Keifo FM
Keifo FM
30 November 2023, 10:42
Baada ya kukosekana kwa huduma za afya kwa wananchi wa kijiji cha Nduka wilayani Kyela, serikali imepanga kujenga zahanati ya kisasa kijijini hapo. Na James Mwakyembe Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kyela ambaye ni diwani wa kata ya Ikimba…
29 November 2023, 22:53
Baadhi ya wakulima wa zao la strobeli wilayani Rungwe.Picha na James Mwakyembe Tathmini ya kuangazia mafanikio ya zao la Strobeli wilayani Rungwe yamefanyika yakiongozwa na msemaji wa shirika lisilo la kiserikali Shoma Nangale.Na Nsangatii Mwakipesile Baada ya kutambulishwa rasmi kwa…
28 November 2023, 11:49
Baada ya kushindwa kukamilika kwa wakati kwa mradi wa umwagiliaji wa Makwale hapa wilayani Kyela wananchi wanaunda kata za Makwle,Ndobo na Lusungo wameiomba serikali ya halmaashsuri ya wilaya ya kyela kuingilia kati kukamilika kwa mradi huo.Na Nsangatii Mwakipesile Kutokana na…
28 November 2023, 11:28
Naibu waziri wa Kilimo na Uvuvi Alexander Mnyeti amewataka wavuvi ndani ya Ziwa Nyasa kuhakikisha wanaachana na uvuvi haramu na badara yake watumie uvuvi wa vichanja ili kukuza uchumi wa Taifa.Nsangatii Mwakipesile Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi hapa nchini…
27 November 2023, 19:10
Jumla ya shilingi milioni kumi na tano zimetolewa na serikali ya awamu ya sita kwaajiri ya ujenzi wa miundombinu ya machinjio ya kisasa hapa wilayani Kyela. Na James Mwakyembe Wakati serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiendelea kuboresha miundombinu…
21 September 2023, 17:54
Na James Mwakyembe Jumla ya madereva themanini na saba wapepigwa msasa wa mafunzo ya udereva na kukabidhiwa vyeti vya udereva huku wakitakiwa kuwa mabalozi wazuri wawapo barabarani. Katika kuhakikisha ajali za barabarani zinapungua mkoani Mbeya, jeshi la polisi limetoa vyeti…
21 September 2023, 13:27
Wakati zoezi la utoaji chanjo kwa watoto chini ya umri wa miaka 8 likianza hii leo wazazi na walezi wilayani Kyela wameaswa kuachana na imani potofu, bali wanatakiwa kuamini chanjo inayotolewa na watoa huduma waliowekwa na serikali. Na Secilia Mkini…
20 September 2023, 10:09
Babylon Mwakyembile alie Wahi kugombe ubunge kupitia CHADEMA ameamua kuachana na chama Hicho na kujiunga na chama cha Mapinduzi ambapo katika ujenzi unaoendelea kwenye ofisi ya ccm kata ya Ngusa ametoa vifaa mbalimbali vya ujenzi. Na Rahm Sakabona. Aliye kuwa…
17 September 2023, 15:37
Vikoba wilayani Kyela vimetajwa kuwa chanzo kikuu cha kuinua uchumi kwa wanawake na kupelekea kujikwamua kiuchumi na kuwa tegemezi kwenye familia. Na Secilia Mkini Imeelezwa kuwa vikoba kwa wanawake ni njia mojawapo inayoinua uchumi kwa wanawake kwani huwasaidia katika kuendesha…
14 September 2023, 19:21
Mbunge wa Jimbo la Kyela Ally Mlagila Jumbe Kinanasi ameahidi kutekeleza mambo yote yaliyoombwa na wananchi wa kata ya Bujonde ikiwemo barabara ya kutoka Bujonde kwenda Nyerere ndani ya kata hiyo. Ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kikazi katika…
Kyela education improvement foundation is a registered nonprofit
Organization with its main objectives to enhance quality education in the
Country .The organization was registered on august 24th 2006 with the
Registration number OONGO/1617. The organization main office is located along Kyela –
Tukuyu road at kalumbulu street, Kyela
GABRIEL KIPIJA is the founder chairman and managing director of KEIFO FM RADIO
SUMMARY OF OBJECTIVE FOR ESTABLISHMENT OF THE PROJECT. The following are the objectives of establishment of the KEIFO FM RADIO;-
I. To improve rural community initiative through an improved, reliable and less in cot communication system, providing access to educational programs, local and international news.
II. The broadcast programs have been developed to include religion discussion and local and international news , health education ,traditional events and various entertainment
III. To act as a forum of community member to exchange development ideas, debate local and national issues, which will provide access and exposure them to current affairs on social, agricultural, health etc. IV. To establish platform for reshaping the community towards good cultures
VISION
To be the leading education provider and news disseminator through radio waves
MISSION
To educate, encourage people to use radio facilities for sharing education, current affairs and information dissemination