Zenj FM

Makala: Usawa wa kijinsia katika tehama na teknolojia Zanzibar bado kitendawili

01/04/2026, 18:46

Mkurugenzi wa Idara ya Watu wenye Ulemavu Zanzibar, Abeida Rashid Abdalla.
Sauti ya Mtangazaji Ivan Mapunda.

Makala imeangazia  changamoto ya pengo la kijinsia katika sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), hasa Zanzibar, ambapo wanawake wanakabiliwa na vikwazo vya kijamii, kiutamaduni na ukosefu wa rasilimali.

Pamoja na changamoto hizo, juhudi mbalimbali zinaendelea kufanyika ikiwemo utoaji wa mafunzo ya kidijitali kwa wanawake na wasichana ili kuongeza ushiriki wao katika teknolojia. Hatua hizi zinalenga kuhakikisha maendeleo jumuishi na endelevu kwa jamii nzima.