20 February 2025, 17:17

Kyela:CCM yawafikia wasiojiweza kaya 15

Wanachama wa chama cha mpainduzi ccm kyela mjini wilaya ya kyela wametembelea na kugawa misaada mbalimbali ya kiutu ili kuwakwamua kiuchumi wananchi wenye uhitaji maalumu katika kata hiyo. Masoud Maulid Ili kujenga jamii yenye ustawi sawa na bora Chama cha…

Offline
Play internet radio

Recent posts

20 February 2025, 17:17

Kyela:CCM yawafikia wasiojiweza kaya 15

Wanachama wa chama cha mpainduzi ccm kyela mjini wilaya ya kyela wametembelea na kugawa misaada mbalimbali ya kiutu ili kuwakwamua kiuchumi wananchi wenye uhitaji maalumu katika kata hiyo. Masoud Maulid Ili kujenga jamii yenye ustawi sawa na bora Chama cha…

20 February 2025, 16:55

Kyela:Mkaguzi atumwa kafundo,milioni 3 hazionekani zilipo

Katika hali ya kushangaza serikali ya halmashauri ya wilaya ya kyela imeagiza mkaguzi wa hesabu za serikali kufika katika kijiji cha kafundo kutokana na harufu ya ubadhilifu wa fedha za wananchi. Na Masoud Maulid Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya…

12 February 2025, 17:37

“Kapigeni kazi fedha hizi ni za moto”

Katika kutekeleza agizo la serikali la kutoa mikopo ya asilimia kumi kutokana na makusanyo ya ndani,halmashauri ya wilaya ya Kyela imeanza kutekeleza agizo hilo kwa kutoa mikopo ya shilingi milioni 816 kwa vikundi 65 kwa vijana,wanawake na watu wenye ulemavu.…

7 February 2025, 16:35

Kyela:Kyela yang’ara ukusanyaji mapato robo ya pili

Serikali ya halmashauri ya wilaya ya Kyela imewapongeza wananchi kwa kuwezesha halmashauri kukusanya asilimia 98 za makusanyo kutoka katika vyanzo vyake. Na James Mwakyembe Baraza la madiwani la robo ya pili ya Mwaka la mrejesho kwa wananchi juu ya kipi…

4 February 2025, 19:17

Kilele cha wiki ya sheria chafanyika kwa kishindo Kyela

Mamia ya wananchi wamejitokeza katika viwanja vya mahakama ya wilaya ya kyela kusikiliza na kuwasilisha kero zao zilizotatuliwa na jopo la watalaamu wa sheria katika kilele cha wiki ya sheria hapa wilayani kyela. Na Nsangatii  Mwakipesile Hatimaye kilele cha wiki…

28 January 2025, 14:48

Kyela:Wiki ya sheria kyela kumekucha

Wananchi wilayani kyela wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika viwanja vya mahakama ya wilaya ya kyela kwenda kutoa na kero zao ili zitatuliwe katika wiki hii ya sheria. Na James Mwakyembe Hatiamaye maadhimisho ya wiki ya sheria yamezinduliwa rasmi hapa wilayani…

28 January 2025, 12:00

Kyela:Asente sana ccm kyela

“siku chache zilipita chama cha mapinduzi ccm wilaya ya kyela kupitia halmashauri kuu wamenitunuku cheti cha shukrani kutambua mchango wangu katika ujenzi wa chama change” Na James Mwakyembe Aliyekuwa mgombea wa ubunge kupitia chama cha demokrasia na maendeleo chadema kabla…

25 November 2024, 15:14

Serikali na wadau mguu sawa elimu ya Ukimwi Kyela

Mratibu wa Ukimwi wilaya ya Kyela Amosi Kayembele aikiwa na timu ya watalamu kutoka hospitali ya wilaya ya kyela pamoja wadau kutoka shirika lisilo la kiserikali la Tumaini wakiwa katika kipindi cha Morning Power Picha na Masoud Maulid Kuelekea maadhimisho…

20 November 2024, 19:10

Busokelo:Rushwa marufuku uchaguzi serikali za mitaa

Watanzania wametakiwa kijitokeza kuenda kupiga kura siku ya tarehe 27 Novemba katika zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa utafanyika nchi nzima mwaka huu wa 2024. Na James Mwakyembe Wakati taifa la Tanzania likieleka katika uchaguzi wa serikali za mitaa…

5 October 2024, 10:20

Jinsi Samia alivyoshusha gari jipya Tafiri Kyela

Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hasani ametoa gari jipya kwa Kituo cha Utafiti wa Samaki wilaya ya Kyela Tafiri ili kurahisisha utendaji kazi wa kituo hicho. Na Nsangatii Mwakipesile Kaimu mkurugenzi kituo cha utafiti wa…

About Keifo Fm

Kyela education improvement foundation is a registered nonprofit
Organization with its main objectives to enhance quality education in the
Country .The organization was registered on august 24th 2006 with the
Registration number OONGO/1617. The organization main office is located along Kyela –
Tukuyu road at kalumbulu street, Kyela

GABRIEL KIPIJA is the founder chairman and managing director of KEIFO FM RADIO

SUMMARY OF OBJECTIVE FOR ESTABLISHMENT OF THE PROJECT. The following are the objectives of establishment of the KEIFO FM RADIO;- 

I. To improve rural community initiative through an improved, reliable and less in cot communication  system, providing access to educational programs, local and international news. 

II. The broadcast programs have been developed to include religion discussion and local and international  news , health education ,traditional events and various entertainment 

III. To act as a forum of community member to exchange development ideas, debate local and national  issues, which will provide access and exposure them to current affairs on social, agricultural, health etc. IV. To establish platform for reshaping the community towards good cultures 

VISION 

To be the leading education provider and news disseminator through radio waves 

MISSION 

To educate, encourage people to use radio facilities for sharing education, current affairs and  information dissemination