Keifo FM
Keifo FM
28 January 2025, 12:00
“siku chache zilipita chama cha mapinduzi ccm wilaya ya kyela kupitia halmashauri kuu wamenitunuku cheti cha shukrani kutambua mchango wangu katika ujenzi wa chama change” Na James Mwakyembe Aliyekuwa mgombea wa ubunge kupitia chama cha demokrasia na maendeleo chadema kabla…
25 November 2024, 15:14
Mratibu wa Ukimwi wilaya ya Kyela Amosi Kayembele aikiwa na timu ya watalamu kutoka hospitali ya wilaya ya kyela pamoja wadau kutoka shirika lisilo la kiserikali la Tumaini wakiwa katika kipindi cha Morning Power Picha na Masoud Maulid Kuelekea maadhimisho…
20 November 2024, 19:10
Watanzania wametakiwa kijitokeza kuenda kupiga kura siku ya tarehe 27 Novemba katika zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa utafanyika nchi nzima mwaka huu wa 2024. Na James Mwakyembe Wakati taifa la Tanzania likieleka katika uchaguzi wa serikali za mitaa…
5 October 2024, 10:20
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hasani ametoa gari jipya kwa Kituo cha Utafiti wa Samaki wilaya ya Kyela Tafiri ili kurahisisha utendaji kazi wa kituo hicho. Na Nsangatii Mwakipesile Kaimu mkurugenzi kituo cha utafiti wa…
30 September 2024, 16:56
Wito umetolewa kwa wananchi wilayani hapa kujitokeza kujiandisha katika daftari la mkazi linalotajiwa kuanza mwezi ujao wa octoba. Na Jamila Mwambande Zikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji Afisa uchaguzi wa halmashauri ya wilaya…
20 August 2024, 20:53
Uongozi wa timu ya Yanga Afrika umezuru wilayani Kyela na kuunda kamati ya timu hiyo katika masuala mbalimbali ya timu. Na James Mwakyembe Mratibu wa Yanga mkoa wa Mbeya Said Kastela amekutana na wazee wa Yanga wilayani Kyela kwa lengo…
5 July 2024, 21:25
Mjumbe wa mkutano mkuu CCM taifa kutoka mkoa wa Mbeya Ramadhani Lufingo Mwakitalu amewaomba wanakyela kutouza chakula kwa fujo kuelekea siku ya sabasaba. Na James Mwakyembe Ikiwa zimesaria siku mbili kuelekea kilele cha siku ya sabasaba inayotarajiwa kufanyika jumapili ya…
1 July 2024, 18:15
Rais wa klabu ya Yanga Injinia Hersi Said anatarajiwa kuungana na mashabiki wa timu hiyo hapa wilayani Kyela katika sherehe za kuipongeza timu hiyo kwa kutwaa ubingwa wa 30 msimu huu. Na James Mwakyembe Baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi…
1 July 2024, 18:03
Wakili msomi wa kujitegemea hapa nchini Tanzania Michael Mwangasa ameabudu katia kanisa la Jesus Desciples Tanzania na kuwapongeza waumini wa kanisa hilo kwa maombi waliyoyafanya wakati wote wa kesi ya Gerald Mwakitalu. Na James Mwakyembe Kwa mara ya kwanza tangu…
20 June 2024, 21:21
Wananchi wilayani watametakiwa kujitokeza kwa wingi katika zoezi la urasimishaji wa ardhi pamoja na kumiliki hati za umilikaji wa ardhi zoezi litakaloendeshwa na wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi baadae mwaka huu. Na James Mwakyembe Wizara ya ardhi…
Kyela education improvement foundation is a registered nonprofit
Organization with its main objectives to enhance quality education in the
Country .The organization was registered on august 24th 2006 with the
Registration number OONGO/1617. The organization main office is located along Kyela –
Tukuyu road at kalumbulu street, Kyela
GABRIEL KIPIJA is the founder chairman and managing director of KEIFO FM RADIO
SUMMARY OF OBJECTIVE FOR ESTABLISHMENT OF THE PROJECT. The following are the objectives of establishment of the KEIFO FM RADIO;-
I. To improve rural community initiative through an improved, reliable and less in cot communication system, providing access to educational programs, local and international news.
II. The broadcast programs have been developed to include religion discussion and local and international news , health education ,traditional events and various entertainment
III. To act as a forum of community member to exchange development ideas, debate local and national issues, which will provide access and exposure them to current affairs on social, agricultural, health etc. IV. To establish platform for reshaping the community towards good cultures
VISION
To be the leading education provider and news disseminator through radio waves
MISSION
To educate, encourage people to use radio facilities for sharing education, current affairs and information dissemination