Zenj FM
Zenj FM
9 May 2025, 4:41 pm
“Uchunguzi wa mapema uliwasaidia kupata tiba kwa wakati, hali iliyowezesha matibabu kuwa na ufanisi mkubwa na hatimaye kupona kabisa saratani ya matiti“ Na Mary Julius Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Saratani Zanzibar Dk Hellen Makwani ametoa wito kwa jamii, hasa…
7 May 2025, 7:43 pm
Na Mary Julius. Katika kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya nane inayoongozwa na rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi, kuboresha huduma za afya kwa wananchi wote zanzibar , Taasisi ya PharmAccess…
7 May 2025, 6:44 pm
Mary Julius. Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Zanzibar, Mudrick Ramadhan Soraga, amesema kwa kuwa utalii ni sekta yenye wadau wengi, wizara yake imeamua kusimamia ushirikiano wa pamoja ili kuondoa hali ya ushindani usiokuwa na tija na badala…
7 May 2025, 4:53 pm
Na Mary Julius. Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Mngereza Mzee Miraji amesema serikali ya awamu ya nane ya rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dk Hussein Ali Mwinyi katika kipindi cha miaka 4 imewekeza zaidi…
5 May 2025, 2:16 pm
Na Mary Julius. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Khamis Hamza Chillo, amewataka wasanii nchini kuhakikisha kazi zao za sanaa zinazingatia hulka, silka, na utamaduni wa Kitanzania, hususan wa Kizanzibari, pamoja na kuhimiza amani na mshikamano wa kitaifa. Akizungumza katika…
2 May 2025, 2:29 pm
Na Kassim Salum Abdi. Kamati ya kudumu ya Baraza la Wawakilishi inayosimamia Mawasiliano, Ardhi na Nishati imesema imeridhishwa na matengenezo ya ukarabati wa Meli ya MV MAPINDUZI (II) iliopo nangani katika bandari ya Malindi. Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano, Ardhi…
30 April 2025, 3:59 pm
Na Mary Julius. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema Serikali ya Awamu ya sita inaendelea na utekelezaji wa miradi ambayo ni wezeshi katika sekta ya Uchukuzi inayojumuisha ujenzi wa reli ya kisasa, ukarabati wa viwanja…
25 April 2025, 5:13 pm
Na Mary Julius. Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Dk. Khalid Salum Mohammed ametoa wito kwa wadau wa sekta ya uchukuzi nchini Tanzania, Afrika Mashariki na bara la Afrika kushiriki mkutano wa Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Mawakala wa…
25 April 2025, 4:24 pm
Na Mary Julius Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohd Mahmoud amewahimiza wananchi wafanya biashara na wawekezaji kulipa umuhimu suala la kulipa Kodi kwa wakati kwa maendeleo ya TaifaAyoub ametoa kauli hiyo huko paje wakati akizindua ofisi ya Mamlaka…
24 April 2025, 6:43 pm
Na Mary Jamii imetakiwa kuendelea kuzingatia njia za kujikinga na ugonjwa wa malaria kwa kuchukua tahadhari ili kuepukana ugonjwa huo.Wito umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Amour Suleiman wakati wa maadhimisho ya siku ya malaria yaliyofanyika Nungwi…
Zenji 96.90 FM is the first private radio station in the Tanzania isles. Currently, Zenji FM is rated as the leading radio station in Zanzibar in total listenership according to various media research reports.
Launched in 2005, Zenji FM integrates education and business in a professional media setting having well researched and tailored programs to cater for different ages and ethnic groups, and at large, capturing the hearts and minds of youth of ages 15 years to adults of 45 years.
Ours is the only Radio station in the isles having partnership with world major broadcasters such as BBC, VOA and Deutsche Welle.
Serviced by professional staff, we deliver popular local radio with a powerful social agenda, and being the oldest radio in Zanzabar, Zenji FM is the only radio with a very strong regional as well as local presence.
VISION:
EDU INFO TAINMENT(Education,information and entertainment) through ….<sauti ya pwani>
MISSION: by providing Educative, reliable information and Entertaining program to all age group