
Recent posts

20 February 2025, 17:17
Kyela:CCM yawafikia wasiojiweza kaya 15
Wanachama wa chama cha mpainduzi ccm kyela mjini wilaya ya kyela wametembelea na kugawa misaada mbalimbali ya kiutu ili kuwakwamua kiuchumi wananchi wenye uhitaji maalumu katika kata hiyo. Masoud Maulid Ili kujenga jamii yenye ustawi sawa na bora Chama cha…

20 February 2025, 16:55
Kyela:Mkaguzi atumwa kafundo,milioni 3 hazionekani zilipo
Katika hali ya kushangaza serikali ya halmashauri ya wilaya ya kyela imeagiza mkaguzi wa hesabu za serikali kufika katika kijiji cha kafundo kutokana na harufu ya ubadhilifu wa fedha za wananchi. Na Masoud Maulid Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya…

12 February 2025, 17:37
“Kapigeni kazi fedha hizi ni za moto”
Katika kutekeleza agizo la serikali la kutoa mikopo ya asilimia kumi kutokana na makusanyo ya ndani,halmashauri ya wilaya ya Kyela imeanza kutekeleza agizo hilo kwa kutoa mikopo ya shilingi milioni 816 kwa vikundi 65 kwa vijana,wanawake na watu wenye ulemavu.…

7 February 2025, 16:35
Kyela:Kyela yang’ara ukusanyaji mapato robo ya pili
Serikali ya halmashauri ya wilaya ya Kyela imewapongeza wananchi kwa kuwezesha halmashauri kukusanya asilimia 98 za makusanyo kutoka katika vyanzo vyake. Na James Mwakyembe Baraza la madiwani la robo ya pili ya Mwaka la mrejesho kwa wananchi juu ya kipi…

4 February 2025, 19:17
Kilele cha wiki ya sheria chafanyika kwa kishindo Kyela
Mamia ya wananchi wamejitokeza katika viwanja vya mahakama ya wilaya ya kyela kusikiliza na kuwasilisha kero zao zilizotatuliwa na jopo la watalaamu wa sheria katika kilele cha wiki ya sheria hapa wilayani kyela. Na Nsangatii Mwakipesile Hatimaye kilele cha wiki…

28 January 2025, 14:48
Kyela:Wiki ya sheria kyela kumekucha
Wananchi wilayani kyela wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika viwanja vya mahakama ya wilaya ya kyela kwenda kutoa na kero zao ili zitatuliwe katika wiki hii ya sheria. Na James Mwakyembe Hatiamaye maadhimisho ya wiki ya sheria yamezinduliwa rasmi hapa wilayani…

28 January 2025, 12:00
Kyela:Asente sana ccm kyela
“siku chache zilipita chama cha mapinduzi ccm wilaya ya kyela kupitia halmashauri kuu wamenitunuku cheti cha shukrani kutambua mchango wangu katika ujenzi wa chama change” Na James Mwakyembe Aliyekuwa mgombea wa ubunge kupitia chama cha demokrasia na maendeleo chadema kabla…

25 November 2024, 15:14
Serikali na wadau mguu sawa elimu ya Ukimwi Kyela
Mratibu wa Ukimwi wilaya ya Kyela Amosi Kayembele aikiwa na timu ya watalamu kutoka hospitali ya wilaya ya kyela pamoja wadau kutoka shirika lisilo la kiserikali la Tumaini wakiwa katika kipindi cha Morning Power Picha na Masoud Maulid Kuelekea maadhimisho…

20 November 2024, 19:10
Busokelo:Rushwa marufuku uchaguzi serikali za mitaa
Watanzania wametakiwa kijitokeza kuenda kupiga kura siku ya tarehe 27 Novemba katika zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa utafanyika nchi nzima mwaka huu wa 2024. Na James Mwakyembe Wakati taifa la Tanzania likieleka katika uchaguzi wa serikali za mitaa…

5 October 2024, 10:20
Jinsi Samia alivyoshusha gari jipya Tafiri Kyela
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hasani ametoa gari jipya kwa Kituo cha Utafiti wa Samaki wilaya ya Kyela Tafiri ili kurahisisha utendaji kazi wa kituo hicho. Na Nsangatii Mwakipesile Kaimu mkurugenzi kituo cha utafiti wa…