufariki dunia . Ameyasema hayo…
22 April 2025, 5:00 pm
Na Is-haka Mohammed Chama cha Ada-Tadea kimewataka wananchi kutosikiliza maneno yanayotolewa na baadhi ya wana siasa yenye lengo la kuchafua amani na utulivu uliopo nchini bali waunge mkono juhudi za maendeleo zilizoletwa kwao na serikali. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi…
18 April 2025, 4:29 pm
Baraza la mji Kati. Baraza la Mji Kati wametakiwa kufuata taratibu, sheria na Kanuni zilizowekwa na Serikali pindi wanapotaka kuanzisha Viwanja vya kufurahia Watoto kwalengo la kuwa na Viwanja vilivyo bora.Meneja Mipango kutoka ZSSF ambae pia Msimamizi wa Viwanja vya…
18 April 2025, 3:19 pm
Na Mary Julius. Katika jitihada za kuwawezesha wanawake wenye ulemavu kushiriki kikamilifu katika jamii na kutambua haki zao, Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar (UWZ) umeandaa mafunzo maalum yaliyojikita katika masuala ya haki za binadamu, usawa wa kijinsia na haki…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group