Keifo FM
Keifo FM
13 September 2023, 10:25
Kamati ya tathmini ya ugonjwa wa polio imeketi na kujadili masuala mbalimbali ya maandalizi kuelekea zoezi la chanjo ya polio ikiwemo namna ya kuwafikia watoto hasa wenye umri chini ya miaka minane. Na Secilia Mkini Kikao cha mafunzo dhidi ya…
12 September 2023, 12:31
Uwepo wa migogoro mingi baina ya wanandoa imepelekea ndoa nyingi kuvunjika imetajwa kuwa ni sababu kubwa inayo sababisha uwepo wa watoto wa mitaani ambao wanakosa kuwa na makazi maalumu. Na mwandishi wetu james mwakyembe Kuvunjika kwa ndoa, malezi duni pamoja…
12 September 2023, 10:58
Wandishi wa habari nyanda za juu kusini,wametakiwa kutumia Radio mtandao ili kufikisha habari kwenye jamii.na kuweza kuwafikia wadau kutoka sehemu mbalimbali nje na ndani ya Tanzania pamoja na kujipambambanua katika masoko ili kuinua uchumi kwenye vyombo vyao vya habari Na…
11 September 2023, 12:51
Katika jitihada za kuhakikisha watoto wanakuwa na afya bora, katibu wa watoa huduma za afya kwa watoto wilaya ya Kyela Bakari Samson amewaasa wazazi na walezi kuhakikisha watoto wanapelekwa kliniki Na Secilia Nkili Imeelezwa kuwa kutompeleka mtoto mwenye umri chini…
Kyela education improvement foundation is a registered nonprofit
Organization with its main objectives to enhance quality education in the
Country .The organization was registered on august 24th 2006 with the
Registration number OONGO/1617. The organization main office is located along Kyela –
Tukuyu road at kalumbulu street, Kyela
GABRIEL KIPIJA is the founder chairman and managing director of KEIFO FM RADIO
SUMMARY OF OBJECTIVE FOR ESTABLISHMENT OF THE PROJECT. The following are the objectives of establishment of the KEIFO FM RADIO;-
I. To improve rural community initiative through an improved, reliable and less in cot communication system, providing access to educational programs, local and international news.
II. The broadcast programs have been developed to include religion discussion and local and international news , health education ,traditional events and various entertainment
III. To act as a forum of community member to exchange development ideas, debate local and national issues, which will provide access and exposure them to current affairs on social, agricultural, health etc. IV. To establish platform for reshaping the community towards good cultures
VISION
To be the leading education provider and news disseminator through radio waves
MISSION
To educate, encourage people to use radio facilities for sharing education, current affairs and information dissemination